Serikali ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete hazikupika takwimu za uongo za viwanda

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Wachumi na wanahistoria naomba mnisaidie Serikali za Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Jakaya hazikufanya udanganyifu wa takwimu za uwepo wa viwanda vipya Tanzania.

Naamini hata Serikali ya awamu ya tano haiwezi fanya kosa Kama Hilo la kupika data za kiuchumi.

Hivyo wanavyosema ndani ya miaka minne tumejenga viwanda 4000 nchi nzima naamini ni kweli.

Hii inafanya wastani wa viwanda 133 vipya ndani ya kila mkoa kwa nchi nzima.hongera Sana JPM

Swali langu.

Kama tumejenga viwanda vipya vingi kiasi Hiki je ni kwanini awamu zote nne wazazi walilelewa na watoto wao uzeeni ila kizazi Hiki wazazi wazee wanawalea watoto wao vijana?

Nakomea hapa kwasasa nitahitimisha baada ya utafiti wa miezi mitatu.
 
Nchi iliyojaa viongozi wadhalimu usitegemee kuona maneno yao yakiendana na vitendo vyao...

Naweza kusema hii ni awamu iliyojikita kwenye takwimu za kupika pamoja na kuumaliza upinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo swali umemuuliza nani.
Mimi ngoja nimuulize yeye.

Nyumbani kwake hana kinu cha kusaga /au jiwe kupata unga?

Hata cherehani ya kubandika viraka hana?

Mbona kuna viwanda vya aina mbalimbali vinavyotambuliwa kuwa ni viwanda kwa mjibu wa serikali ya awamu hii!
 
Wachumi na wanahistoria naomba mnisaidie Serikali za Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Jakaya hazikufanya udanganyifu wa takwimu za uwepo wa viwanda vipya Tanzania.

Naamini hata Serikali ya awamu ya tano haiwezi fanya kosa Kama Hilo la kupika data za kiuchumi.

Hivyo wanavyosema ndani ya miaka minne tumejenga viwanda 4000 nchi nzima naamini ni kweli.

Hii inafanya wastani wa viwanda 133 vipya ndani ya kila mkoa kwa nchi nzima.hongera Sana JPM

Swali langu.

Kama tumejenga viwanda vipya vingi kiasi Hiki je ni kwanini awamu zote nne wazazi walilelewa na watoto wao uzeeni ila kizazi Hiki wazazi wazee wanawalea watoto wao vijana?

Nakomea hapa kwasasa nitahitimisha baada ya utafiti wa miezi mitatu.
Viwanda hewa 4000 vipo. Serikali imeteleleza. Hahahaa
 
Swali langu.
Kama tumejenga viwanda vipya vingi kiasi Hiki je ni kwanini awamu zote nne wazazi walilelewa na watoto wao uzeeni ila kizazi Hiki wazazi wazee wanawalea watoto wao vijana?
Mkuu Supa Bugi, hata hizi tawimu za wiwanda 4,000 vipo sio za kupikwa.

Kwasababu enzi zile tulikuwa wachache chini ya milino 20, literacy levels ilikuwa ndogo, mimi nimemaliza tuu shule kazi, mzazi anavuta fungu. Walioishia la 7 waliajiriwa viwandani kama labourers na wa vijijini walipiga kazi ya kilimo.

Sasa tuko wengi, zaidi ya milioni 50, kazi za kuajiriwa hakuna ukilinganisha na idadi, elimu ya chuo kikuu hakuna kazi, watu wanatembea na vyeti, vijana wa sasa hawajitumi, hawataki kuchapa kazi, wao ni kula kulala, wa kike kudanga. Hivyo viwanda 4,000 ni pamoja na kila cherehani 4 ni kiwanda, jee mwanao atashona?.

Mfumo wetu wa elimu bado ni elimu ya kuajiriwa sio elimu ya kujitegemea, nenda Kariakoo kashuhudie jinsi WaChina walivyojazana wanafanya biashara ya kila kitu hadi kuuza karanga!; huku watoto wetu wako home na vyeti vyao wakisubiri ajira.

Rate ya population growth ni kubwa kuliko employability hivyo kwa sasa joblessness ni kubwa kuliko zamani, enzi hizo ukisomesha ni umejenga mgodi, sasa utasomesha na kuendelea kulisha.

The way forward ni vijana wetu wajiajiri, and be ready for anything hata kama elimu yako ni ya chuo kikuu, fursa iliyopo ni kuzibua vyoo au kutapisha, zibua, tapisha!.
P
 
Mkuu Supa Bugi, hata hizi tawimu za wiwanda 4,000 vipo sio za kupikwa.

Kwasababu enzi zile tulikuwa wachache chini ya milino 20, literacy levels ilikuwa ndogo, mimi nimemaliza tuu shule kazi, mzazi anavuta fungu. Walioishia la 7 waliajiriwa viwandani kama labourers na wa vijijini walipiga kazi ya kilimo.

Sasa tuko wengi, zaidi ya milioni 50, kazi za kuajiriwa hakuna ukilinganisha na idadi, elimu ya chuo kikuu hakuna kazi, watu wanatembea na vyeti, vijana wa sasa hawajitumi, hawataki kuchapa kazi, wao ni kula kulala, wa kike kudanga. Hivyo viwanda 4,000 ni pamoja na kila cherehani 4 ni kiwanda, jee mwanao atashona?.

Mfumo wetu wa elimu bado ni elimu ya kuajiriwa sio elimu ya kujitegemea, nenda Kariakoo kashuhudie jinsi WaChina walivyojazana wanafanya biashara ya kila kitu hadi kuuza karanga!; huku watoto wetu wako home na vyeti vyao wakisubiri ajira.

Rate ya population growth ni kubwa kuliko employability hivyo kwa sasa joblessness ni kubwa kuliko zamani, enzi hizo ukisomesha ni umejenga mgodi, sasa utasomesha na kuendelea kulisha.

The way forward ni vijana wetu wajiajiri, and be ready for anything hata kama elimu yako ni ya chuo kikuu, fursa iliyopo ni kuzibua vyoo au kutapisha, zibua, tapisha!.
P
Viwanda hivyo vipo wapi ? Hilo ndio swali. Karibu tena ndg.
 
Pamoja na MAELEZO mazuri hivyo viwanda viko wapi? Tutajie angalau 25 kila mkoa.
Mkuu Supa Bugi, hata hizi tawimu za wiwanda 4,000 vipo sio za kupikwa.

Kwasababu enzi zile tulikuwa wachache chini ya milino 20, literacy levels ilikuwa ndogo, mimi nimemaliza tuu shule kazi, mzazi anavuta fungu. Walioishia la 7 waliajiriwa viwandani kama labourers na wa vijijini walipiga kazi ya kilimo.

Sasa tuko wengi, zaidi ya milioni 50, kazi za kuajiriwa hakuna ukilinganisha na idadi, elimu ya chuo kikuu hakuna kazi, watu wanatembea na vyeti, vijana wa sasa hawajitumi, hawataki kuchapa kazi, wao ni kula kulala, wa kike kudanga. Hivyo viwanda 4,000 ni pamoja na kila cherehani 4 ni kiwanda, jee mwanao atashona?.

Mfumo wetu wa elimu bado ni elimu ya kuajiriwa sio elimu ya kujitegemea, nenda Kariakoo kashuhudie jinsi WaChina walivyojazana wanafanya biashara ya kila kitu hadi kuuza karanga!; huku watoto wetu wako home na vyeti vyao wakisubiri ajira.

Rate ya population growth ni kubwa kuliko employability hivyo kwa sasa joblessness ni kubwa kuliko zamani, enzi hizo ukisomesha ni umejenga mgodi, sasa utasomesha na kuendelea kulisha.

The way forward ni vijana wetu wajiajiri, and be ready for anything hata kama elimu yako ni ya chuo kikuu, fursa iliyopo ni kuzibua vyoo au kutapisha, zibua, tapisha!.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom