RPC Muroto atoa onyo kwa BAWACHA, asema wanaotaka kuandamana watakipata wanachokitafuta wakasimulie wenzao huko Geita

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,980
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya BAWACHA hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.

Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.

Muroto.jpg

My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!

====

Jeshi la polisi Dodoma limewataka baraza la wanawake Chama cha demokrasia na maendeleo mkoa wa Geita (BAWACHA) kuacha kufanya maandamano, Hii ni kufuatia baraza hilo kutangaza kufanya maandamano kupinga wabunge 19 wa viti maalumu kutoka cha hicho

kauli hiyo imetolewa leo na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Dodoma Gilles Muroto wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake

"Tumepokea tishio kwa njia ya mtandao kwamba baraza la wanawake chadema(bawacha)wilaya ya Geita kwamba wanampango wa kufanya maandamano kushinikiza spika awaondoe wabunge 19 pale bungeni kwamba hawapo kihalali"Amesema kamanda Mroto

"Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na kamanda Dodoma, kama wanataka kujifunza waje na Kompyuta na madaftari waandike notes ili somo watakalolipata wakawafundishe na hao waliowatuma, Waje na bukta kutakuwa na mazoezi ya masafa mafupi, maana watatoka jasho tutawaandalia maji ya kuoga kama wakitaka ya moto au ya baridi watayapata, tunawasubiri"

"Kuna lugha za kinyaa , wanawaita akinamama wenzao Covid-19 , hii ni mbaya waje Dodoma Tutawapa chanjo" - Kamanda Gilles Muroto.
 
Kamanda wa polisi mkoa wa Dogoma ali maarufu kamanda wa kuchakaa , kipigo cha mbwa Koko amewatishia Bawacha kuwa wasiandamane kumshinikiza Ndugai afuate sheria na katiba ya nchi kuwatoa bungeni wabunge wasio na chama almaarufu Covid 19 . Hivi jeshi la polisi bado tu wanaendelea tu kuwa sehemu ya siasa ? Badala ya kushughulika na wahalifu ?

====

Jeshi la polisi Dodoma limewataka baraza la wanawake Chama cha demokrasia na maendeleo mkoa wa Geita (BAWACHA) kuacha kufanya maandamano, Hii ni kufuatia baraza hilo kutangaza kufanya maandamano kupinga wabunge 19 wa viti maalumu kutoka cha hicho

kauli hiyo imetolewa leo na kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Dodoma Gilles Muroto wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake

"Tumepokea tishio kwa njia ya mtandao kwamba baraza la wanawake chadema(bawacha)wilaya ya Geita kwamba wanampango wa kufanya maandamano kushinikiza spika awaondoe wabunge 19 pale bungeni kwamba hawapo kihalali"Amesema kamanda Mroto

"Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na kamanda Dodoma, kama wanataka kujifunza waje na Kompyuta na madaftari waandike notes ili somo watakalolipata wakawafundishe na hao waliowatuma, Waje na bukta kutakuwa na mazoezi ya masafa mafupi, maana watatoka jasho tutawaandalia maji ya kuoga kama wakitaka ya moto au ya baridi watayapata, tunawasubiri"

"Kuna lugha za kinyaa , wanawaita akinamama wenzao Covid-19 , hii ni mbaya waje Dodoma Tutawapa chanjo" - Kamanda Gilles Muroto.
 
Kamanda Muroto tambua kuwa haki ina upofu ndio maana haibagui mtu. Awe maskini,awe tajiri au mwanaCCM au mwanaChadema.

Akina mama wa chama chetu kuandamana sio kosa ni haki yao. Kama ni suala la taarifa siku hizi hata e mail zipo. Kama unahitaji taarifa kupitia kwa Ocd unaweza kupata

ANDHA KANOON
image_search_1620582080204.jpg
 
Kamanda Muroto tambua kuwa haki ina upofu ndio maana haibagui mtu. Awe maskini,awe tajiri au mwanaCCM au mwanaChadema.

Akina mama wa chama chetu kuandamana sio kosa ni haki yao. Kama ni suala la taarifa siku hizi hata e mail zipo. Kama unahitaji taarifa kupitia kwa Ocd unaweza kupata

ANDHA KANOON
View attachment 1779056
Mimi nilichovutiwa na iyo sanamu tu iyo nyonyo
 
Back
Top Bottom