Rais Magufuli anatangaza kifo cha Waziri wake wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Augustine Mahiga aliyefariki leo alfajiri Mei 01, Jijini Dodoma
Taarifa iliyotolewa na Ikulu imesema Waziri huyo aliugua ghafla akiwa nyumbani kwake na alifikishwa hospitalini akiwa tayari ameshafariki dunia...
Wanabodi, kila nipatapo fursa, huwa nawaletea zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo huwa zinachapishwa katika gazeti la Habari Leo, kila siku za Jumatano.
Ili kuepuka kuitwa popote na kuhojiwa kuwa nimesema kitu fulani, yaani statements, makala hizi huja kwa mtindo wa maswali...
Habari za muda huu wanagenzi,leo nimeona nianzishe uzi huu ili niweze kuwashirikisha na nyinyi katika hili ambalo limekuwa likiniumizakichwa kwa kiasi kikubwa kulitafakari kwa muda mrefu bila kulipatia majibu.hivyo kupitia jukwaa hili ni Imani yangu kuwa ninaweza kupata suluhisho juu ya swala...
Habari wakuu,
Nahitaji msaada wa sheria.
Kipindi hiki ambacho tunapambana na corona, kampuni imepunguza mishahara pasipo majadiliano na wafanyakazi.
Je, ni sheria ipi inahusika? Wapi tunaweza kulalamika?
I was born in Tanzania from both Tanzanian parents but when I was around 10years, a family member took me to study in kenya.we crossed the boarder illegally may be he bribed the officials at the boarder.
I came back last year with a Kenyan passport. After it expired I went to the village to...
Wananchi wenyewe tunachangia miundombinu ya serikali kuharibika,mfano mvua zinapokua zinanyesha wananchi wamekua na tabia ya kumiminia taka taka kwenye mitaro eti isombwe na maji,kitu kinacho changia mitaro na makaruvati kuziba.Hivyo pengine kupelekea mafuriko yasiyo na ulazima kwa watu waishio...
Habari Kiongozi,
Ilikuwa mapema mwaka 2014 ndg yangu aliajiliwa kama Mwalimu katika Halmashauri moja hapa nchini hata hivyo alifanya kazi kw muda wa miezi nane Pekee na kuamua kumwandikia Mkurugenzi wake wa Wakati huo Barua ya kusudi la Kuacha kazi lakini hakujibiwa Badala yake Mwaka 2015 June...
Wakuu,
Naomba kujuzwa kuhusu sheria iliyowekwa hapa Tanzania ya kupost content kwenye youtube channel. Je, ni content za aina gani ambazo zinapaswa kulipiwa hiyo tshs 1,000,000 au labda ni channel yoyote ile mradi tu unafungua youtube?
Hii ni njia mbaya kabisa ya kuzuia vijana kujipatia...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linamshikilia Mohamed s/o Kassim miaka 47, mkazi wa Mbagala kwa tuhuma za kumiliki silaha
aina fatih 13turukye Pisto yenye No, TZ C.A.R 1053515 ikiwa na magazine yake isiyokua na risasi kinyume cha sheria.
Mnamo tarehe 07/04/2020 saa 12:30 jioni...
Natoa angalizo mapema kabisa mimi sio mtaalamu wa masuala ya sheria. Ila nimeuliza hili swali nipate msaada. The Cyber crimes Act,2015 .Ni sheria kandamizi?
Kwa sababu ni wazi kabisa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni umewekwa wazi katika katiba ya JMT ibara ya 18 kujieleza huku katika katiba ya...
Habari zenu wadau:-
Kuna nyumba ya jamaa wangu, imeteketea kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme, kutokana na ajali hiyo, nyumba na vitu vyote vimeteketea.
Je naweza kuanzisha kesi ya madai?
Naomba muongozo jinsi ya kuanzisha kesi ya madai kwa TANESCO.
Je, hawa jamaa wako juu ya sheria? Maana huwa wanafanya chochote wakati wowote.
Kuna siku nilikutana nao barabarani jioni wanawahi sehemu, wanapita upande ambao sio wao, yaani wanapita ule upande wa magari yaendayo Gongo la Mboto kutoka Tazara. Sasa wao wapo vice versa, nikakataa kuwakwepa...
Zim to give back farms taken under land reform programme
20:20 10/03/2020 Crecey Kuyedzwa
Zimbabwe has announced plans to give back land controversially taken over under its controversial fast track land reform programme, which started in 2000.
The programme, which was criticised for being...
Kwa mujibu wa Sheria za FIFA (Shirikisho la Soka Duniani) mwaka 2015/16, mechi inachezwa na timu mbili, kila moja ikiwa na Wachezaji wasiozidi 11, mmoja wao ni Kipa. Mechi haiwezi kuanza ikiwa timu yoyote ina Wachezaji chini ya 7
Kiwango cha juu cha kubadili Wachezaji wakati wa mechi kwenye...
Kwa mujibu wa Sheria za FIFA (Shirikisho la Soka Duniani) mwaka 2015/16, mpira unatakiwa uwe wa Mviringo wenye Mzingo/Mzunguko wa Sentimita 68 hadi 70 (Mpira Namba 5), ukitengenezwa kwa ngozi au malighafi yoyote inayofaa
Mwanzo wa mechi, mpira unatakiwa uwe na uzito usiopungua Gram 410 na...
Eti wana JF, naomba kuuliza sheria inasemaje endapo mtu ameacha kazi halafu anahitaji pesa yake? mimi nilikuwa sekta binafsi pesa yangu ilikuwa NSSF lakini nimeingia serikali pesa yangu inakwenda PSSSF.
Sasa nilikwenda kudai hela zangu wakasema hawawezi kunipa kwa kuwa nimeacha mwenyewe...
Kwa mujibu wa Sheria hizo za FIFA (Shirikisho la Soka Duniani) mwaka 2015/16, mechi inaweza kuchezwa kwenye Uwanja wenye nyasi asilia au za kutengeneza ila nyasi za kutengenza lazima ziwe za rangi ya Kijani
Uwanja wa kuchezea lazima uwe wa umbo la Msatili ukiwa umewekewa alama za mipaka kwa...
Hivi katika utatuzi wa migogoro ya ardhi au mashauri ya ardhi katika vyombo vya kutoa haki(mabaraza ya ardhi na mahakama) kipi hutumika katika kufanya maamuzi?
Kwa maneno mengine,inapotokea mikabata ya watu kuuziana ardhi au watu kuweka ardhi rehani ili kupata mkopo,n.k na baadae ukaibuka...
Yaani tuchukulie mtuhumiwa wa ujambazi amekamatwa na Polisi, halafu wakati anawapeleka mafichoni kwa wenzake akaanza kuwakimbia Polisi huku akiwa hana silaha yoyote na akipiga makelele.
Je, kuna uhalali/ulazima wowote wa kumpiga risasi ya mgongoni na kumuua? Je, ndugu zake wanaweza kudai fidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.