serikali

  1. George Kahangwa

    Serikali kuu moja, mbili, au tatu?

    Mara nyingi nimekuwa nikiwaza kuhusu ni nini watanzania watachokiamua watakapopitisha katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hususan suala la muundo wa serikali. Nimetamani sana uwepo mdahalo uhusuo jambo hili, ili hoja zijengwe na kusikika kuhusu tuwe na serikali kuu ya namna gani...
  2. S

    Serikali ianzishe huduma ya "Hati mtandao" na "Hati mobile" kuondoa usumbufu kama ule wa watu kufuatila hati na kukuta hazijakamilika

    Kama wewe umewahi kununua ardhi/kiwanja na kufuatilia hati ya umiliki katika ofisi za kanda,basi unaweza kuwa ni mmoja wa watu waliokumbwa na adha ya kutoka mkoa mmoja na kwenda mkoa mwingine ambako kuna ofisi za kanda kufuatilia hati yako na kukumbana na kero ya aina hii. Moja ya matatzo au...
  3. Ulimbo

    Vyama 7 vilivyojitoa uchaguzi wa mitaa vyatoa tamko la pamoja

    Nimesikia viongozi wa vyama vya upinzani wakiwaambia watu watege masikio ili wasikie maamuzi yatakayotolewa na viongozi wao kuhusu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwani serikali ya CCM wamekuwa wakijiamulia kufanya wanayotaka. Sasa hapa si ajabu ukasikia viongozi hao wamekamatwa kwa...
  4. chiembe

    Ushauri: Serikali iagize waliopita mgambo waanze mazoezi nchi nzima ili wawe tayari kuwapiga watanzania watakaoharibu uchaguzi serikali za mitaa

    Nashauri kwamba watu wote waliopita mgambo nchi nzima wawekwe tayari na siku mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, wafanye mazoezi makali kabisa mitaani kama ishara ya onyo kwa watanzania wanaojiandaa kuvuruga amani. Serikali iinunue makontena ya rungu mpya na kuwagawia watu hawa
  5. Doctor Mama Amon

    Serikali imetangaza kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa uko palepale licha ya malalamiko mengi kutaka usifanyike

    Waziri Mkuu akoleza uchaguzi serikali za mitaa Mwananchi, Ijumaa, November 15 2019, Dodoma. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Majaliwa Kassim Majaliwa Hakuna kulala uchaguzi wa serikali za mitaa uko palepape. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kauli ya Waziri Mkuu wa Tanzania...
  6. Ulimbo

    Walijitoa uchaguzi wa serikali za mitaa Kuishtakiwa?

    Tangia mwanzoni kulikuwepo na sintofahamu kwa wagombea wa upinzani kutotendewa haki. Jambo hili lilijitokeza pia kwenye kura za maoni ndani ya ccm ambapo uongozi wa juu ulimweka mtu waliomtaka na si yule aliyependekezwa na wananchi/wapiga kura wake. Kitendo hicho kilifanya zoezi la...
  7. elivina shambuni

    Wabunge wa Kenya wamfagilia Magufuli

    WABUNGE wa Kenya wamemfagilia Rais John Magufuli, kutokana na kusimamia vizuri mapato na matumizi na ujenzi wa miradi, ambayo thamani ya fedha inaonekana katika utekelezaji wake nchini. Wakizungumza katika ziara nchini ya kujifunza namna Mfuko wa Jimbo unavyofanya kazi na kutembelea miradi...
  8. Makanyaga

    Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete yaokoa Tsh. Billion 89 za matibabu ya moyo

    Iwapo wagonjwa hao wangetibiwa nje ya nchi, serikali ingetumia zaidi ya Sh. bilioni 178 kulipia gharama za matibabu hayo. 
Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Prof. Mohamed Janabi, alisema hayo jana wakati akielezea mafanikio ya miaka minne ya serikali ya awamu ya tano kwa upande wa matibabu ya moyo...
  9. Boniphace Kichonge

    Changamoto Sekta ya Afya: Wajawazito wanatumia chumba kimoja na wanaosafishwa vidonda

    OKTOBA 22, 2019 KUTOKEA SAME MKOANI KILIMANJARO. Kukosekana wodi ya wajawazito katika zahanati ya Lugulu iliyopo Wilaya ya Same, kumesababisha wanaotaka kujifungua watumie chumba kimoja na wagonjwa wanaosafishwa vidonda. Wakizungumza na Mwananchi, wakazi wa Kijiji cha Lugulu ilipo zahanati...
  10. Mystery

    Je, Mhimili wa Bunge umemezwa na Mhimili wa Serikali?

    Katika kipindi ambacho huwa kinatoka Live, kila siku ya alhamisi ya kila wiki, ambapo wabunge hupata wasaa wa kiuliza maswali ya moja kwa moja kwa Mheshimiwa Waziri mkuu Moja ya maswali yaliyoulizwa leo ni kutoka kwa Mbunge wa viti maalum wa Chadema, Devotha Minja, ambaye aliuliza kuhusu...
  11. beth

    Serikali kukodi ndege ya mizigo kupeleka maua, samaki nje

    Serikali imesema itakodi ndege kupeleka matunda na mbogamboga nje ya nchi kutoka katika viwanja vya ndege vya Songwe na Mwanza, wakati huu ikijiandaa kununua ndege ya mizigo kwa kazi hiyo. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe alisema hayo wakati akijibu swali la nyongeza la...
  12. Chief Kabikula

    Wapinzani Chukueni Tahadhari, Njama Walizopanga CCM Kuelekea Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa 2019

    Chama cha mapinduzi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi huu, kimepanga yafuatayo baada ya mipango ya awali kufeli, mipango iliyohusisha maelekezo kwa Watendaji wa kata, makatibu tawala wa wilaya, maafisa usalama wa taifa wa wilaya na waziri waziri mwenye dhamana wa Tamisemi. Sina haja...
  13. B

    Katibu Mwenezi wa CHADEMA wilaya ya Hai alalamikia uamuzi wa Halmashauri Kuu kujitoa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    KATIBU mwenezi wa chama cha demokrasia na maendeleo, ndugu humphrey Munisi akihojiwa na waandishi wa habari ametoa malalamiko yake ya kutoridhishwa na uamuzi uliofanya na halmashauri kuu ya chama, kujitoa na kuelekeza wagombea wote kujitoa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa. Amedai kuwa...
  14. Erythrocyte

    NLD nayo yajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Chama cha upinzani cha NLD nchini Tanzania kimetangaza kutoshiriki uchaguzi wa serikali za mitaa nchini humo utakaofanyika Novemba 24, 2019. NLD inaungana na vyama vingine sita kususia uchaguzi huo. Vyama hivyo ni; Chadema, ACT- Wazalendo, UPDP, CUF, Chaumma pamoja na NCCR-Mageuzi. Taarifa...
  15. Miss Zomboko

    Serikali yaanza mazungumzo kwa ajili ya kununua ndege nyingine ya mizigo

    Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe amesema serikali imeshaanza mazungumzo ya namna ya kupata ndege ya mizigo kwaajili ya kubeba mazao ya mbogamboja kuyepaleka nje ili kuwasaidia wakula. Ametoa kauli hiyo bungeni leo Jumatano Novemba 13, alipokuwa akijibu swali la Mbunge...
  16. R

    Dr. Bashiru mbona uko kimya kwa hili la uchaguzi wa Serikali za Mitaa?

    Unajinadi kutetea haki, kusema kweli, CCM mpya na mapambio mengi tu kutoka kwenye kinywa chako na kwako kwa ujumla! Nimekusikiliza sana! Leo mbona ume -mute kama vile nothing is going on on your side, as if all is clean! Kweli unafiki, uzandiki and all sorts of filth ndio mwendo wa maisha ya...
  17. Roving Journalist

    Amnesty International and Human Rights Watch: Hali ya ukandamizaji wa vyombo vya habari, watetezi wa haki za binadamu na vyama vya upinzani waongezeka

    AMNESTY INTERNATIONAL HUMAN RIGHTS WATCH TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Ukandamizaji wa vyombo vya habari, watetezi wa haki za binadamu na vyama vya upinzani umeongezeka tangu mwaka 2015, zinasema ripoti mbili tofauti za mashirika ya Amnesty International na Human Rights Watch zilizotolewa leo...
  18. J

    Serikali yanunua ndege ili kuutangaza utalii wa nchi yao

    Ndege mpya ya Uganda Airline inayomilikiwa na Serikali ya Uganda leo imezindua rasmi safari zake za kwenda Mombasa Kenya kwa kile kilichoelezwa kuwa kutangaza na kuimarisha sekta ya utalii. Msemaji wa Uganda amesema sasa ndege za shirika hilo zinamilikiwa na Serikali tofauti na hapo awali...
  19. Erythrocyte

    UPDP nayo yajiondoa kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa

    Hayo yamebainishwa leo na Mh Fahmi Dovutwa alipokuwa anaongea na waandishi wa habari , ambapo amewaagiza wagombea wote wa chama hicho nchi nzima kutoshiriki uchafu huo
  20. Return Of Undertaker

    CHADEMA yadai uchaguzi ufutwe, kuwe na tume huru na marufuku kutumia nembo ya CHADEMA. Kwa tume iliyopo hakuna jipya imejaa magigisi

    Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo amesema hakuna atakayejitoa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na wote waliochukua fomu na kurejesha watashiriki uchaguzi huo kasoro wenye makosa ya uraia, kutojiandikisha katika mtaa husika, kujiandikisha mara mbili, kutodhaminiwa na chama chake #MwananchiUpdates...
Back
Top Bottom