picha

Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Barabara ya Rusahunga Rusumo katika picha

    Katika picha ni hali halisi ya barabara ya Rusahunga Rusumo 92km miaka 60 baada ya uhuru. Kwa hakika nia njema ya kuwa na miundo mbinu kama ya Ulaya - tungali na safari ndefu. Katika picha ni hali kama ilivyo leo. Labda pamoja na makelele mengi angalau maji yamemwagwa barabarani: Nyuma...
  2. Miss Zomboko

    Wanawake huongoza kudhalilishwa mitandaoni kutokana na kupiga picha zenye utata

    TCRA yataja sababu Wanawake kuongoza kudhalilishwa mtandaoni MAMLAKA ya Mawasiliano (TCRA), imesema wanawake wanaongoza kwa kudhalilishwa mitandaoni kutokana na kuwa na tabia za kupiga picha zenye utata na kuzituma mitandaoni pamoja na kutumia simu za wapenzi wao kupiga picha za utupu. Mkuu wa...
  3. Nyani Ngabu

    Pata picha hii ingetokea hapa Tanzania

    Huyo kwenye video ni chatu wa Amerika ya Kusini, ajulikanaye kama anaconda. Inadaiwa kuwa hapo ni kwenye mji wa Porto Velho, nchini Brazil. Joka lilikuwa linavuka barabara na watu wakasimamisha magari yao na kuliacha livuke kwa amani na utulivu na bila kulidhuru wala kuliua. Wengine wakashuka...
  4. Erythrocyte

    GE2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

    Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongezeka. Mwangalie Sheikh Ponda Issa Ponda alivyotikisa Dodoma leo. Video hii hapa ==== SHEIKH PONDA: WAISLAMU TUMEKUBALIANA TUTAMPIGIA KURA LISSU Sheikh Ponda Issa Ponda amesema Mgombea wa Urais...
  5. fungi06

    Picha zifuatazo ni kwa watu intelligence tu

    Zifwatazo ni picha kwa ajili ya watu intelligence tu. Sija zielezea maana zinaeleweka 1 2 3 4. 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 Karibuni mwenye nyongeza N.B; kama aujaelewa uliza
  6. mtz one

    GE2020 Picha: Profesa Lipumba akihutubia Mkutano wa kampeni Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa Mjini

    Mgombea urais kupitia chama cha wananchi CUF amelakiwa na maelfu kwa mamia ya wananchi mkoani iringa katika viwanja vya mwembetogwa tarehe 14.10.2020
  7. Erythrocyte

    GE2020 Picha: CHADEMA yaendelea na kampeni Mbarali , CCM hali mbaya

    Maneno matupu hayavunji mfupa , mtiti wa Mwang'ombe huu hapa , Huu ni umati wa wanakijiji cha Kapunga .
  8. S

    Picha: Dar es salaam kama Ulaya!

    Angalia jinsi jiji la DSM linavyopendeza kwa Sasa.
  9. Erythrocyte

    GE2020 Picha : Joseph Haule(Profesa J) akiendelea na kampeni kata ya Ruaha

    Hapa ni kwenye kijiji cha Kifinga Kata ya Ruaha, akiwakilisha chama chake mbele ya Wananchi.
  10. Cannabis

    Picha: Gari yaibwa Afrika ya Kusini na kupatikana baada ya masaa matatu ikiwa kwenye hali hii

  11. CHADEMA

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho. Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na...
  12. Erythrocyte

    GE2020 Picha za kampeni za CHADEMA, Nkasi Kaskazini

    Aida Khenan ambaye ni Mgombea ubunge wa Chadema jimbo la Nkasi Kaskazini akiendelea kuomba kura kwa wananchi kama alivyotumwa na Chama chake Njia pekee ni kuzuia Mawakala kuingia na simu kwenye vituo vya kupigia kura
  13. Carlos The Jackal

    Rais Magufuli, umewadhalilisha sana wanawake weusi nchini

    Kauli yako uliyoitoa leo hii, eti huyo mgombea wako cheupe akija Ofisini mwako utamuhudumia haraka kuliko hata wanawake weusi. Ni Udhalilishaji na Unyanyasaji wa kijinsia, umeonyesha wazi kuwa wewe ni mbaguzi wa rangi. Kumbe ndo maana wanawake weupe weupe wanakula Mema ya nchi huku wachache...
  14. Zanzibar-ASP

    Kwanini kitambulisho cha ujasiriamali hakina risiti, jina, picha wala anuani?

    Mjadala wa uhalali na umuhimu wa kitambulisho cha Ujasiriamali umeibuka upya baada ya Lissu kukikosoa vikali na hapo hapo Magufuli kukitetea kwa nguvu zote. Kuna maswali ya msingi ya kuhoji na kutafakari. Kwa mfano; 1. Kwanini kitambulisho kiuzwe elfu 20, badala ya kutolewa bure? (Kama...
  15. Shark

    CCM kwa hiki mlichoufanyia Uwanja wa Benjamin William Mkapa, Mungu anawaona

    Dah, CCM Mlijua kabisa Leo tarehe 11 October 2020 tutakua na mechi Muhimu ya Kimataifa ya Kirafiki kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars v/s Burundi lakini bado mkapitisha Fiesta lenu palepale. Uwanja wote umejaa vipara na zile ni nyasi halisi, kuota tena ni majaaliwa. Uwanja sasa...
  16. A

    GE2020 CHADEMA hawaaminiki, tuwapime kwa ishu ya Korona tu tutapata picha

    Wanabodi, Sina lengo la kuishambulia CHADEMA ila Kuna mambo yananitatiza kuhusu kuaminika kwao. Sote tunajua timbwili walilolianzisha bungeni kuhusu korona mpaka kufikia kijikarantini kibabe. Wakati wenyewe wanajikaranti, wapiga kura wao walikuwa wanapambana uraiani kutafuta mkate wao wa kila...
  17. Bujibuji Simba Nyamaume

    Utamu wa picha, macho yako

  18. K

    GE2020 Nani ana jukumu la kulinda bendera na picha za Wagombea zisiharibiwe kipindi cha kampeni?

    Kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi- ni nani mwenye dhamana ya kulinda picha za wagombea na bendera za vyama vya siasa zisiharibiwe? Je, ipo sheria inayotamka kua kuharibu picha au bendera ni kosa? Au kila mwananchi ana Uhuru wakuondoa picha ya Mgombea na bendera asiyoitaka?
  19. Mung Chris

    Kampeni zimepamba moto kila mtu na mtazamo wake akiona picha ya mgombea

  20. May Day

    Taratibu za kisheria zikoje kubadili gari langu kuwa na picha za Wagombea kama bango la kampeni?

    Nimekuwa ninakutana na magari mbali mbali yakiwa na picha za Wagombea mbali mbali nikajikuta najiuliza maswali iwapo nami nitatamani kubadili Gari langu, maana najua hili ni zoezi la muda mfupi tu na baada ya kampeni Gari litarudi rangi yake ya awali.
Back
Top Bottom