Maafisa TPA watuhumiwa kupokea rushwa ya $800,000 kutoa tenda ya $6.6m

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,447
7,829
Mamlaka za Marekani zimeipiga faini ya dola milioni 222 kampuni ya programu kwa kutoa rushwa katika nchi kadhaa za Afrika ikiwemo Tanzania, nchi nyingine ni Kenya, Afrika Kusini, Ghana, Malawi. Pia zipo Azerbaijan na Indonesia.

Maafisa wa mamlaka ya bandari Tanzania(TPA) wanatuhumiwa kupokea bilioni 2.1($ 800,000) kama rushwa ili kuipa tenda yenye thamani ya $ 6,635,000 kampuni inayojihusisha na programu(software) Tenda ilihusisha kutoa leseni na huduma, tenda hiyo ilipewa kampuni ya Twenty Third Century Systems ambayo imesajiliwa Zimbabwe.

Maafisa hao wanadaiwa kupokea pesa hizo kwenye sanduku. Pamoja na kampuni hiyo kulipwa $ 4,000,000 kampuni hiyo ilishindwa kutimiza chochote. Mwaka 2022 Tanzania ilibatilisha mkataba baina yao ulioingiwa mwaka 2014/15 na kuwafungulia kesi maafisa waliohusika.

Inaaminika pia kampuni hiyo iliweka gharama mara mbili ya gharama za kukodi program hiyo, TPA ililipa $ 404,029 badala ya gharama halisi ya $ 190,643.

Pia Mwezi Septemba 2019 TPA ililipa kampuni hiyo hiyo kutoka Ujerumani $400,000 kupitia kazi zake zilizofanywa na kampuni yake iliyosajiliwa Zimbabwe. Pia TPA iliipa mkataba mwingine wenye thamani ya $ 997,647 kutoa huduma ambayo haikutajwa.
 
Mamlaka za Marekani zimeipiga faini ya dola milioni 222 kampuni ya programu kwa kutoa rushwa katika nchi kadhaa za Afrika ikiwemo Tanzania, nchi nyingine ni Kenya, Afrika Kusini, Ghana, Malawi. Pia zipo Azerbaijan na Indonesia.

Maafisa wa mamlaka ya bandari Tanzania(TPA) wanatuhumiwa kupokea bilioni 2.1($ 800,000) kama rushwa ili kuipa tenda yenye thamani ya $ 6,635,000 kampuni inayojihusisha na programu(software) Tenda ilihusisha kutoa leseni na huduma, tenda hiyo ilipewa kampuni ya Twenty Third Century Systems ambayo imesajiliwa Zimbabwe.

Maafisa hao wanadaiwa kupokea pesa hizo kwenye sanduku. Pamoja na kampuni hiyo kulipwa $ 4,000,000 kampuni hiyo ilishindwa kutimiza chochote. Mwaka 2022 Tanzania ilibatilisha mkataba baina yao ulioingiwa mwaka 2014/15 na kuwafungulia kesi maafisa waliohusika.

Inaaminika pia kampuni hiyo iliweka gharama mara mbili ya gharama za kukodi program hiyo, TPA ililipa $ 404,029 badala ya gharama halisi ya $ 190,643.

Pia Mwezi Septemba 2019 TPA ililipa kampuni hiyo hiyo kutoka Ujerumani $400,000 kupitia kazi zake zilizofanywa na kampuni yake iliyosajiliwa Zimbabwe. Pia TPA iliipa mkataba mwingine wenye thamani ya $ 997,647 kutoa huduma ambayo haikutajwa.

=======

A German software company, SAP, being investigated for offering bribes to government officials in several African countries, including Tanzania, has been slapped with a $222 million fine by US authorities.

SAP is linked to offering bribes to top officials at the Tanzania Ports Authority (TPA) in 2014/2015 to win a tender and is alleged to have colluded with TPA insiders to get preferential treatment on other multiple government deals that were meant for competitive bidding.

SAP will pay $222 million to the United States Securities and Exchange Commission (SEC) after it violated the US Foreign Corrupt Practices Act (FCPA) arising out of bribery deals in Tanzania, Kenya, South Africa, Ghana, Malawi, Azerbaijan, and Indonesia.

According to a TPA source, it is claimed that senior officials at the Tanzania Ports Authority were given $800,000 (Sh2.1 billion) in bribes to award a $6.635 million software tender to a partner firm of the German company. The tender involved the provision of software licenses and services. The tender was awarded to Twenty Third Century Systems, which is registered in Zimbabwe.

It is claimed that the TPA officials received the bribes in two installments of $100,000 and $700,000 paid in cash in suitcases.

Despite paying over $4 million for the tender, the foreign company failed to deliver the ICT services (installed 7 of 26 modules). So Tanzania had to terminate the contract in 2019, upon which cases were filed in 2022 against the top local officials who allegedly colluded in the deal. These include ex-TPA director general, Human Resources manager, acting ICT director, and board chairman of procurement, along with two others.

It is also believed that the foreign TTCS company charged TPA twice the amount for annual software license fees (TPA paid $404,029.03 in annual software license fees, yet the actual required amount was $190,643).

It is also reported that in September 2019, TPA paid the same foreign company from Germany more than $400,000 to review the work done by its Zimbabwean-registered company. TPA also awarded another contract worth $997,647 for unspecified services.

The Citizen

Halafu kuna watu walikuwa wanaamini kabisa kuwa wakati wa Mwendazake watu walikuwa hawapokei Rushwa .....!!
 
Halafu kuna watu walikuwa wanaamini kabisa kuwa wakati wa Mwendazake watu walikuwa hawapokei Rushwa .....!!
Nchi ina vitengo vingi sana ,wajanja ni wengi sana hata uwe smart sana hao jamaa ni pandikizi la mfumo ,watu wachukue pesa ndefu hivyo sio kitoto .

Channel ni ndefu ukifuatilia kuna wastaafu kibao wazee weny heshima nchini wamepata mgao...
 
Mamlaka za Marekani zimeipiga faini ya dola milioni 222 kampuni ya programu kwa kutoa rushwa katika nchi kadhaa za Afrika ikiwemo Tanzania, nchi nyingine ni Kenya, Afrika Kusini, Ghana, Malawi. Pia zipo Azerbaijan na Indonesia.

Maafisa wa mamlaka ya bandari Tanzania(TPA) wanatuhumiwa kupokea bilioni 2.1($ 800,000) kama rushwa ili kuipa tenda yenye thamani ya $ 6,635,000 kampuni inayojihusisha na programu(software) Tenda ilihusisha kutoa leseni na huduma, tenda hiyo ilipewa kampuni ya Twenty Third Century Systems ambayo imesajiliwa Zimbabwe.

Maafisa hao wanadaiwa kupokea pesa hizo kwenye sanduku. Pamoja na kampuni hiyo kulipwa $ 4,000,000 kampuni hiyo ilishindwa kutimiza chochote. Mwaka 2022 Tanzania ilibatilisha mkataba baina yao ulioingiwa mwaka 2014/15 na kuwafungulia kesi maafisa waliohusika.

Inaaminika pia kampuni hiyo iliweka gharama mara mbili ya gharama za kukodi program hiyo, TPA ililipa $ 404,029 badala ya gharama halisi ya $ 190,643.

Pia Mwezi Septemba 2019 TPA ililipa kampuni hiyo hiyo kutoka Ujerumani $400,000 kupitia kazi zake zilizofanywa na kampuni yake iliyosajiliwa Zimbabwe. Pia TPA iliipa mkataba mwingine wenye thamani ya $ 997,647 kutoa huduma ambayo haikutajwa.
Hii nchi Rushwa, Ujinga na Kutokuwa na Viongozi sahihi kwenye nafasi sahihi ndo mambo yatakayoufanya iendelee kuwa maskini hadi mwisho wa dunia
 
Mamlaka za Marekani zimeipiga faini ya dola milioni 222 kampuni ya programu kwa kutoa rushwa katika nchi kadhaa za Afrika ikiwemo Tanzania, nchi nyingine ni Kenya, Afrika Kusini, Ghana, Malawi. Pia zipo Azerbaijan na Indonesia.

Maafisa wa mamlaka ya bandari Tanzania(TPA) wanatuhumiwa kupokea bilioni 2.1($ 800,000) kama rushwa ili kuipa tenda yenye thamani ya $ 6,635,000 kampuni inayojihusisha na programu(software) Tenda ilihusisha kutoa leseni na huduma, tenda hiyo ilipewa kampuni ya Twenty Third Century Systems ambayo imesajiliwa Zimbabwe.

Maafisa hao wanadaiwa kupokea pesa hizo kwenye sanduku. Pamoja na kampuni hiyo kulipwa $ 4,000,000 kampuni hiyo ilishindwa kutimiza chochote. Mwaka 2022 Tanzania ilibatilisha mkataba baina yao ulioingiwa mwaka 2014/15 na kuwafungulia kesi maafisa waliohusika.

Inaaminika pia kampuni hiyo iliweka gharama mara mbili ya gharama za kukodi program hiyo, TPA ililipa $ 404,029 badala ya gharama halisi ya $ 190,643.

Pia Mwezi Septemba 2019 TPA ililipa kampuni hiyo hiyo kutoka Ujerumani $400,000 kupitia kazi zake zilizofanywa na kampuni yake iliyosajiliwa Zimbabwe. Pia TPA iliipa mkataba mwingine wenye thamani ya $ 997,647 kutoa huduma ambayo haikutajwa.
Usione v8 ya 2022 na range za 2023 na kuota kila eneo hizo ni kodi zetu ndugu na hicho ni kidogo sana

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mamlaka za Marekani zimeipiga faini ya dola milioni 222 kampuni ya programu kwa kutoa rushwa katika nchi kadhaa za Afrika ikiwemo Tanzania, nchi nyingine ni Kenya, Afrika Kusini, Ghana, Malawi. Pia zipo Azerbaijan na Indonesia.

Maafisa wa mamlaka ya bandari Tanzania(TPA) wanatuhumiwa kupokea bilioni 2.1($ 800,000) kama rushwa ili kuipa tenda yenye thamani ya $ 6,635,000 kampuni inayojihusisha na programu(software) Tenda ilihusisha kutoa leseni na huduma, tenda hiyo ilipewa kampuni ya Twenty Third Century Systems ambayo imesajiliwa Zimbabwe.

Maafisa hao wanadaiwa kupokea pesa hizo kwenye sanduku. Pamoja na kampuni hiyo kulipwa $ 4,000,000 kampuni hiyo ilishindwa kutimiza chochote. Mwaka 2022 Tanzania ilibatilisha mkataba baina yao ulioingiwa mwaka 2014/15 na kuwafungulia kesi maafisa waliohusika.

Inaaminika pia kampuni hiyo iliweka gharama mara mbili ya gharama za kukodi program hiyo, TPA ililipa $ 404,029 badala ya gharama halisi ya $ 190,643.

Pia Mwezi Septemba 2019 TPA ililipa kampuni hiyo hiyo kutoka Ujerumani $400,000 kupitia kazi zake zilizofanywa na kampuni yake iliyosajiliwa Zimbabwe. Pia TPA iliipa mkataba mwingine wenye thamani ya $ 997,647 kutoa huduma ambayo haikutajwa.
Sio TPA pekee, huko TANAPA rushwa zinatembea sana kuuza space za kujenga Hoteli Polini, na huko TAWA inatembezwa rushwa kuuza vitalu vya uwindaji, fikiria watu wanapojea rushwa watu wanapewa vitalu kwa miaka 99 then tuko humu kushangilia kwamba wacha wale.
 
Suala hili linanikumbusha Rada...
Hii ni aibu kubwa kwa Serikali...wakati mamlaka za Marekani zinachukua hatua kama hizi...sisi kimyaaa..
Hii kesi ya hawa wapigaji inatajwa tu na hakuna hatua yoyote inachukuliwa.... huku hao wahusika wanaponda tu raha.....
 
Mamlaka za Marekani zimeipiga faini ya dola milioni 222 kampuni ya programu kwa kutoa rushwa katika nchi kadhaa za Afrika ikiwemo Tanzania, nchi nyingine ni Kenya, Afrika Kusini, Ghana, Malawi. Pia zipo Azerbaijan na Indonesia.

Maafisa wa mamlaka ya bandari Tanzania(TPA) wanatuhumiwa kupokea bilioni 2.1($ 800,000) kama rushwa ili kuipa tenda yenye thamani ya $ 6,635,000 kampuni inayojihusisha na programu(software) Tenda ilihusisha kutoa leseni na huduma, tenda hiyo ilipewa kampuni ya Twenty Third Century Systems ambayo imesajiliwa Zimbabwe.

Maafisa hao wanadaiwa kupokea pesa hizo kwenye sanduku. Pamoja na kampuni hiyo kulipwa $ 4,000,000 kampuni hiyo ilishindwa kutimiza chochote. Mwaka 2022 Tanzania ilibatilisha mkataba baina yao ulioingiwa mwaka 2014/15 na kuwafungulia kesi maafisa waliohusika.

Inaaminika pia kampuni hiyo iliweka gharama mara mbili ya gharama za kukodi program hiyo, TPA ililipa $ 404,029 badala ya gharama halisi ya $ 190,643.

Pia Mwezi Septemba 2019 TPA ililipa kampuni hiyo hiyo kutoka Ujerumani $400,000 kupitia kazi zake zilizofanywa na kampuni yake iliyosajiliwa Zimbabwe. Pia TPA iliipa mkataba mwingine wenye thamani ya $ 997,647 kutoa huduma ambayo haikutajwa.

Hiyo kampuni ndo hao hao waliochukua rushwa, ni mkono wa kulia na kushoto, mtu ni yule yule.
 
Back
Top Bottom