Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Mfanyabiashara anaona Kununua Lita moja ya maziwa fresh ni heri ananunue Kopo la maziwa ya unga na akapata lita zaidi ya 20 za maziwa
na wanayaongeza na Butter 'magarine'
ili yawe na vimafuta na yakipoa yanaonekana kama maziwa halisi ya ngombe
Yani Biashara ya maziwa siku hizi ni uhuni mtupu, maziwa haya tunayouziwa kama maziwa freshi, hakuna kitu, kabisaa hayana virutubisho halali vya maziwa.. ni kujitengenezea faida tu ila hawajalia afya ya watumiaji kwa miaka kadhaa ijayo..
chukua hatua mdau
na wanayaongeza na Butter 'magarine'
ili yawe na vimafuta na yakipoa yanaonekana kama maziwa halisi ya ngombe
Yani Biashara ya maziwa siku hizi ni uhuni mtupu, maziwa haya tunayouziwa kama maziwa freshi, hakuna kitu, kabisaa hayana virutubisho halali vya maziwa.. ni kujitengenezea faida tu ila hawajalia afya ya watumiaji kwa miaka kadhaa ijayo..
chukua hatua mdau