FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Najua ulaya barabara za chini ya bahari zipo hasa Marekani, kwakuwa Zanzibar siyo mbali toka Dar es salaam kwanini tusiwe na barabara za chini ya bahari tuwe tunaenda kwa magari?
Wakati wa ufunguzi nitaomba serikali inialike, asante.
Wakati wa ufunguzi nitaomba serikali inialike, asante.