serikali

  1. iparamasa

    JamiiForums Tanzania Nani aligharamia ukarabati wa kifahari wa ofisi ya Mkuu wa mkoa DSM?

    Picha zimekuwa zikisambaa kwenye mitandao kuonyesha ufahari wa hali ya juu wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa dar es salaam. Ofisi hiyo imekuwa tofauti kabisa na ile ya Mkuu wa mkoa aliyepita bwana Sadick, ofisi ya Makonda ina kompyuta kadhaa za apple,mapambo mengi ya kila aina yanayoashiria ufahari...
  2. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wajumbe wa viongozi Wakenya waliokwenda kuhudhuria msiba wa Mkapa, wageuza kutokana na hali ya hewa mbaya

    Haijafahamika kama walitimuliwa au ndege ilikatazwa ruhusa ya kutua au kitu gani, ila wajumbe hao ambapo humo kuna viongozi, walifika Tanzania na ndege kugeuza nao, bado inasubiriwa ieleweke nini haswa mbivu na ipi mbichi. Waziri wa Tanzania bwana Kabudi amesema hali ya hewa ndio ilikua mbovu...
  3. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

    Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa. Mwenyekiti wa Chama...
  4. Tulimumu

    JamiiForums Tanzania Hongera sana Jeshi la Polisi kwa kutumia busara kubwa badala ya nguvu

    Asubuhi nilitoa mada yenye kichwa "Tunasubiri kuona busara ya jeshi la polisi wakati wa kurejea kwa Lissu" Niseme wazi kwa mara ya kwanza jeshi la polisi limetumia busara kubwa kutozuia na kuingilia mapokezi ya Tundu Lissu. Hiki ndicho wengi tulikuwa tuna kitaka. Polisi wakijiweka kando katika...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima

    Historia ya Benjamin Mkapa MFULULIZO WA MATUKIO MBALIMBALI YALIYOTOKEA WAKATI WA MSIBA NA MAZISHI YA HAYATI MZEE BENJAMINI WILLIAM MKAPA WANANCHI WASIMAMA BARABARANI KUAGA MWILI WA RAIS MKAPA Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, wameonekana wakisimama barabara kuonyesha heshima kwa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hapana: Serikali bado haijampa heshima stahiki Mzee wetu Benjamin Mkapa

    Rais Mstaafu kafariki, Taifa limetangaziwa msiba huu mzito, kesho yake shughuli za serikali zinaendelea kama kawaida. Hata watoto kwenda shule wakaenda! Ligi za mpira zinaendelea wakati mwili wa mzee wetu ukiwa umelala katika viwanja vya uwanja pale Uhuru Stadium Mwili wa Mzee wetu unatolewa...
  7. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Udikteta na ukandamizaji haki wa Serikali za vyama kongwe vinavyotawala hadi leo. Sababu...

    Mifano ni mingi lakini chukulia chukulia mifano ya hivi vyama na inchi husika hapa chini . 1. CPDM cha Cameroon 2. CCM cha Tanzania 3. ZANUPF cha Zimbabwe 4. Frelimo cha msumbiji 5. PDG huko garbon Utagundua kwamba inchi zote tajwa hapo juu serikali zao zinaongozwa na vyama kongwe vilivyopokea...
  8. Patriot

    JamiiForums Tanzania Biashara katika Siasa na ajira ya Serikali katika Siasa

    Nimesikiliza kilio cha waajiliwa wa serikali walioonesha niya ya kutaka kugombea nafasi ya Ubunge baada ya kujikuta wanakatiwa mshahara wa mwezi July. Serikali iko sahihi maana kuna mwongozo wa aina hiyo. Tatizo ni kwa nini serikali iliweka mwongozo wa kibaguzi aina hiyo? Yaonekana serikali...
  9. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Don Nalimison asimamishiwa Mishahara na Serikali Halmashauri ya Jiji la Mwanza

    Wakati Watumishi wote Wamepokea Mishahara yao tangu Jana ijumaa. Mimi Mpaka Leo sijapata. Hii ni dharau kubwa sana kwa Taifa maana sijawahi kupewa barua ya kufukuzwa kazi au kusimamishwa kazi. Tunaongoza Nchi kwa kutumia meno ya mabua. Wapinzani chukieni Nchi yenu CCM na IKULU yao imeshindwa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Benjamin Mkapa: Shujaa aliyeona umuhimu wa kuimarisha Serikali za Mitaa

    Kwaheri Ben! Katika mambo ambayo uliyafanya na hatutasahau ni pamoja na kuona umuhimu wa kuziimarisha Mamlaka za Serikali za Mitaa. Mwaka 1998 Rais Mkapa alianzisha mpango ulioitwa Local Government Reform Program Tanzania. Mpango huu ulikuja wakati muafaka maana kipindi hicho Halmashauri...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Huduma za miamala ya simu ipo juu sana. Hivi hii Serikali imeenda likizo?

    Hizi kampuni za simu zimegeuka kuwa majizi lakini Serikali nayo inaangalia tu. Huduma za mobile money zipo juu sana. Makato ni makubwa sana. Serikali saidieni wananchi wenu tunaibiwa huku. Serikali komesheni huu unyonyaji unaofanywa na hii mitandao ya simu.
  12. T

    JamiiForums Tanzania Madagascar: Mfumo wa Huduma za Afya waelemewa na wagonjwa wa Corona, hospitali za Umma zimejaa

    Taarifa ni kuwa mfumo wa Huduma za Afya nchini Madagascar umeelemewa na wagonjwa, hospitali zote zimejaa wagonjwa, hali ni mbaya. Serikali imeomba msaada wa mashine zaidi ya 1,000 za kupumulia. Hospitali zinapokea wagonjwa mahututi pekee kwa sababu wagonjwa wakejaa. Organic Covid imegonga...
  13. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Serikali: Nashauri Serikali iwanyang'anye passport za kusafiria wale wote waliotukana, kudhihaki na kumsema vibaya Rais wetu

    Kwako serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Mimi ni kijana mzalendo, niliyepata mafunzo ya kijeshi nikafundishwa kupenda taifa letu, nikafundishwa kulinda upendo na amani ya nchi yetu. Ninao uchungu mkubwa juu taifa langu. Nimekuwa nikikerwa sana juu ya ndugu zetu wengine ni viongozi...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Serikali iwe makini na mapokezi ya Lissu, msisubiri hali ikiwa tete

    Wakuu wa vyombo vyote vya ulinzi tafadhalini mulikeni kwa ukaribu sana mapokezi ya mtu anaitwa Lissu. Njia za kufanya, fanyeni kama Mossad walivyoweza peleka watu wao kwenye vikao vya siri vya USSR, jambo lililosaidia CIA kupata mipango hatari ya USSR ya zamani. Pia mulikeni makundi special...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Hii ni moja ya sababu kwanini CCM hii na serikali yake wanapaswa kuondolewa madarakani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu

    POLICE WAKAMATA WANACHAMA WA ACT WAZALENDO MASASI Ziara ya mwenyekiti wa ACT WAZALENDO ndugu Maalim Seifu Sharifu Hamad leo alifika Masasi na kufanya kikao cha ndani mara baada ya kuondoka ukumbini hapo police walivamia na kukamata wanachama na viongozi 14 pamoja na mtoto-ACT Wazalendo on...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ni lini Serikali ya Tanzania kupitia Waziri Kabudi itaanza Kutusambazia Watanzania Dawa zinazoponya CORONA kutoka Madagascar?

    Madagascar imeanza kuhaha kutafuta misaada toka Mashirika na Taasisi za Afya za Kimataifa kukabiliana na kuenea kwa kasi kwa wagonjwa wa Corona katika wiki za hivi karibuni. ITV Tanzania Kuna Watu walikuwa ' wanamshutumu ' mno Rais wa Marekani Trump alipotudharau na kutudihaki Waafrika wakati...
  17. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watangazaji wa kipindi cha Sebuleni cha Clouds Plus wamegeuzwa wasemaji wa Serikali badala ya wachambuzi

    Pengine kutokana na hulka ya JPM kufanya teuzi mbalimbali za wasaidizi wake kutoka vyombo mbalimbali vya habari inawezekana kabisa hii dhana imewaondolea weledi baadhi ya watangazaji wengi wa vyombo hivi na kuamua kujikita katika kuwa wasemaji wa serikali na badala ya kuwa wachambuzi wa habari...
  18. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Serikali isimamie kutoa fidia kwa wale wanaotoa ardhi kwa ajili ya maendeleo, watu wanalia sana

    Binafsi naiamini na kuiomba Serikali ya sasa jinsi inavyosimamia maendeleo kadhaa isimamie pale wananchi wanapolipwa pesa zao kwa kutoa ardhi kwa ajili ya serikali. Hili naamanisha ama inapovunja nyumba ama kuchukua sehemu ambayo wana haki ya kulipwa. Nimeona wengi wakiteseka hasa wanaposema...
  19. Superbug

    JamiiForums Tanzania Muda muafaka wa kujengea kaburi ni upi? Sheria za serikali kuhusu kumiliki kaburi zinasemaje?

    Wazee wenzangu Good morning! Naomba mnifahamishe muda mzuri wa kujengea kaburi baada ya ndugu kufariki. Naomba mnijuze sheria za serikali za kumiliki kaburi zinasemaje in case wakitaka kuyahamisha. Na je, muda maalumu wa kumaliza msiba ni lini ukipita mwaka mmoja hamjamaliza msiba, yaani 40...
  20. A

    JamiiForums Tanzania Serikali italipa lini malimbizo ya mshahara?

    Naiuliza tu hii Serikali italipa lini malimbikizo ya mishahara ya walimu? Kuna awamu mbili ya madai ya malimbikizo ya mishahara ya walimu,kuna waliopanda daraja 2018 na 2019 hatujalipwa hadi leo hii. Kwa upande wangu ninadai shilingi laki nane. Kiasi hicho cha pesa kwa kada yangu hii ya uwalimu...
Back
Top Bottom