Mahojiano aliyofanya Dkt Mohamed Janabi,kuhusu Corona na clip yake aliyoisambaza zimenifanya nijiulize maswali mengi kuhusu menejimenti wa mfumo wa afya hapa nchini!
Profesa Janabi alielezea ugonjwa kwa ufasaha kwa kiwango ambacho kimedhihirisha pengo kubwa Kati ya na kinara ambaye amekuwa akitoa taarifa na Elimu Waziri Ummy na wenzake !
Hakika Profesa Janabi ametuasa kuhusu hatari ya ugonjwa huu na jinsi gani tunatakiwa kujiandaa.
Wakati natafakari haya nikakumbuka kuwa Serikalini kuna mtu anaitwa Mganga Mkuu wa Serikali (Chief Medical Officer) nafikiri huyu ndiye alitakiwa kuwa msemaji wa Serikali kuhusu afya badala ya kumtumia Waziri. Cha kushangaza hata Naibu Waziri hapewi nafasi ilihali yeye Ni mtaalamu!
Hivi tatizo ni nini? Ni Waziri Ummy anapenda kuongea sana au ndio mfumo ulivo?
Kama ni mfumo jukumu la Mganga Mkuu wa Serikali ni nini!?
Inakuwaje Hadi media inachukua taarifa za kina Polepole kuwa tutaidhibiti Corona Kama tunavyothibiti upinzani.?😀😀😀
Profesa Janabi alielezea ugonjwa kwa ufasaha kwa kiwango ambacho kimedhihirisha pengo kubwa Kati ya na kinara ambaye amekuwa akitoa taarifa na Elimu Waziri Ummy na wenzake !
Hakika Profesa Janabi ametuasa kuhusu hatari ya ugonjwa huu na jinsi gani tunatakiwa kujiandaa.
Wakati natafakari haya nikakumbuka kuwa Serikalini kuna mtu anaitwa Mganga Mkuu wa Serikali (Chief Medical Officer) nafikiri huyu ndiye alitakiwa kuwa msemaji wa Serikali kuhusu afya badala ya kumtumia Waziri. Cha kushangaza hata Naibu Waziri hapewi nafasi ilihali yeye Ni mtaalamu!
Hivi tatizo ni nini? Ni Waziri Ummy anapenda kuongea sana au ndio mfumo ulivo?
Kama ni mfumo jukumu la Mganga Mkuu wa Serikali ni nini!?
Inakuwaje Hadi media inachukua taarifa za kina Polepole kuwa tutaidhibiti Corona Kama tunavyothibiti upinzani.?😀😀😀