JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 625
- 938
Kifungu namba 7 (a): Baada ya kupata taarifa rasmi na uthibitisho wa Daktari kuhusu kifo cha kiongozi huyo
Rais atatangaza kifo cha kiongozi huyo kwa kutaja tarehe, muda na sababu ya kifo chake
Rais atatangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa na bendera kupepea nusu mlingoti
Rais ataitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri
Rais atatangaza kifo cha kiongozi huyo kwa kutaja tarehe, muda na sababu ya kifo chake
Rais atatangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa na bendera kupepea nusu mlingoti
Rais ataitisha Kikao cha Baraza la Mawaziri