sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Kwa mujibu wa Babalevo ni kitu cha ajabu Mwana Fa ambae amepewa dhamana ya kuongoza wizara ya sanaa kuonyesha chuki za wazi wazi kwa Diamond Platnumz.
Wengine walifikiri akishakuwa kiongozi wa serikali chuki zake za miaka yote angezisimamisha kwa muda. Lakini ameshindwa kujizuia.
Watu wanauliza. Je viatu vya uwaziri vinamtosha mbunge huyu wa kimemo?
Tangu awe waziri amesaidia nini wasanii wenzie?
Yale aliyokuwa anayapigia kelele alipokuwa kiongozi wa wasanii mbona ameyasahu ameishia kufungia nyimbo za wenzie za kwake za kusifia ngono hazikuwai fungiwa.
Tuzo za MTV ni tuzo kubwa sana ambazo mpaka sasa Diamond ndio anaongoza Africa kwaetuzo nyingi za MTV. Hata hongera tu?
Tuzo za Trace ndio tuzo kubwa za bara la Africa, Diamond alipata tuzo na kupafom appearances 3. Alipongezwa na wote ila sio waziri ambae ni msanii mwenzie.
Kifupi tunaweza sema hamis mwinjuma ni waziri nzigo apishe wanaoweza kazi anampigisha shoti Maza.