Wamesikika baadhi ya wavuvi pale Pwani ya Mbweni wakati wakimpongeza mwenzao aliyechukua fomu kugombea Uenyekiti wa Mtaa kwa tiketi ya CUF
Kumbe uchaguzi huu una mambo mengi aisee.
Maendeleo hayana vyama!
Ndugu kiongozi,kama unaweza kuwa na account twitter na kwenye mitanda msingine,ni kwanini huoni umuhimu wa kuwa na account hapa JamiiForums ili muweze kujibu na kutolea ufafanunuzi wa mambo mbalimbali yanayoihusu serikali na pia Kuitumia account hiyo kutolea taarifa za mambo mbalimbali...
Serikali imetoa ratiba ya utoaji na urejeshwaji wa fomu kwa wagombea wa nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Zoezi hilo litafanyika kuanzia tarehe 29/10/2019 hadi 04/11/2019 wagombea wote mnatakiwa kuzingatia muda.
Source Star tv!
SERIKALI ya Tanzania imelaani vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Serikali ya Marekani dhidi ya Cuba na Zimbabwe kwa sababu vinadhoofisha biashara, uwekezaji na ustawi wa wananchi na imetaka vikwazo hivyo viondolewe.
Tamko hilo limetolewa (Jumamosi, Oktoba 26, 2019) na Waziri Mkuu Kassim...
Kwa haya maandalizi ya CCM ninayoyashuhudia kila mtaa jijini Dar siamini kama Chadema na upinzani wanaweza kuambulia japo mitaa mitatu.
Endapo Chadema watafanikiwa kupata walau mitaa 10 jijini Dsm nitaamini kifo cha Ufipa bado kipo mbali sana......maana si kwa maandalizi haya ya kitanda kwa...
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dr Leonard Chamuriho wakati wa Sherehe ya Mapokezi ya ndege mpya Jijini Dar es salaam .
Bado haijafahamika huduma za ziada zitakazotolewa nje ya zile zinazofahamika kwenye ndege zitakuwa huduma gani na zenye lengo gani .
Kwa kuwa wapinzani wengi hasa CHADEMA wanashauri maendeleo si ya vitu ila yanatakiwa yawe ya watu, napendekeza serikali ifute ruzuku kwa vyama vya siasa ili pesa yote inayotolewa kwa ajili ya ruzuku itumike katika maendeleo ya watu vijijini, tofauti na ilivyo sasa pesa za ruzuku zinatumika...
Bunge litunge sheria kali ya kutunza mazingira. Baada ya sheria kali ya money laundering ambayo haina dhamana, basi ninatamani Bunge lije na sheria kali ya mazingira. Ninadhani bado sheria ya mazingira tuliyonayo haijakidhi haja au imeshindwa kusimamiwa.
Udhaifu wa usimamizi au ubutu wa sheria...
Walitangaza wenyewe. Hata press release waliandika wenyewe. Kwenye akaunti ya Twitter ya ATCL waliandika wenyewe. Sasa wameiondoa, na waziri anatafuta "mchawi" nje yao. Kuna kitu wanaficha. Kitafichuka tu!
Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro ametoa onyo kali kwa wote watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020.
Kamanda Sirro amesema jeshi lake limejipanga sawasawa kukabiliana na sintofahamu yoyote endapo itajitokeza.
IGP Sirro ameyasema hayo jijini Mwanza...
Ili kuinua uchumi na kukuza viwanda vya nguo vya Kenya serikali imeamuru wafanyakazi wote wa serikali na umma kuvaa nguo zilizotengenezwa Kenya kutokana na pamba iliyolimwa nchini humo kila ijumaa na siku za sikukuu. Kwa kufanya hivyo inategemewa kilimo cha pamba kukuzwa na pia kuvipatia soko...
Ndugu zangu
Kwa mujibu wa uchunguzi na utafiti ulioendeshwa na wataalamu wetu profesa Mruma na Profesa Osoro ilibainika wazi kabisa kuwa Watanzania tulikuwa tukiibiwa na kampuni ya ACACIA katika madini yetu hususan kupitia mchanga wa makinikia.
Kwa mujibu wa Utafiti huo ilibainishwa kuwa pamoja...
Tangazo hilo linachezwa sana Wasafi fm (sijajua kwa Vituo vingine vya habari). Tangazo hilo linalosema kwamba hii dawa ya Hans Maks (naomba radhi kama nimeiandika vibaya) ukimpa tu Mtu Mlevi wa pombe ambaye ameshindakana kwa kila namna hasa ile ya ‘kimaombi‘ basi ukimpa hii Dawa ndani ya dakika...
Serikali iliahidi kufika Novemba 2019 reli ya kiwango cha kati kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro ingekuwa imekamilika na kuanza safari ila hadi sasa hakuna maendeleo yoyote, ujenzi haujafika hata 70%.
Mwaka 2016 Serikali iliahidi kufikia 2020 nchi itakya na umeme megawati 5,000 na itaanza...
Mabango katikati ya barabara ni hatari
Usalama barabarani ni jambo kubwa na la msingi katika maendeleo ya nchi yetu. Moja ya vitu ambavyo vinaweza kuleta ajali barabarani ni vizingiti vinavyo mfanya dereva ashindwe kuona vizuri mbele.
Katika kipindi cha miaka ya nyuma, kumekuwa na ongezeko...
Na Boniface Jacob
Senior councillor
Jana tarehe 22 October 2019 Wenyeviti wa Serikali za Mitaa,Vijiji na Vitongoji pamoja na Wajumbe wao Wamemaliza Muda wao wa Miaka 5 Tangu wachaguliwe Mwaka 2014 Muda kama huu kwa Mujibu wa Sheria namba 8 na 9 za mwaka 1982 (Sura 288)
Kiutendaji jana ndiyo...
Habari ndugu wana jukwaa,
Napenda kutoa ushauri kwa serikali iangalie uwezekano wa kuihamishia Tarura chini ya wizara ya ujenzi na uchukuzi kutoka Tamisemi na kuondoa mambo ya mawasiliano kutoka wizara ya ujenzi kupeleka wizara ya habari
Ili kuleta ufanisi masuala ya barabara yawe chini ya...
KAMPUNI ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imeiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itamke rasmi kwamba Standard Chartered Bank (Hong Kong) Limited (SCBHK), si wadai wake na ibatilishe tuzo mbalimbali, ambazo ilipewa huko Ulaya bila kuwepo mhusika mkuu katika migogoro hiyo.
Kwa...
Wanabodi,
Hii ni thread ya Swali,
Kati ya wakosoaji wa Rais na serikali yake, yaani wale ma Critics na wasifiaji, wakiwemo praise singers na machawa, nani wanamsaidia zaidi Rais na serikali yake?. Kwa ukosoaji unaofanyika humu JF, Je sisi JF, tunamsaidia Rais na serikali yake au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.