Kuna Video vixen ni watamu balaa, wananiumiza roho mwenzenu

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Aug 29, 2020
5,837
13,091
INTRODUCTION
Hamjambo bandugu...

Leo nimejiuliza "Nikishapata sanaa hela NINI KINAFATA?"

Nikajijibu "Ni stareheeee"

Sasa nikiwaza, hivi Hawa Video Vixen watoto warembo wanapatikana wapi?

BODY:
Ngoja twende mdogomdgo MTANIELEWA TUU...

Mi bwana pamoja ya kwamba sitaki kuoa ila hawa watoto (Video Vixen) wananimaliza sanaa mwenzenu, kwani hizi hela nazitafuta za nini?

Nikishawekeza, nikishafungua mabiashara, nikisha nunua magari NINI KINAFATA?

SCENARIO:-
1. Video Vixen wa kwanza
Nyimbo ya Fid Q Ft. Isha Mashauzi, Rich Mavoko na Jahman

Mule kwenye hii video Kuna Video Vixen mmoja nadhani ndio "main Chick", kwenye ile video huwa anatokea kavaa Nguo za orange, sweta jeusi na kajifunga kikoi chini, mara analamba pipi mara ameshika kopo la corn.
1. Huyu mtoto ni black beauty
2. Simple figure
3. Ngozi soft balaa
4. Ana Anglia yake mamaeee ni nomaaa
5. Huyu mama angu hanaga makuu kwenye video.

2. Video Vixen wa pili
Nyimbo ya Navy kenzo Ft Diamond - Katika

Pale kwenye verse ya Mond Kuna mtoto anatokea kwenye mashuka yaliyoanikwa halafu anakiuno balaa (miuno feni)
Lakini pia sometimes utamuona juu ya jengo anakatika.
Kwenye video kavaa blauzi nyekundu na taiti nyeusi

1. Mtoto miuno feni
2. Mtoto mweupe
3. Mtoto ana msamba fulani amaizing
4. Mtoto Kuna scene anakatikia kontena "My God she is amaizinggggg"

3. Video Vixen 3
Shetta Ft. Jux & Mr. Blue - Hatufanani nao.

Kuna mtoto humu ndani ya hili deo, amevaa nguo nyeupee halafu nywele kabana kwa juu.

Kwenye chorus ya Jux utamuona anatokea na tembea yake huku anavua miwani nusu.
Nyie huyu mtoto...
1. Nampa Shikamooo mamaaaa
2. Mtoto akitembea kiuno kinakatika chenyewe
3. Mtoto mweupeee ile kiutamu
4. Mtoto sijui kazaliwa Maka, maana mmmmh ana moto wake fulani hivi unawakaaaaa

4. Video Vixen wa 4
Shetta Ft. Mario - Bozeman
Wakati video inaanza Kuna video Vixen anatokea anatembea, nyie huyu mtoto ana shinduuuuuuuuuuuu hatariiiii.

5. Hapo sijaongelea ma ngongingo na mawowowo ya Baba levo Ft. Ray Vanny..!!!

Naomba niishie hapo.

Hawa watoto hawaaaa, dah basi tuuuu.

Tuendelee kutafuta hela
""If you think money does not buy happiness go and ask the homeless and the jobless""

Money buys anything and everything in this world.

YANGA BINGWA

#YNWA
 
😂🤣🤣🤣

Tamaa tumeumbiwa wanaume, sio wewe pekee, ila kila mtu ana namna yake ya kucontrol tamaa, mwingine anaupa moyo(mwili) kile anatamani, wengine tunajizuia kwa sababu fulanj fulani, (imani, mpunga, tabia njema etc)

Hauna lawama mwanangu pesa yake matumizi, unajisikia kufanya ufirauni fanya tu.. 🤣😂
Kila mtu na kaburi lake. 😎😎
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom