Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,957
- 22,155
ACHA KABISA
Hakuna bussiness isio na usumbufu kama hiii aiseeee
ni usiku wa jana niliamua kukesha na maombi redion nikasikia mahubiri kadhaa baada ya hapo mtumishi akasema andika msg nakata........nkaandika nkatuma
asbh nkakutana na msg Bw .......njoo...panda basi fika,,......uliza kwa.......kumbuka kuja na sadaka ya uvumilivu kuombea matatizo ya ndugu yako ukumbuke kuja napicha yake tafadhali....
..nikauliza sadaka sh ngapi..ikapigwa simu 50k
kirahisi kabisa
dah aisee nimewaza wangapi wanakufa na magonjwa ama shida zao wasipokuwa na fedha kibaya zaidi nilitaka mdogo wangu mmoja akaombewe..nahisi msongo wa ,mawazo unamtesa.......
Mungu atunusuru kwa hili
tumepewa bure tutoe bure
Hakuna bussiness isio na usumbufu kama hiii aiseeee
ni usiku wa jana niliamua kukesha na maombi redion nikasikia mahubiri kadhaa baada ya hapo mtumishi akasema andika msg nakata........nkaandika nkatuma
asbh nkakutana na msg Bw .......njoo...panda basi fika,,......uliza kwa.......kumbuka kuja na sadaka ya uvumilivu kuombea matatizo ya ndugu yako ukumbuke kuja napicha yake tafadhali....
..nikauliza sadaka sh ngapi..ikapigwa simu 50k
kirahisi kabisa
dah aisee nimewaza wangapi wanakufa na magonjwa ama shida zao wasipokuwa na fedha kibaya zaidi nilitaka mdogo wangu mmoja akaombewe..nahisi msongo wa ,mawazo unamtesa.......
Mungu atunusuru kwa hili
tumepewa bure tutoe bure