sana

The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا)‎, al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    AI inatumika sana kwenye vita hivi

    Kwenye hii vita kumejaa sana video za AI na picha za AI Unakuta kabisa mtu anakutumia video au picha ya ndani ya israel eti bomb limepiga hapa wakati kwasasa kwa muujibu wa taarifa wananchi wote wamekimbilia shelters yeye hizo picha kazitoa wapi ? Jamani mtatuua na AI
  2. Joshua Mbezi

    Identification zetu JF zinaficha mengi sana

    Nimejaribu kutafakari kwa kina juu ya mienendo ya baadhi yetu ndani ya jukwaa hili nikaishia kuwaza; Ndani ya hili jukwaa Kuna watu wamejipa ukuu ila ni hakika yangu ukikutana nao lazma utapigwa na butwaa. Kuna watu Wana tabia fulan ndani ya hili jukwaa ila naamin tungepata nafasi ya kujuana...
  3. Royal Son

    Nauza saa unazozipenda na imara sana

    Chagua rangi unayoipenda – Gold Black au Silver Muonekano wa kisasa, unafaa kwa ofisini, sherehe na matumizi ya kila siku Quartz movement – zinatunza muda sahihi Zina kalenda (Date) Ubora wa hali ya juu Zinakaa vizuri mkononi Bei: 25,000/= tu Arusha Town 0712350159
  4. Boss la DP World

    Rais Donald Trump karibu sana Tanzania. Tunataka JamiiForums ifunguliwe bila masharti

    Mzee wetu Donald Trump karibu utusaidie kuifungua JamiiForums kwa kumteka aliyeamuru ifunguliwe. Mchukue uende naye hatumtaki. Turudishie waliotekwa ukifanya hivyo bandari zote za tanganyika nilizopewa bure nakupa wewe uziendeshe kwa sharti la kulegeza masharti ya kupata VISA ya marekani kwa...
  5. O

    Ogopa sana Wala usijaribu

    Kuna taasisi za serikali, taasisi na kampuni binafsi zinazopenda Kupata idea in cheap way kutoka Kwa VIJANA Kwa kisingizio Cha mshindi WA kwanza, 2, 3 etc wametenga kiasi flani. Kuna VIJANA wanatoa idea zao kati ya vijana walioshiri mfano 1000, Kuna idea nyingi sana humo. Swali la kujiuliza...
  6. The Dictator

    Week hii imechangamka ghafla sana. Huku Israel na Irani wanadundana, ukiangalia kule Pakistan na Afghanistan napo pamoto.

    Warmongers msiishiwe mabando tu ila kazi kwenu😂😂
  7. A

    KERO Mwanza: Maafisa wa Uvuvi wanatunyanyasa sana Wauza dagaa wa Kirumba Kivukoni

    Maafisa ya Maliasili na Uvuvi walioko Mwanza wanatunyanyasa sana sisi Wafanyabiashara wa dagaa, unakuta wanakuja pale Kirumba Kivukoni wanakamata mizigo hovyohovyo, hata kama una kibali wao wanakukamata tu. Baada yah apo wanakutafutia kosa na kuanza kuomba rushwa wakidanganya eti ni fine na...
  8. Nyankurungu2020

    Watanganyika wana akili sana. Wamemkataa Jesca Magufuli baada ya kutumiwa na mafisadi wa CCM kama chambo

    CCM mtandao ni wajinga na hawana akili za kuweza kuwadanganya Watanganyika. Walidhani Jesca Magufuli atakuwa bait ili wakubalike kwa Watanganyika. Yuko wapi Humphrey Polepole?
  9. Foffana

    Huyu jamaa hatari sana humu

    Wanamuita Steven Joel Ntamusano Huyu jamaa kweli anastahili kuitwa Great thinker nimemuona kwenye mijadala mingi anayoshiriki yeye ndo huwa anaibuka kidedea bila matusi, bila kashfa yaani unaeleweshwa na unatoka umeelewa kongole sana Mkuu endelea kutupa Elimu
  10. Prince Luanda

    Mvua kubwa sana inanyesha Dar sasa hivi

    Nipo mbezi Louis aisee hii mvua inayonyesha ni balaa
  11. VN Warehouse Limited

    Wakati wa Kujitafuta, Epuka Sana Maneno Yanayokupa Faraja

    Kuna kipindi maishani ambacho hakihitaji kubembelezwa wala kulainishwa. Ni kipindi ambacho mtu anakuwa katikati ya mapambano ya kujenga maisha yake upya. Hapa bado hujafika, bado hujaonekana, bado huna matokeo yanayoleta pongezi. Upo kwenye hatua ya kujitafuta - na hii ni vita halisi. Vita ya...
  12. A

    KERO Chuo cha CBE Dar kinachelewesha sana kutoa vyeti kwa Wahitimu wao

    Kero yangu, kijana wangu amehitimu chuo Mwaka 2025 katika Chuo cha CBE Kampasi ya Dar, Kozi ya Business Administration lakini mpaka leo Februari 2026 ameenda chuo kufuatilia cheti amejibiwa mpaka mwezi wa tatu, kabla ya hapo waliambiwa mpaka Februari 2026. Chuo amegraduate 02/12/2025, vyuo...
  13. D

    Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    Habari za usiku wakuu bila shaka, mupo salama. Leo imekuwa siku mbaya sana kwangu baada ya kupokea taarifa za kifo cha rafiki yangu, gERVASS maarufu kama Baraka. Alikuwa anaishi maeneo ya Malamba Mawili, sehemu inaitwa Bwawani. Ni mitaa ambayo niliwahi kuishi pia. Baraka alihamia huko tangu...
  14. Pdidy

    Kuelekea derby kuna penalty or red card...timu ziwe makini sana kwenye hili

    Wale mliokaribu wajuzeni wachezaji mchezo wa derby kkutakuwa na red card ama penalty Wacheze kwa adabu na heshima sana refa atakaekuwepo n kama amekuwa chambo mistake za kadi hatorembesha Hali hii italeta sitonfahamu kwa dk kadhaa hata hivyo mpira utaendelea na kadhaa kuondoka na simanzi...
  15. Hance Mtanashati

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Naona wiki hii huko insta kila kona stori kuu ni ya Elias Kihombo kwamba ni genius bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania. Binafsi mpaka sasa sielewi wanaosema jamaa ndiye genius wa muda wote hapa TZ wanatumia vigezo gani ? Jamaa O lev amepata 1 ya 14 na matokeo yake nilienda kuyachungulia ni haya...
  16. M

    Mtaji 70m biashara yangu ya duka la vyakula imeshuka sana nifanye biashara ipi

    Wakuu mim nafanya biashara ya dukal la vyakula Sasa biashara imeyumba sana kutokana na ushindani kuwa mkubwa faida imepungua sana Wadau nifanye biashara ipi fursa inayoonekana hardware nlikua nafanya nayo tumekua wengi mno faida Kichwa kinawaka sjui nifanyaje
  17. N'yadikwa

    Wakuu vigae vya kuezekea Zanzibar ni nafuu? Huku bara bei kali sana 40,000?!

    Yaani kigae kimoja 40,000? Kwamba nikihitaji vigae 2,000 nalipa almost 80,000,000?! Nilitaka nimshauri huyu jamaa aagize China ila nikaona kwanini aende mbali. Mwenye kufahamu Zanzibar bei ya kigae cha bati sand coated bei gani.
  18. O

    Kumbi za cinema na music concerts ni chache au hakuna promo?

    Ukitoa Dar ni majiji gani mengine yana kumbi za cinema atleast Kila weekend WATU wanaweza jipoza. Aya Kwa music wapi UNAWEZA sikia Kuna burudani ukiacha bar za mbagala kule atleast kama ni music ya injili au ya Dunia in a weekend tunaweza PATA burudani? Kama zipo Dar, vipi majiji mengine...
  19. VN Warehouse Limited

    Kama unaona mimi ni bahili sana kwenye kutumia pesa zangu, nipe zako ntumie unavotaka

    Habari wana JF, Kuna tabia imekuwa ya kawaida siku hizi - mtu anakupangia jinsi ya kutumia pesa zako. Ukihifadhi, unasemwa ni bahili. Ukipanga bajeti, unasemwa huna moyo wa kutoa. Ukikataa matumizi yasiyo na mpango, unasemwa una roho ngumu. Lakini swali langu ni moja tu: Kama unaona mimi ni...
  20. Planet Data bundles

    Kwanini app ya DSE inasumbua sana?

    Hii app inasumbua sana sijui imetengenezwaje -time out -server error -failed to connect to server Unaweza useme kunashida ya internet lakini si kweli app n shida hasa kwen kurefressh na kulog in
Back
Top Bottom