Hizi dini zimegeuka biashara ..Nilisikia redion andika nakataa...Tuma msg nkatuma kilichofwata yajayo yanafurahisha sanaa

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,957
22,155
ACHA KABISA
Hakuna bussiness isio na usumbufu kama hiii aiseeee

ni usiku wa jana niliamua kukesha na maombi redion nikasikia mahubiri kadhaa baada ya hapo mtumishi akasema andika msg nakata........nkaandika nkatuma

asbh nkakutana na msg Bw .......njoo...panda basi fika,,......uliza kwa.......kumbuka kuja na sadaka ya uvumilivu kuombea matatizo ya ndugu yako ukumbuke kuja napicha yake tafadhali....
..nikauliza sadaka sh ngapi..ikapigwa simu 50k
kirahisi kabisa

dah aisee nimewaza wangapi wanakufa na magonjwa ama shida zao wasipokuwa na fedha kibaya zaidi nilitaka mdogo wangu mmoja akaombewe..nahisi msongo wa ,mawazo unamtesa.......
Mungu atunusuru kwa hili

tumepewa bure tutoe bure
 
Juzi kati nipo zangu nime chill nikaskia gali lamatangazo linapita nakipaza sauti et kuna shee atakuwa uwanjani anaombea watu wamatatizo yote skushangaa kivile ila kilichonishtua nikaskia kila mtu aende na maji kwenye chupa yani nilijiuliza inamaana namashehe wamefikia uku!!
 
ACHA KABISA
Hakuna bussiness isio na usumbufu kama hiii aiseeee

ni usiku wa jana niliamua kukesha na maombi redion nikasikia mahubiri kadhaa baada ya hapo mtumishi akasema andika msg nakata........nkaandika nkatuma

asbh nkakutana na msg Bw .......njoo...panda basi fika,,......uliza kwa.......kumbuka kuja na sadaka ya uvumilivu kuombea matatizo ya ndugu yako ukumbuke kuja napicha yake tafadhali....
..nikauliza sadaka sh ngapi..ikapigwa simu 50k
kirahisi kabisa

dah aisee nimewaza wangapi wanakufa na magonjwa ama shida zao wasipokuwa na fedha kibaya zaidi nilitaka mdogo wangu mmoja akaombewe..nahisi msongo wa ,mawazo unamtesa.......
Mungu atunusuru kwa hili

tumepewa bure tutoe bure
Sio wote mkuu
 
ACHA KABISA
Hakuna bussiness isio na usumbufu kama hiii aiseeee

ni usiku wa jana niliamua kukesha na maombi redion nikasikia mahubiri kadhaa baada ya hapo mtumishi akasema andika msg nakata........nkaandika nkatuma

asbh nkakutana na msg Bw .......njoo...panda basi fika,,......uliza kwa.......kumbuka kuja na sadaka ya uvumilivu kuombea matatizo ya ndugu yako ukumbuke kuja napicha yake tafadhali....
..nikauliza sadaka sh ngapi..ikapigwa simu 50k
kirahisi kabisa

dah aisee nimewaza wangapi wanakufa na magonjwa ama shida zao wasipokuwa na fedha kibaya zaidi nilitaka mdogo wangu mmoja akaombewe..nahisi msongo wa ,mawazo unamtesa.......
Mungu atunusuru kwa hili

tumepewa bure tutoe bure
Aisee ila Yesu Kristo yupo na anaokoa.
Haijalishi kuna wapigaji wangapi, ila wa kweli wapo. Njoo nikuunganishie na mtu mmoja wa Mungu sema yule Kila dhehebu unaenda unabaki na dhehebu lako.
 
Sina maneno mengi.
Screenshot_20231110-070201.jpg
 
Back
Top Bottom