picha

Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    JamiiForums Tanzania Kanuni za maadili kwa wapiga picha za magazeti

    Muongozo uliotolewa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) kuhusu kanuni za maadili kwa wanataaluma wa habari zinaeleza kanuni za maadili kwa Mpiga picha za magazeti kama ifuatavyo:- Wapiga picha wa magazeti wanatakiwa kutoa picha zinazoonesha usahihi wa hali ya tukio husika. Wawe makini wakati...
  2. Da Vinci XV

    JamiiForums Tanzania BAS UTEREIJK: Fundi wa picha aliyetengeza picha ya Yesu na Pharaoh

    Wasalaam Kuzaliwa katika zama hizi za maendeleo ya sayansi na teknolojia ,mara nyingi tunasahau jinsi mambo tofauti yalivyokuwa kabla yetu. Watu wangeweza kujua tu mtu anaonekanaje kulingana na mtazamo wa msanii (mchoraji) au zile picha za black and white Licha ya juhudi za wasanii...
  3. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Bashiru Ally kuondolewa ikulu kama katibu kiongozi kunatupa picha gani? Wahafidhina hawakufurahia uteuzi wake?

    Hii sio kawaida kabisa katibu mkuu kiongozi kuhudumu kwa muda wa mwezi mmoja tu. Japokuwa aliyemteua aliaga dunia kwa mapenzi ya Mungu hii sio kawaida, ni sawa na mtu alikuwa anaviziwa itokee bahati mbaya ili avurumishwe nje. Katibu mkuu kiongozi ni nafasi nyeti na kubwa sana hapa nchini. Mtu...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni Ile picha fisi kabeba mzoga was fisi!

    Nimeikumbuka hii picha ,mwenye nayo tafadhali!
  5. kavulata

    JamiiForums Tanzania Eti picha mpya ya Rais ina rangi nyekundu?

    Kama ni kweli ina vazi jekundu, basi hakushauriwa vizuri. Tanzania haina doa jekundu pahala, lakini pia ziko timu kubwa sana hazina doa la aina hiyo. Kuna watu wanaweza kusita kuiweka kwenye vyumba na ofisi zao kama itakuwa na wekundu wa waziwazi
  6. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kitendawili cha picha ya waasisi wa TANU 1954

    KITENDAWILI CHA PICHA YA WAASISI WA TANU 7 JULAI, 1954: "NOW YOU SEE HIM NOW YOU DONT" Nimepokea ujumbe huo hapo chini: Asalam Aleikum Warahmatullah Wabarkatuh, Poleni kwa msiba, wanasema hiyo picha ya waanzilishi wa TANU imewekwa CCM kama ulivyoshauri, ni kweli, imewekwa wapi, Chamwino au...
  7. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Ni kweli RAS wa Lindi ametoa kauli picha za Magufuli ziondolewe ofisini?

    Habari hii nimeikuta mahali. Kwamba RAS wa mkoa wa Lindi ametoa tamko kwamba picha za Magufuli ziondolewe kwenye ofisi zote za serikali mkoani Lindi.. Mwisho wa enzi unapo fika. # lesson to catch: every thing under the sun is just temporaly., including wewe...
  8. Troll JF

    JamiiForums Tanzania IKULU: Picha rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

    Picha Rasmi ya Rais Wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inayotakiwa kubandikwa Kwenye Ofisi mbalimbali. MwenyeziMungu amtunze Rais Wetu
  9. D

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

    Wakalimani na watafsiri wa viongozi baadhi ya maneno ya kingereza wanatudanganya sana sijui kwa faida ya nani, sipati picha kifaransa kama wanasema kweli! Tu assume jamaa alipitiwa labda hakusikia vizuri, lakini je; aliyatoa wapi Yale maneno aliyotuongopea?
  10. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania Kwa wale Wataalam wa Picha Ipe Maelezo Picha

    Kwa wale wasomaji wa picha, ipe maelezo picha hii
  11. F

    JamiiForums Tanzania Mama Samia na wengine wote wamevaa Barakoa

  12. WA MAMNDENII

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada Tafsiri sahihi ya maana ya neno lililoandikwa before 40 kwenye picha ambatishwa

  13. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Mpiga picha wa Rayvanny: Kutoka kubeba mabegi mpaka kuwa msimamizi wa lebo ya Next level (+ Video)

    Huu mzima? Kijana ambaye huonekana karibu sana na @rayvanny na mara nyingine huonekana akimpiga picha erismzava ameeleza ukaribu wake na Rayvanny na kueleza nafasi yake kwa @rayvanny na pia nafasi yake kwenye labo mpya ya Next Level Music Mzava ameelza kuwa yeye chochote atakachoagizwa na...
  14. TODAYS

    JamiiForums Tanzania PICHA: Makamu wa Rais hupokea heshima ya kiitifaki wapi?

    Kupitia picha hizi hapa chini, nimejiuliza mara mbili tatu je, ni wapi makamu wa Rais hupokea heshima ya kiitifaki kama picha zinavyojieleza?
  15. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Bila shaka tumepata picha kamili, uvunjifu wa haki huzalisha chuki ya kudumu

    Ukienda South Africa hii leo ukakutana na ndugu wa Steven Biko na ukafanya nao mazungumzo lazima watakuambia kweli kuwa kuna kovu kubwa ndani ya mioyo yao. Maana ndugu yao aliuawa bila hatia na utawala dhalimu wa makaburu. Tena aliuawa kifo kibaya. Huu ni mfano tu ambao unaonesha namna gani...
  16. KENZY

    JamiiForums Tanzania Baada ya kunitumia picha yake kanizira!

    Nilikutana nae mtandaoni si nikajipinda kuomba picha nikijua naopoa pisi kali kumbe pisi kombe!.. na hii ndo picha yake Baada ya kuiona sikujibu chochote zaidi ya kumuwekea haka ka video Tuwe makini ndugu zanguni maana matusi niliyotukanwa na huyo kibonge mpk nimeota tujipu uchungu!.
  17. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Salim Himidi katika picha, katika mazungumzo

    SALIM HIMIDI KATIKA PICHA KATIKA MAZUNGUMZO Mtu anapoondokewa na wake akili inahangaika sana lakini mara mtu anasahau na maisha yanaendelea. Hizi ni katika rehma za Allah vinginevyo maisha yetu yote duniani yangetawaliwa na huzuni kwa misiba inayotufika. Picha ya mwanzo kushoto ni Salim...
  18. K

    JamiiForums Tanzania Nikiangalia picha za viongozi wa serikali mashambani kwao weekend, nakumbuka mashamba ya Mbowe yaliyovamiwa na wanasiasa wakaua mimea isiyo na hatia

    Binadamu ana tabia yakuona kitu flani kikamkumbusha Jambo fUlani la aina hiyo lililowahi kutokea miaka ya nyuma. Leo hii nikawaida kuona wanasiasa na baadhi ya viongozi wakisiasa wakipiga picha na kuposti wakiwa kwenye mashamba yao. Picha hizi unanifanya nijiulize hivi akienda mtu akaondoa...
  19. TODAYS

    JamiiForums Tanzania PICHA: Republican waanza kuabudu sanamu ya dhahabu ya Trump

    Dunia hadaa ulimwengu shujaa. Wenzenu hapo kwa Biden wameamua kwa moyo mkunjufu kufanya ibada na kuiabudu sanamu ya mstaafu Trump. Nawasilisha. === Fact check: Picha aliyoweka mtoa mada haihusiki na kuabudiwa
  20. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Hivi Askofu Dr Gwajima anaweza kutengeneza picha kubwa kweli?

    Anadai kuwa anamtumainia Bwana na waamini wake hawavai barakoa na kuchukua taadhari yoyote lakini hakuna aliyekufa. Swali, mbona bungeni kuna ulinzi? Na viongozi wakubwa wana ulinzi pia? Hivi nyumbani kwake na kwenye ofisi za makanisa yake hafungi milango na makufuli au funguo?
Back
Top Bottom