johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya BAWACHA hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.
Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.
My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!
====
Jeshi la polisi Dodoma limewataka baraza la wanawake Chama cha demokrasia na maendeleo mkoa wa Geita (BAWACHA) kuacha kufanya maandamano, Hii ni kufuatia baraza hilo kutangaza kufanya maandamano kupinga wabunge 19 wa viti maalumu kutoka cha hicho
kauli hiyo imetolewa leo na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Dodoma Gilles Muroto wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake
"Tumepokea tishio kwa njia ya mtandao kwamba baraza la wanawake chadema(bawacha)wilaya ya Geita kwamba wanampango wa kufanya maandamano kushinikiza spika awaondoe wabunge 19 pale bungeni kwamba hawapo kihalali"Amesema kamanda Mroto
"Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na kamanda Dodoma, kama wanataka kujifunza waje na Kompyuta na madaftari waandike notes ili somo watakalolipata wakawafundishe na hao waliowatuma, Waje na bukta kutakuwa na mazoezi ya masafa mafupi, maana watatoka jasho tutawaandalia maji ya kuoga kama wakitaka ya moto au ya baridi watayapata, tunawasubiri"
"Kuna lugha za kinyaa , wanawaita akinamama wenzao Covid-19 , hii ni mbaya waje Dodoma Tutawapa chanjo" - Kamanda Gilles Muroto.
Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.
My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!
====
Jeshi la polisi Dodoma limewataka baraza la wanawake Chama cha demokrasia na maendeleo mkoa wa Geita (BAWACHA) kuacha kufanya maandamano, Hii ni kufuatia baraza hilo kutangaza kufanya maandamano kupinga wabunge 19 wa viti maalumu kutoka cha hicho
kauli hiyo imetolewa leo na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Dodoma Gilles Muroto wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake
"Tumepokea tishio kwa njia ya mtandao kwamba baraza la wanawake chadema(bawacha)wilaya ya Geita kwamba wanampango wa kufanya maandamano kushinikiza spika awaondoe wabunge 19 pale bungeni kwamba hawapo kihalali"Amesema kamanda Mroto
"Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na kamanda Dodoma, kama wanataka kujifunza waje na Kompyuta na madaftari waandike notes ili somo watakalolipata wakawafundishe na hao waliowatuma, Waje na bukta kutakuwa na mazoezi ya masafa mafupi, maana watatoka jasho tutawaandalia maji ya kuoga kama wakitaka ya moto au ya baridi watayapata, tunawasubiri"
"Kuna lugha za kinyaa , wanawaita akinamama wenzao Covid-19 , hii ni mbaya waje Dodoma Tutawapa chanjo" - Kamanda Gilles Muroto.