serikali

  1. scatter

    Kufeli kwa Serikali kuhamia Dodoma

    Wakuu zipo sababu kibao ambazo tukizitaja zinaweza kuwa mwiba mchungu sana lakini itabidi tuzitaje ili kuuboresha mji wa Dodoma ambao umepewa hadhi ya jiji ikiwa kimuonekano baado sana 1. Geografia ya mji wa Dodoma Mkoa huu ni miongoni mwa mikoa mikame na yenye asili ya jangwa kwa maana hauna...
  2. TODAYS

    Serikali iangalie jambo hili

    Baada ya kufungwa kwa maduka maarufu yanayojulikana kama Bureau de Change nchini, huduma ya kubadirisha fedha imepewa nguvu na watoa huduma za kibenki kwa sasa. Kwa utaratibu uliozoeleka hapa nchini kama si duniani, benki nyingi zinafanya kazi siku 5-6 kwa siku ukiondoka siku ya jumapili...
  3. Miss Zomboko

    Serikali yapiga marufuku matumizi ya dawa za aina tatu kwa wenye kiungulia na vidonda vya tumbo

    Afisa Habari Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), Gaudencia Semwanza MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA) imewataka watu wote waliokuwa wanatumia dawa za Raniplex 150 mg, Rantac 500mg/mL na Aciloc 150mg, ambazo hutumika kwa kiungulia na vidonda vya tumbo kuacha mara moja na...
  4. K

    Matabaka ya watumishi

    Vigezo gani vinatumika kupanga mishahara ya watumishi wa umma? Kuna tofauti kubwa sana ya mishahara kati ya watumishi wa mashirika na taasisi za serikali na wale wa halmashauri au serikali kuu. Kuna mashirika mengine hata dereva tu anamzidi mshahara engineer, mwanasheria au daktari wa...
  5. Msanii

    Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

    Wananchi leo wanapiga kura kuchagua viongozi wao wa Serikali za Mitaa ambapo zoezi hilo linaanza saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni na wale wote watakao kuwa kwenye foleni muda huo wataruhusiwa kupiga kura Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amesema Uchaguzi huo utafanyika katika...
  6. chiembe

    Kwa kuwa walioshinda bila kupingwa Serikali za Mitaa wanajulikana katika ofisi za CCM tu, wananchi hawawajui, wapite kila nyumba kujitambulisha

    Mamilioni ya wananchi hawawajui hawa walioshinda bila kupigiwa kura, wanafahamika kwa viongozi wa CCM tu. Nadhani ni busara walazimishwe kupita kila nyumba kusalimia na kujitambulisha.
  7. J

    Serikali haifanyi biashara hivyo inachopokea ni Ziada ( surplus) siyo Gawio ( dividend), wahasibu karibuni!

    Mimi siyo muhasibu lakini nafahamu kwamba gawio ni sehemu ya mapato yatokanayo katika faida ya biashara. Hivyo ili upate gawio ni lazima pawepo na faida iliyopatikana katika mwaka husika. Ziada kwa upande mwingine ni ile bakaa inayobakia baada ya kutoa matumizi kwenye mapato ya taasisi zisizo...
  8. Influenza

    Arusha: Aliyekuwa Mgombea wa Ujumbe katika Serikali ya Mtaa akutwa kwake akiwa amefariki huku akiwa na alama kukatwa shingoni

    Aliyekuwa Mgombea katika nafasi ya Ujumbe wa Serikali ya Mtaa ya eneo la Mnara wa Voda, kupitia CHADEMA kabla ya Chama hicho hakijajitoa kushiriki, Sirili Homary amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake huku akidaiwa kukatwa na kitu chenye ncha kali shingoni Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha...
  9. J

    Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

    Waziri Prof Kabudi ameuliza swali zuri sana kwamba mbona Dream liner zote mbili zilizotokea Marekani zilifika salama hazikukamatwa, kulikoni Canada? Waswahili walisema " kikulacho ki nguoni mwako". Prof Kabudi aliangalie jambo hili kwa umakini mkubwa maana hawa wapinzani wa kisiasa wa hapa...
  10. D

    Prof Lipumba: Serikali itekeleze ahadi yake

    Baraza Kuu limekumbusha kuwa tangu mwaka 1995, Chama cha CUF kimetoa wito kwa Serikali kuwajengea Polisi makazi bora. Hususani CUF ililaani kuwepo na nyumba za polisi za full suit kuta za bati na paa la bati. Kukiwa na joto balaa na kukiwa na baridi balaa. Serikali imesikia utetezi wa CUF kwa...
  11. elivina shambuni

    Spika Ndugai atoa neno kwa Mbunge atakaye kataa bajeti ya serikali

    Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema mbunge anayekataa bajeti ya Serikali bungeni ni mpuuzi. Spika Ndugai ametoa kauli hiyo leo wakati akiahirisha Bunge la sita la Vijana la mwaka 2019 katika ukumbi wa Pius Msekwa, mjini Dodoma. "Kuna mambo matatu katika bajeti, kusema ndio, hapana...
  12. K

    Baada ya wapinzani kususia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, aibu waliyoipata CCM hawataisahau

    Baada ya wapinzani kufanyiwa figisu figisu hivyo kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM wamepata aibu nchi nzima. 1. Wamekosa washindani nchi nzima 2. Wanafanya kampeni peke yao nchi nzima. Hakuna hamasa, majigambo nk. 3. Wamekosa wasikilizaji hadhira. 4. Wameishia kupeleka wasanii wa...
  13. J

    Mjapan: Rais Magufuli yuko sahihi, vyuo vikuu duniani kulikoendelea huandaa wahitimu kujiajiri na sio kusubiri ajira ya serikali

    Injinia wa kijapani pale Mwenge amekubaliana na ushauri wa Rais Magufuli kwa vyuo vikuu kwamba Degree zao zilenge kuwaandaa vijana katika kujiajiri na si kusubiri ajira za serikali. Mjapan ameniambia vyuo vikuu katika dunia iliyoendelea huwaandaa vijana katika ubunifu, ujasiri na uthubutu na si...
  14. britanicca

    Serikali Kuu ya JamiiForums

    Waacha wagawianeni vyeo lakini tumamua kuunda serikali kuu yetu hapa JF Rais - Mheshimiwa Kiranga Makamu wa Rais- Shunie Waziri Mkuu- Pascal Mayalla Msemaji wa Serikali Mwifwa Waziri Wa nchi ofisi ya Rais- GuDume Waziri wa Mipango na Fedha - BAK Waziri Wa mambo ya nje Nyani Ngabu Waziri Wa...
  15. Suley2019

    Kiongozi wa chama wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kupanda kwa bei ya mahindi ni kwa sababu serikali hainunui chakula cha akiba

    Zitto alisema Rais John Magufuli ameongelea bei ya unga kupanda yupo sahihi kwa wakulima wanapaswa kupata bei nzuri ya mazao na serikali haipaswi kuingilia. “Amejifunza makosa ya korosho? Lakini sababu za bei kwa walaji kupanda ni serikali kutonunua chakula cha akiba Zitto aliandika ujumbe huo...
  16. N

    Aibu: Kama data hizi za BOT ni za kweli basi Rais Magufuli na serikali yake hawana faida kwetu

    Leo kawaka kwa hasira huku akitupa vijembe vyake na kuonekana kama mtu anayejali soko la wakulima lijiendeshe lenyewe weka demands and supply contrary kwa yale aliyoyafanya kwenye korosho, mbaazi, zabibu na anayoendelea kuyafanya kwenye pamba na kahawa Kumbe report ya BOT Inamuumbua, mahindi...
  17. KENZY

    Ipo haja kwa serikali kupitia maoni, mawazo na matatizo ya wananchi kwa njia ya mitandao

    Isiwe kila siku mitandao inachukuliwa kama njia hasi yenye kupinga na kukataa utendaji wa serikali,yapo mengi yanayoweza kusaidia nchi kimaendeleo. Mfano suala la NIDA kuchelewesha vitambulisho nk. wapo wadau wamelalamikia mno na hata wengine kuja na majibu ya nini kifanyike. Kwa kutumia njia...
  18. elivina shambuni

    Chama Cha Demokrasia makini chasema tutapata ushindi wa “kisulisuli” katika uchaguzi wa serikali za mitaa

    Chama cha Demokrasia Makini kimesema ili kujihakikishia ushindi wa “Kisulisuli” kwa wagombea wake wote, viongozi wote wa ngazi ya juu ya chama hicho wamegawana kwa kila mmoja kwenda katika mkoa wake na kufanya kampeni kwa kadri wanavyoweza kwa kushirikiana na wagombea pamoja na wanachama...
  19. elivina shambuni

    Serikali Kupitia Kwa Waziri wa Fedha Dokta Mpango Yaiomba AFDB Kujenga Barabara Njia Nne Morogoro Hadi Dodoma

    WAZIRI wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango ameiomba Benki ya Maendeleo ya Afrika kuipatia Tanzania mkopo nafuu kwa ajii ya kujenga barabara ya njia Nne kuanzia Morogoro hadi Dodoma ili kuboresha usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo Dkt. Mpango ametoa ombi hili Jijini Dodoma...
  20. K

    Vurumai kwenye Uchaguzi wa Mitaa, Ukimya wa JPM, Je huku si kupotoka kwa Serikali kwenye dhamana ya Umma?

    Najaribu kuuliza hilo swali. Natafakari dhamana ya serikali na viongozi wetu kwenye hii vurumai na najaribu kuiangalia wajibu wa kuwajibika(Responsibility) naona giza. Yaani kwamba zoezi la maandalizi ya uchaguzi kwa hatua za awali kabisa serikali kufanya figisu ya kutoa tarehe kwamba ilikuwa...
Back
Top Bottom