sanaa

  1. UKWAJU WA KITAMBO

    JamiiForums Tanzania Sanaa shuleni

    SANAA YA MUZIKI HAIPEWI NAFASI MASHULENI LIKIJA SUALA NZIMA LA UIPUAJI WA VIPAJI MASHULENI TOFAUTI NA ZAMANI.. Serikali imekuwa ikiimiza michezo mashuleni ili kuibua vipaji na kuendeleza , kuchochea ufaulu mashuleni na kuondoa utoro kwa wanafunzi... wanafunzi hushiriki katika michezo...
  2. kibori nangai

    JamiiForums Tanzania Adela Tillya wa Wasafi mwanamke huyu ananikosha sana

    Adela Tilly wa WASAFI Kama huko hukuu tafadhalii okoa moyo wangu unakufaaaa ganzii Njoo DM najua uko hukuu Sifa zako 1. Mcha Mungu tena unasali. KKKT kijitonyamaa. 2. Mzuri asee. 3. Unajielewaa sana. 4. Machaga Njoo PM sasa hivi twende Moshi Adellah bado nakutafutaaa Adellah Wana jamvi...
  3. UKWAJU WA KITAMBO

    JamiiForums Tanzania Je, wasanii wanatambua misingi na sheria/miongozo iliyowekwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA)?

    Balaza la Sanaa la Taifa limekuwa likipokea simu za maswali na malalamiko kadhaa kutoka kwa waandishi wa habari na wadau wa Sanaa ambao kwa njia moja ama nyingine wameguswa na kuchukizwa na kazi za baadhi ya wasanii ambao wanaimba nyimbo zenye maudhui yasiofaa kwa jamii ama TAIFA letu la...
  4. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania PAMOJA NA DRW SIMBA WAMEJITAHIDI SANAA NAWAPA. ....MAUA YAO

    Alisikia chizi mmoja wa mda mrefu pale new amani stadium ukitaka kichekesho kingjne kama hiki andika neno "baleke" kwenda no 15577
  5. Dakxir

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumsahau niliyempenda sana?

    Habar zenu wanna jamiiforums kher ya mwaka mpya. Naomba msaada wa kuweza kuacha kumwaza na kumkumbuka yule ambaye bado nampenda sanaaa. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye kwakweli haijawah isha siku nisimkumbuke. Namuwaza mpaka mda mwingine nahisi bado nipo naye karibu yangu na imepelekea...
  6. Ghost MVP

    JamiiForums Tanzania Maziwa Fresh yanayouzwa siku hizi Yanachakachuliwa sana

    Mfanyabiashara anaona Kununua Lita moja ya maziwa fresh ni heri ananunue Kopo la maziwa ya unga na akapata lita zaidi ya 20 za maziwa na wanayaongeza na Butter 'magarine' ili yawe na vimafuta na yakipoa yanaonekana kama maziwa halisi ya ngombe Yani Biashara ya maziwa siku hizi ni uhuni mtupu...
  7. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania Tuzo zinazotolewa kwa wasanii ndani na nje ya nchi huwa zinaambatana na zawadi za pesa taslimu? Ni kiasi gani?

    Natamani kujuzwa juu ya tuzo hizi zinavyotolewa kuanzia za ndani mpaka za kimataifa, kuna wasanii huwa wanafunga safari kwenda kuzifuata kwa gharama kubwa sana na wanaporejea wanatuonyesha zile tuzo ila huwa hawasemi thamani yake au fedha waliyopata kulingana na ushindi huo wa tuzo. Nataka pia...
  8. Liverpool VPN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna Video vixen ni watamu balaa, wananiumiza roho mwenzenu

    INTRODUCTION Hamjambo bandugu... Leo nimejiuliza "Nikishapata sanaa hela NINI KINAFATA?" Nikajijibu "Ni stareheeee" Sasa nikiwaza, hivi Hawa Video Vixen watoto warembo wanapatikana wapi? BODY: Ngoja twende mdogomdgo MTANIELEWA TUU... Mi bwana pamoja ya kwamba sitaki kuoa ila hawa watoto...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa Wizara yako ni ya Sanaa, Utamaduni na Michezo kwanini unajikita tu na Michezo, ila mengineyo huhangaiki nayo?

    Changamoto nyingi zilizoko katika Sanaa na Utamaduni utaanza kuzikabili lini? Halafu Gerson Msigwa (Mkinga Wewe) kwanini unatumia Nguvu Kubwa sana kutaka Rais Samia aendelee Kukukubali hasa kwa Kujipendekeza na Kujikomba Kwake wakati wenye Akili tunajua kuwa amekuweka hapo Wizarani kama Katibu...
  10. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Hizi dini zimegeuka biashara ..Nilisikia redion andika nakataa...Tuma msg nkatuma kilichofwata yajayo yanafurahisha sanaa

    ACHA KABISA Hakuna bussiness isio na usumbufu kama hiii aiseeee ni usiku wa jana niliamua kukesha na maombi redion nikasikia mahubiri kadhaa baada ya hapo mtumishi akasema andika msg nakata........nkaandika nkatuma asbh nkakutana na msg Bw .......njoo...panda basi fika,,......uliza...
  11. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Baba Levo ashangaa Mwana FA kutopenda mafanikio ya Diamond

    Kwa mujibu wa Babalevo ni kitu cha ajabu Mwana Fa ambae amepewa dhamana ya kuongoza wizara ya sanaa kuonyesha chuki za wazi wazi kwa Diamond Platnumz. Wengine walifikiri akishakuwa kiongozi wa serikali chuki zake za miaka yote angezisimamisha kwa muda. Lakini ameshindwa kujizuia. Watu...
  12. W

    JamiiForums Tanzania Jiongezeni Wakuu wa Shule; ni kwamba achaneni na habari za mahafali mtapigwa mawe!

    Nasikia wenzenu wamesimamishwa kwa sababu ya 'kuruhusu' wanafunzi kucheza wimbo usio na 'maadili' wa Honey. Saaawa. Kusimamishwa kwao ni ujumbe kwenu mlio madarakani. achaneni na habari za muziki huko mashuleni kwenu. Kuachana na muziki tafsiri yake futeni mahafali, hakuna mahafali ambayo...
  13. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania TASUBA kuongeza kozi mpya za sanaa na utamaduni

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepokea na kujadili taarifa ya Utekekezaji wa Majukumu ya Taasisi ya Utamaduni na Sanaa Bagamoyo (TaSUBa) ambapo imeishauri Serikali iendelee kusimamia Taasisi hiyo ili izalishe wataalam wengi kwenye Sekta ya Utamaduni na Sanaa...
  14. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Waziri Dkt. ndumbaro Aagiza BASATA na Bodi ya Filamu Kusimamia Sekta ya Sanaa Kukuza Uchumi wa Nchi

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameliagiza Baraza la Sanaa la Taifa na Bodi ya Filamu nchini kuhakikisha zinasimamia vyema Sekta ya Sanaa iweze kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa nchi na kunufaisha wasanii. Dkt. Ndumbaro ametoa maagizo hayo Oktoba 17, 2023...
  15. Kunguru wa Unguja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada: Nini suluhisho la simu kupata moto sana, yaani iko overheated sana

    Wakuu habari za muda huu natumai mko poa na weekend ilienda vizuri na kwa wale ambao weekend imeenda ndivyo sivyo tuendelee kupambana na kuzidi kumwomba Mungu katika changamoto tunazopitia Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, naombeni msaada ni nini suluhisho la simu kuwa very overheated...
  16. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Dkt. Damas Ndumbaro: Fanyeni Sanaa Kibiashara

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ametoa wito kwa wadau wa sekta ya Utamaduni na Sanaa nchini wafanye kazi hiyo kibiashara ili wanufaike zaidi. Dkt. Ndumbaro amesema hayo Oktoba 12, 2023 jijini Dar es Salaam alipotembelea Ofisi za Mfuko wa Utamaduni na Sanaa nchini...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Je, Wanajeshi watalazimisha kuchukua nguo za kijeshi hata kwa wanaomiliki kwaajili kufanya kazi za sanaa wakati sheria haijazuia?

    Sheria ya Makosa ya Adhabu namba 16 na Kanuni zake haimzuii mtu kumiliki wala kuvaa mavazi rasmi ya Jeshi ikiwa vazi hilo rasmi litavaliwa kwaajili ya matamasha au maigizo yanayowakilisha Jeshi lolote la Polisi kwa "Nia Njema" Kifungu cha 178 kifungu kidogo 1, 2 na 3 cha Sheria hii pamoja na...
  18. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri Dkt. Ndumbaro Aweka Mikakati ya Wananchi Kunufaika na Utamaduni, Sanaa na Michezo

    Ikiwa ni siku moja baada ya kuwasili ofisini Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Mhe. Dkt.Damas Ndumbaro ameanza kazi Wizarani hapo kwa kukutana na kuzungumza na watumishi na viongozi wa Idara ya Utamaduni, Sanaa, Utawala, Sera na Mipango na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, kwa lengo la kufahamiana...
  19. F

    JamiiForums Tanzania Ushauri wanafunzi mliomaliza form 6. Degree za sanaa /social science mkazisomee open university huku mnafanya mishe zingine.

    Habari wadau. Naona vijana waliomaliza form 6 mwaka huu 2023. Wana heka heka na admission za chuo zilizoanza kutoka. Ushauri wangu kwao watambue ajira zipo chache sana zama hizi kama sio hakuna. Ulimwengu huu watu wana ku value kwa kupima unachokijua ama kukifanya kwa uhalisia. Hawaku value...
  20. M

    JamiiForums Tanzania SoC03 Sanaa na wasanii: Je wasanii wetu bado ni kioo cha jamii?

    “Mimi ni msanii, mimi ni msanii, Kioo cha jamii, kioo cha jamii, Mimi naona mbali, mimi naona mbali, Kwa darubini kali, kwa darubini kali.” Nani anakumbuka huu wimbo? Mimi ninaukumbuka sana. Enzi hizo nilikuwa nasoma pale Shule ya Msingi Zanaki, Kata ya Upanga Mashariki. Wimbo huu uliimbwa na...
Back
Top Bottom