battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,672
- 2,540
Namuona Mwl akiwa mtu wa kawaida kabisa
Huku Shk Suleima Takadiri na weziwe (SHEIKH SULEIMAN TAKADIR, JOHN RUPIA AND NYERERE 1955) wakionesha kuwa na lengo moja tuu.
Kuikomboa Tanganyika.
Lakini Huku nyuma kuna mabodi Gurd wa kijadi,
Wanachekesha kidogo. mtu kabeba Shoka begani , Mkuki, Panga na Kisururu kiunoni. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 najiuliza atavitumiaje hivi kwa wakati mmoja?
Wakati huo wagombea Uhuru wengi wao walikuwa Waislamu wa Pwani na Masheikh.
Je, kuna kitu cha kujifunza katika picha hii ya zamani?