The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا), al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.
Msaada bint yangu ana umri wa miaka2 usiku huu mda huu kapata joto kali sana mwili mzima kachemka haswaa .hapa nimefanya kumpa panadol nakumpaka vitunguu swaumu mwili mzima
Msaada wenu wakuu wa tiba ya dharura kushusha joto uku tukisubiria kukuche kumuwahisha hospital
Kama unahitaji pikipiki kwa usafiri binafsi au kubeba abiria chukua Haojue Express Plus au TVS 125
Na ukihitaji pikipiki ya kubebea mizigo shambani chukua Haojue 125 Mninga utafurahia usafiri wako, nimependekeza hizo kwasababu zifuatazo
1. Ni rahisi kuuza hata ukiwa umeitumia kwa mda mrefu
2...
Law Society of Kenya na Amnesty International Kenya wametoa taarifa kuhusu kuokolewa kwa mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Mshabaha Hamza, aliyedaiwa kutekwa nchini Kenya.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Hamza aliokolewa Februari 22, 2026 baada ya polisi kuingilia kati. Watu watatu walikamatwa...
Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake.
Unauliza Mwenyekiti nataka kusema nini?
Wewe uko hapo unasema Mimi mwanaume ili nikubali anioe...
Kumekuwa na trend mbaya ya watumiaji wa bodaboda (pikipiki) kufanya maarifa kwenye Exhaust zao na kuleta usumbufu NOISE POLLUTION.
Vyombo husika vimelala?
Anonymous
Thread
bodaboda
iringa
iringa mjini
kelele
mjini
nemc
nyingi
polisi
polisi iringa
sana
Uchumi wa kidijitali unachangia kwa kasi ukuaji wa ajira na kipato duniani, huku matumizi ya mtandao yakiongeza fursa za biashara mtandaoni (World Bank Digital Economy Report, 2021).
Swali la kujiuliza si tena:
“Ni mali gani ninamiliki leo?”
Bali:
“Ni digital asset gani ninajenga leo ambayo...
Ni kawaida sana kila ikifika mwezi wa Ramadhani huwa kunatokea mabadiliko ya bei za vyakula kuongezeka kwa kasi hasa maeneo ya mjini.
Nini hasa husababisha kuongezeka huku kwa bei za vyakula vingi nyakati za mfungo wa mwezi wa Ramadhani?
Habarini Wadau,
Niliandika Mada kuhusu WAASI, kuwa ni Watu hatari kwasababu ni watu wanaokuwa na silaha kutoka kwa wadhamini na ni silaha nzito pengine kuliko au sawa na za Walinzi wa Taifa (Wanajeshi)
Tuwajue kwanza wanaoitwa Waasi:
WAASI NI WATU GANI?
Waasi ni Wananchi au Raia au Wanajeshi...
Kati ya Marekani na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Nielezee kwa kifupi sababu halisi za vita hivi, ili mtu akijitia upumbavu iwe ni shauri yake. Maana kuna watu tayari wamejazwa punzi kuwa Iran ni magaidi, wasiotaka maendeleo, wanaotaka kuuangamiza Ufalmu wa Mungu wa Israeli, na... 'malakia'...
Hii ni argument ambayo itakubidi upate experience kubwa ya kuitazama sana siasa kwa jicho la tatu, ndiyo utagundua kwamba ni argument ambayo ni ukweli kwa asilimia 99%.
Mwaka 2010 nilipoenda pale UDSM, siasa za serikali ya wanafunzi na wanaharakati zilikuwa zinatawaliwa sana na vijana wa...
Hii barabara inafika hadi Waterfall (NAPURU WATERFALLS) kuanzia mwisho wa lami pale ofisi za ARUSHA DC kupandisha juu ni kero.
Barabara imejaa mashimo, na madimbwi ya maji, tunaomba TARURA washughulikie hii barabara.
Greda zipo hapo Ofisi za ARUSHA DC zimepaki toka Mwaka jana mpaka matairi...
Anonymous
Thread
arusha
barabara
changamoto
hii
kero
kuanzia
kupandisha
lami
mwisho
ofisi
sana
wakazi
Unatafuta laptop imara kwa kazi, masomo au biashara? Hii hapa fursa yako!
✅ RAM: 8GB (kasi nzuri ya kufanya kazi nyingi kwa pamoja)
✅ HARD DISK: 1 Terabyte (GB 1000) – nafasi kubwa ya kuhifadhi mafaili
✅ GRAPHIC CARD: 2GB Radeon – inafaa kwa graphics na matumizi ya kawaida
✅ HALI: Nzuri kabisa...
Wadau, taarifa hii ni kwa mujibu wa uchambuzi wa vyanzo mbalimbali vya uhakika duniani na taarifa za ndani, hivyo uwezekano mkubwa ni alfajiri ya kuamkia jumapili tarehe 22.2.2026 kwa saa za Marekani. Shambulio hilo malengo ni kuuangusha utawala wa Kiislamu wa AYATOLLAH KHAMENEI. Kibali...
Huyu Mwalimu alikuwa muungwana sana,,,,ndio maana siku zote naamini mtu mwema huwa anaishi kwenye fikra na mioyo ya watu daima.
Kwa kifupi tulifurahia sana maisha ya ujana tofauti na mimi yeye alikuwa siyo mtu wa kinywaji zake gahwa na fegi,
Alikuwa ni mwenyeji wangu kila nilipokuwa nafika...
Miaka kadhaa liyopita nilikuwa nikiishi na mwanamke ambaye alikuwa na tatizo la kukojoa mara kwa mara usiku na mchana,nilidumu naye kwenye mahusiano miaka minne tu tukaachana.
Miaka mitatu baada ya kuachana (2023 ) na mimi nikajikuta nina tatizo lile lile lake, tofauti yetu ni moja tu mimi...
Habari za asubuhi
Katika tafiti yangu hii nimekuja na sababu kuu 2 ambazo ukizifatilia kwa undani utaungana namm kwenye hili suala
1. Kipindi hicho kulikua hakuna na huduma za miamala ya simu hizo binti akipinga mzinga/kirungu lazma afate geto kwa miguu yake, kulikua hakuna mambo ya kutuma...
Nipo huku SA. Hawa jamaa wamekuwa waduanzi sana. Wanatusimanga kwa maneno ya hovyo utadhani baba yao naye ana kitu cha maana.
Wanasema mama yenu ana IQ ya 40. Nawatizama nawatukana kimoyo moyo mbwa hawa. Jana tumekaa na boya moja tunajadiliana anasema nyie mliwahi kuwa na Baba mtandao mchafu...
1. Kua katika mousanyiko kisha kijana/mwanaume wa rika lake anashuka kwenye ndinga, wakati huo yeye hana mbele wala nyuma, huwa wanajisikia unyonge mkali sana.
2. Anapopishana na mwanaume alie handsone. Yani wanaume wakipishana na mwamaume ambae ni mzuri, tena hapo wakiwa kwenye kundi la watu...
wanawake wanapitia magumu sana haswa wakianza kuvunja ungo. Hapo ndo shida rasmi zinaanza ule usumbufu wa kuingia period kila mwezi na wengine period zao zinaingia na maumivu pamoja na kutokwa na damu nyingi inapelekea kupata shida ya damu
mfumo wa homoni usipokaa sawa kidogo tu matatizo...
Wakuu, nimegundua kuwa tahajudi si kitu Cha mchezo. Usiku wa kuamkia Leo nijaribu ku-meditate na kilichotokea usiku kucha ni vituko.
Nilikuwa naota ndoto za ajabu ajabu, nilikuwa naongea mwenyewe hadi wife akawa ananishtua usingizini, n.k.
Kwa hiki kilichonitokea nimesitisha kufanya tahajudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.