Kwani shida ni nini? Mbona mpira umepigwa Taifa star kachezea 1:0. Acheni kazi iendelee! Camera za Azam kimeo sana.Inawezekana hata picha za SGR anazotuletea ni za uongo.
View attachment 1597019
Hali halisi.
View attachment 1597020
Bado sijaelewa Tatizo ni nini? Kwani zikiprintiwa Africa kusini ndo chadema mtashinda? Kipigo kiko pale pale hata zikpritiwa miga au Amsterdam! Acha kazi iendelee, magu tano tena
Kwahiyo unategemea kamera ikuonyeshe umependeza.Kwani shida ni nini? Mbona mpira umepigwa Taifa star kachezea 1:0. Acheni kazi iendelee! Camera za Azam kimeo sana.
Serikali kwa kutumia hiyo picha kufanya propaganda wamedhibitisha mengi wanatudanganya.
Hawa serikali wasenge sana. Wanatuona sisi ni maboya. Hatudanganyiki.