Ni tumaini langu kwamba wana JF mtakuwa mpo swalaama, hata mimi new member humu ndani ila ni new member kiusajili tu, naweza sema sababu nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa threads za JF toka enzi za kina Nyani Ngabu, King'ati, General Garadudu etc.
Lets go on topic, nimeona thread nying sana za...