Hadi Bunge linamaliza muda wake, pengo la Tundu Antipas Lissu kama mweledi wa sheria " bunge zima" halijazibwa na yeyote

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,888
141,820
Niwe tu mkweli katika bunge la Ndugai linaloelekea ukingoni mwishoni mwa mwezi huu kupooza tunakoendelea kukushuhudia ni kutokana na kukosekana kwa wanasiasa ving'ang'anizi na wenye weledi kama Tundu Antipas Lisu.

Kiukweli pengo la Lisu kwa upinzani na kwa bunge zima halijaweza kuzibwa, ndio maana hata Mwambe amejirudia tu bungeni kiulaini akijua hakuna anayeweza kumtetemesha Spika Ndugai kwa hoja za kisheria.

Tundu Lisu na Zitto Kabwe ukiwaletea na Kessy wa Namanyele ni sawa na bunge zima.

Maendeleo hayana vyama!
 
Niwe tu mkweli katika bunge la Ndugai linaloelekea ukingoni mwishoni mwa mwezi huu kupooza tunakoendelea kukushuhudia ni kutokana na kukosekana kwa wanasiasa ving'ang'anizi na wenye weledi kama Tundu Antipas Lisu.

Kiukweli pengo la Lisu kwa upinzani na kwa bunge zima halijaweza kuzibwa, ndio maana hata Mwambe amejirudia tu bungeni kiulaini akijua hakuna anayeweza kumtetemesha Spika Ndugai kwa hoja za kisheria.

Tundu Lisu na Zitto Kabwe ukiwaletea na Kessy wa Namanyele ni sawa na bunge zima.

Maendeleo hayana vyama!
Unamaanisha hata professor testor madagascar gwiji washeria hakuna kitu???😂😂😂😂
 
Niwe tu mkweli katika bunge la Ndugai linaloelekea ukingoni mwishoni mwa mwezi huu kupooza tunakoendelea kukushuhudia ni kutokana na kukosekana kwa wanasiasa ving'ang'anizi na wenye weledi kama Tundu Antipas Lisu.

Kiukweli pengo la Lisu kwa upinzani na kwa bunge zima halijaweza kuzibwa, ndio maana hata Mwambe amejirudia tu bungeni kiulaini akijua hakuna anayeweza kumtetemesha Spika Ndugai kwa hoja za kisheria.

Tundu Lisu na Zitto Kabwe ukiwaletea na Kessy wa Namanyele ni sawa na bunge zima.

Maendeleo hayana vyama!
Tundu ni mbishi Ila sio mweledi futa kauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niwe tu mkweli katika bunge la Ndugai linaloelekea ukingoni mwishoni mwa mwezi huu kupooza tunakoendelea kukushuhudia ni kutokana na kukosekana kwa wanasiasa ving'ang'anizi na wenye weledi kama Tundu Antipas Lisu.

Kiukweli pengo la Lisu kwa upinzani na kwa bunge zima halijaweza kuzibwa, ndio maana hata Mwambe amejirudia tu bungeni kiulaini akijua hakuna anayeweza kumtetemesha Spika Ndugai kwa hoja za kisheria.

Tundu Lisu na Zitto Kabwe ukiwaletea na Kessy wa Namanyele ni sawa na bunge zima.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu ni mwanaharakati na msaliti wa nchi yetu full stop! Hajui sheria wala nini kuna wanasheria wabobezi kuliko yeye hapo bungeni na tena ni walimu wake!
 
Niwe tu mkweli katika bunge la Ndugai linaloelekea ukingoni mwishoni mwa mwezi huu kupooza tunakoendelea kukushuhudia ni kutokana na kukosekana kwa wanasiasa ving'ang'anizi na wenye weledi kama Tundu Antipas Lisu.

Kiukweli pengo la Lisu kwa upinzani na kwa bunge zima halijaweza kuzibwa
Maendeleo hayana vyama!
Naunga mkono hoja kuwa pengo la Lissu halijazibwa maana nami nililiona kitambo
Je, kukosekana kwa baadhi ya wabunge makini, machachari bungeni, kumepunguza ari na msisimko wa vikao vya bunge?. - JamiiForums

Ila katika ubingwa wa sheria mule mjengoni wamo mabingwa kibao wakiwemo waalimu waliomfundisha Lissu sheria wakiongozwa na Mtemi Chenge
Pamoja Na Ufisadi Wake Wote, Chenge is One of Best Brains Kwenye Bunge Full of Ignorants - JamiiForums

Kwa upande wa Lissu kama ulivyomwelezea baadhi ya sifa zake, nilishauri
Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli! - JamiiForums

P
 
Huyu ni mwanaharakati na msaliti wa nchi yetu full stop! Hajui sheria wala nini kuna wanasheria wabobezi kuliko yeye hapo bungeni na tena ni walimu wake!
Hawo wanaojua hakuna hata mmoja anaempinga kwa hoja badala yake hutumia nguvu kubwa za policcm na wajinga wengine kumpinga kwa kutumia viroja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom