rushwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    Chuo cha Sokoine/Mzumbe mnaacha division 1&2 mnapokea division gani? Ama kuna kifurushi kinatakiwa?

    Yaani haya mambo yamebadilika sana jamani aisee yaani leo hii div 1&2 wanaachwa. Je, mnachukua 3&4? Kama kuna malipo watoto waingie semeni please. Watoto wanafaulu wana aaply yanatoka majibu mnawaambia wa apply upya aisee mnatupeleka wapi?
  2. beth

    TAMWA: Ukimya kuhusu masuala ya rushwa ya ngono unapaswa kuvunjwa

    Mila na desturi zimetufundisha ya kwamba masuala ya rushwa ya ngono hayazungumzwi, hivyo tuvunje ukimya kuanzia ndani ya vyombo vya habari mpaka katika jamii yetu kwa kuwa tunajua tatizo lipo tulifanyie kazi liweze kumalizika" Dk Rose Reuben: Mkurugenzi Mtendaji - TAMWA Takwimu za Ofisi ya...
  3. Mtu Asiyejulikana

    Video: Ni Askari hawa mnaotaka tuwaonee huruma?

    Hawa wanaofanya hivi kwa Raia? Inaumiza sana. Watanzania wameshachoka sana na haya mambo. Mimi nawaambia tunakoenda ni kubaya sana.
Back
Top Bottom