To be honest nachukia sana vumbi

To be honest nachukia sana vumbi

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,771
Reaction score
7,439
Sasahivi mikoa yote inavumbi sasa moja ya mambo ninayoyachukia ni vumbi kuna mda najiuliza inakuaje nchi zilizoendelea wamefanikiwa kupiga pavement sehemu kubwa sana ya nchi zao sisi tunahindwa nini

Mfano hata maeneo yale ya mjini tumeshindwa kuondoa vumbi ni jambo ambalo linashangaza sana

Na jambo la kushangaza hakuna jitihada zozote zile za kuondoa vumbi maeneo ya mijini kupitia mipango miji- watu wanaendelea kujenga kiholela na hii inapelekea kuwa na ugumu wa kuondoa vumbi mijini na kwenye town centre za miji midogo na vijijini
 
Sasahivi mikoa yote inavumbi sasa moja ya mambo ninayoyachukia ni vumbi kuna mda najiuliza inakuaje nchi zilizoendelea wamefanikiwa kupiga pavement sehemu kubwa sana ya nchi zao sisi tunahindwa nini

Mfano hata maeneo yale ya mjini tumeshindwa kuondoa vumbi ni jambo ambalo linashangaza sana

Na jambo la kushangaza hakuna jitihada zozote zile za kuondoa vumbi maeneo ya mijini kupitia mipango miji- watu wanaendelea kujenga kiholela na hii inapelekea kuwa na ugumu wa kuondoa vumbi mijini na kwenye town centre za miji midogo na vijijini
Thed weld dwellers nyie vumbi ndio jadi yenu
 
Sasahivi mikoa yote inavumbi sasa moja ya mambo ninayoyachukia ni vumbi kuna mda najiuliza inakuaje nchi zilizoendelea wamefanikiwa kupiga pavement sehemu kubwa sana ya nchi zao sisi tunahindwa nini

Mfano hata maeneo yale ya mjini tumeshindwa kuondoa vumbi ni jambo ambalo linashangaza sana

Na jambo la kushangaza hakuna jitihada zozote zile za kuondoa vumbi maeneo ya mijini kupitia mipango miji- watu wanaendelea kujenga kiholela na hii inapelekea kuwa na ugumu wa kuondoa vumbi mijini na kwenye town centre za miji midogo na vijijini
Hamia Scotland mkuu utatafuta vumbi hadi utalimss.
 
Sasahivi mikoa yote inavumbi sasa moja ya mambo ninayoyachukia ni vumbi kuna mda najiuliza inakuaje nchi zilizoendelea wamefanikiwa kupiga pavement sehemu kubwa sana ya nchi zao sisi tunahindwa nini

Mfano hata maeneo yale ya mjini tumeshindwa kuondoa vumbi ni jambo ambalo linashangaza sana

Na jambo la kushangaza hakuna jitihada zozote zile za kuondoa vumbi maeneo ya mijini kupitia mipango miji- watu wanaendelea kujenga kiholela na hii inapelekea kuwa na ugumu wa kuondoa vumbi mijini na kwenye town centre za miji midogo na vijijini
Laiti kama Magufuli angekuwepo vumbi ingebaki historia.

Najua utajibu kwa feelings
 
Bora vumbi mzee.
Ukienda kwenye masoko msimu wa mvua unalazimika kukodi Gunboot.
Mabibo, Sterio, Ilala, Buguruni,
Matope yanejaa.
Hata paver zinawashinda.

Hii nchi inasikitisha sana.
 
Sasahivi mikoa yote inavumbi sasa moja ya mambo ninayoyachukia ni vumbi kuna mda najiuliza inakuaje nchi zilizoendelea wamefanikiwa kupiga pavement sehemu kubwa sana ya nchi zao sisi tunahindwa nini

Mfano hata maeneo yale ya mjini tumeshindwa kuondoa vumbi ni jambo ambalo linashangaza sana

Na jambo la kushangaza hakuna jitihada zozote zile za kuondoa vumbi maeneo ya mijini kupitia mipango miji- watu wanaendelea kujenga kiholela na hii inapelekea kuwa na ugumu wa kuondoa vumbi mijini na kwenye town centre za miji midogo na vijijini
Nilijua lile la shaba kumbe la kawaida!
 
1783524775565.png
 
Shida ya vumbi linaleta mafua na kifua
pia unakuwa mchafu muda wowote!
 
Sasa mkuu kama nchi yetu inategemea mikopo na kupitisha bakuli ili ku fund bajeti yake lakini kutwa viongozi wamebaki kuhonga na kutapanya pesa za umma kwenye vitu useless na kuspend kwenye vitu visivyo na tija matokeo yake hadi barabara zinatushinda kuzikarabati unategemea nini hapo? Shida ya hii nchi ni viongozi wasio na upeo wala uzalendo kwa taifa wako pale kujifaidisha wao na familia zao na vizazi vyao sio mataifa yao
 
Vumbi afrika linaongeza Kinga ya mwili na Nguvu za kiume......Hahaha!!!
Natania mdau wangu,hili vumbi ukiwa na mzio nalo ukiongeza baridi unakuwa na shughuli nzito ya kupumua usiku.
 
Mliopo Mbeya mjini , lile vumbi nililokumbana nalo hapo mjini limeisha? kwa maana ya barabara zimeshajengwa ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom