Hivi Sheria ya Uchaguzi inaruhusu uchaguzi kufanyika siku mbili au zaidi?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,371
Wadau,kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi ya nchi yetu,uchaguzi unaweza kupangwa kufanyika kwa Siku mbili tofauti pasipo sababu ya msingi kama ville kuvurugika uchaguzi katika siku ya kwanza au sababu nyingine yoyote inayotokana na uchaguzi kufanyika au kukumbwa na kasoro katika siku ya kwanza?

Kwa maneno mengine, kama hakuna sababu ilitopelekea uchaguzi urudiwe katika Siku tofauti,Tume ya Uchaguzi ina haki kisheria kutangaza uchaguzi kufanyika kwa Siku zaidi ya moja?

Kama sheria hairuhusu,kwanini vyama vya siasa visienda mahakamani kupinga Tume kutangaza tarehe mbili tofauti za kupinga kura?
 
Tume ilitangaza tarehe 28/10 kuwa siku ya uchaguzi, je kuna mabadiliko? Au ni kama kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ilivyotangazwa mwanzoni kwamba vyombo vya usalama vitapiga kura siku moja kabla, japo sikumbuki kama hili lilifanyika.
 
Tume ilitangaza tarehe 28/10 kuwa siku ya uchaguzi, je kuna mabadiliko? Au ni kama kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ilivyotangazwa mwanzoni kwamba vyombo vya usalama vitapiga kura siku moja kabla, japo sikumbuki kama hili lilifanyika.
Ya Zanzibar umeyasikia?
 
Hapa Mimi sielewi masanduku yakula yatalindwa nanani na yatalala wapi! Kuna maswari kazito hapa,kwahiyo na wasimamizi wavyama nao watapiga kula trh27 au
 
Mleta Mada Kwa Post Hii Leo Hutalipwa Kabisa
Chama Kile Hakitawi, Ipo Wazi Hata Kama Unaweka Mahaba
Wenye Akili Wanaona Na Wanajua
 
Uchaguzi haupo kama CCM haijapata fundisho itatuchezea milele

Huu mwaka CCM kupitia kile kijamaa kinaitwa Polepole sijui , mmeamua kuongea ukweli toka mioyoni kwa kukubali kuwa nyie hampo kwa ajili ya wananchi maskini. Kamwe hamjawahi kuwa. Zaidi ni kwamba mnastahili kuondoka madarani. Mmekula mmevimbiwa, hamna UTU. Hadharani mnawatweza walalahoi walipakodi mnazofuja!
 
Huu mwaka CCM kupitia kile kijamaa kinaitwa Polepole sijui , mmeamua kuongea ukweli toka mioyoni kwa kukubali kuwa nyie hampo kwa ajili ya wananchi maskini. Kamwe hamjawahi kuwa. Zaidi ni kwamba mnastahili kuondoka madarani. Mmekula mmevimbiwa, hamna UTU. Hadharani mnawatweza walalahoi walipakodi mnazofuja!
Mgombea Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Kupitia Chama Cha Pole
 
Back
Top Bottom