pesa

  1. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukimpata mchumba ana miaka 50 anasema umpa muda atafute pesa kuna muoaji hapa?

    Miaka 50 hana pesa ataipata lini? Alifanya nini duniani katika miaka yake 50?
  2. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda yapata hasara ya matrilioni ya pesa kibiashara kutokana na mizozo yake na nchi jirani

    Sekta ya biashara nchini Uganda imepata pigo kubwa sana mwaka huu kwa kuandikisha upungufu wa shilingi trilioni 3.4. Hii inatokana na mizozo ya kibiashara na mataifa jirani. Kwa mujibu wa ripoti ya ufanisi wa kibiashara ya mwaka 2018/2019, shughuli za kibiashara kati ya Uganda na mataifa...
  3. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mzee aiba pesa na kuzitoa kama zawadi akisema 'Merry Christmas'

    Bwana mmoja mwenye ndevu nyeupe alifanya uvamizi wa benki siku mbili kabla ya Krismasi na kuzirusha juu kwa furaha na kuwatakia kheri ya siku kuu wapita njia, mashuhuda wameeleza. Polisi wamethibitisha "mwanaume mzee wa kizungu" alivamia benki ya Academy mjini Colorado Springs, Marekani siku ya...
  4. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Benki ya Maendeleo Afrika yatoa mabilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa barabara Kenya na Tanzania

    Watu zaidi ya milioni tatu katika nchi za Tanzania na Kenya, watanufaika na Euro milioni 345 kutoka Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) kusaidia ujenzi wa barabara. Barabara zitakazohusika ni za Mombasa-Lunga Lunga/Horohoro na Tanga-Pangani-Bagamoyo katika awamu ya kwanza, ikiwa ni asilimia 78.5...
  5. The Eric

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwaninini kila nikimutongoza mwanamke lazima watangulize pesa

    Kwema wanajf nashindwa kuelewa hivi vitu kwa wanawake wa sasa 1. Wengi wanatazama material things kama magari, uchawi wao ni magari yaan ukiwa na nyumba labda uibebe kichwani waone uko na nyumba au kiwanja/shamba. 2. Wengi wanatanguliza pesa sana yaani nimejaribu kwa madada wengi afu hii mi...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Pesa 8 zenye nguvu Afrika

    Nguvu ya pesa hutambulika kwa vitu vingi ikiwemo upatikanaji na uzalishaji wake ( supply and demand ), nguvu za soko ndani ya nchi, mfumko wa bei na soko la ubadilishwaji pesa. Dola ya marekani huchukuliwa kuwa pesa yenye nguvu zaidi duniani hivyo katika upimaji wa pesa nyingine, tunaitumia...
  7. Suley2019

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Polisi wa Mjini Eldoret wamekamata pesa za bandia kiasi cha Shilingi milioni 45.8

    Mkazi wa Kaunti ya Eldoret Bwana Allan Kipturo 34 amekamatwa na Polisi wa Mjini humo siku ya jumatatu baada ya kukutwa na kiasi cha shilingi milioni 45.8 za bandia.. Polisi walisema walimkamata Allan Kipruto, baada ya wananchi kuripoti kuwa na mashaka na biashara zinazofanywa na kijana huyo...
  8. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Shida sio kuweka ndani wakandarasi. Mh Mbarawa hatuna wafuatiliaji mpaka pesa zinapekenywa?

    Wakati muafaka tuwe wazi wapendwa Namuona Mh Mbarawa ITV analaani mkandarasi kala bilioni tatu. Naomba tuwe wazi wapendwa hizi pesa hazijatoka kwa wakati mmoja kuna watu wamesaini kila baada ya muda. Sasa kama hilo ni tatizo shida sio kuweka ndani wakandarasi hao waliosaini pesa zitoke...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Sheria mpya za kutuma pesa kutoka nje zitapunguza mapato

    Diaspora wengi hasa wa US walikuwa wameanza kutuma pesa zaidi kwasababu ya urahisi wa kutuma pesa. Kwa kutumia hizi Apps. Lakini inaelekea Serikali imeonzeza sana sheria kiasi kwamba inaweza kufanya watu waache kutumia hizi app na kupunguza mapato makubwa kwa nchi. Maswali ya uraia, kutuma...
  10. Kitondo

    JamiiForums Tanzania Hii nyumba itanigharimu kiasi gani cha pesa?

    Wakuu salam kwenu. Nataka kuhamia kwenye kiwanja changu. Nia yangu ni kujenga vyumba viwili katika kona ya kiwanja changu kusudi tu nihamie ila hiyo nyumba ya ndoto yangu nijenge katika sehem iliyo baki. Kwa ujumla nataka mlango wa kuingilia uwe mmoja (sebleni)ambapo chumba cha masterbed...
  11. scatter

    JamiiForums Tanzania Mgogoro unaodaiwa kuwepo kati ya BOT na M-Pesa utaisha lini ili Templer for Empler Forex atumie M-Pesa?

    Wakuu huu ni mwezi wa pili kwa wale wanaotumia broker wa templer forex hawawezi kudiposit pesa kwa njia ya M-Pesa Tanzania Inasemekana kuna mgogoro mkubwa wa kampuni ya M Pesa na BOT Tafadhali BOT malizeni mgogoro wenu kwani biashara za mtandao zipo nyingi tu kwann mnaleta vurugu kwa mabroker?
  12. Cyangungu

    JamiiForums Tanzania Serikali iwalipe pesa yao Strabag ili mradi wa barabara Isaka-Lusahunga kipande cha Nyakanazi-Lusahunga kikamilishwe

    Nipo safarini kurejea kwetu Cyangungu,Kamembe Rwanda lakini hii adha ya kipande cha barabara tajwa hapo juu ni kero! Toka juzi maroli yamekwama na njia mbadala imeharibika vibaya kwa sababu ya mvua na mkandarasi inadaiwa anadai pesa zake na amegoma kumalizia kipande kifupi tu cha km 5 hadI...
  13. Mlachake

    JamiiForums Tanzania Video inayosambaa ikionesha jinsi upigaji wa pesa za miradi unavyotokea

    Sijafanikiwa Kujua Ni Wilaya gani lakini huu ni ushahidi tosha kwamba Tanzania ufisadi bado upo
  14. L

    JamiiForums Tanzania Tishio la pesa za digitali: Je, Serikali zitabaki na Bunduki tu?

    Wazee tunaikumbuka hii? Ilianza kama utani, c lakini sio utani kwa akili ya mwanzilishi mwenyewe wa pesa za digitali. Lengo la Satoshi Nakamoto mwanzilishi wa pesa ya digitali ya bitcoin ni kuleta dunia yenye pesa ambayo haiko chini ya chombo chochote au serikali duniani. Kusudi lingine ni...
  15. chiembe

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Sherehe mbalimbali za kitaifa zifanyike mikoa yote katika viwanja vya CCM, hii itasaidia pesa ya Serikali kutumika kuvikarabati

    Ccm ina viwanja vimetapakaa nchi nzima, lakini vingi vina hali mbaya. Chama chetu hakina fedha za ukarabati. Viwanja kama CCM Kirumba, Kaitaba na vingine vingi, kabla ya mfumo wa vyama vingi, tulitegemea fedha za serikali. Kwa sasa njia pekee ni kuhamishia sherehe za kitaifa katika viwanja...
  16. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Gesi yaokoa mamilioni ya pesa za madereva

    KUGUNDULIKA kwa gesi kwenye mikoa ya Kusini mwa nchi, kumeokoa fedha nyingi ambazo zilikuwa zikitumika kununua petroli na dizeli. Hayo yameelezwa na wafanyabiashara wa kusafirisha abiria jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti. Mmoja wa watu hao ni dereva teksi aliyejitambulisha kwa jina moja...
  17. The Sheriff

    JamiiForums Tanzania Igunga: Mwananchi amuomba Rais Magufuli ‘kuachia pesa’ mtaani, Rais ajibu hakuna vya bure zaidi ya kuchapa kazi

    Tangu Rais Magufuli aingie madarakani kumekuwa na malalamiko ya chinichini miongoni mwa Watanzania kuhusu hali ya kiuchumi kuwa ngumu. Ugumu huo ulizaa msemo ‘’vyuma vimekaza’’, jambo lililokemewa vikali na Mheshimiwa wa ngazi za juu. Sasa basi, kufuatia hali ya kiuchumi kuendelea kuwa ngumu...
  18. Cyangungu

    JamiiForums Tanzania Tusichotambua wengi wetu ni kwamba pesa za mkopo inazokopa Serikali kwa ajili ya miradi mbalimbali ni pesa zetu

    Wengi wetu tumekuwa mabingwa wa kukejeli pale ambapo Serikali inapokopa pesa kwenye mabenki mbalimbali eti si pesa yetu ya ndani bali ni mkopo jambo ambalo si kweli! Ukweli ni kwamba pesa inayokopwa na Serikali hurejeshwa kwa wale waliotukopesha kwa makusanyo yetu ya kodi kwa makubaliano ya...
  19. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyemuita Michelle Obama nyani ahukumiwa kwa kudanganya pesa ya kujikimu

    Denver Developer Pleads Guilty To Arson In Conjunction With Grove Street Fire DENVER – United States Attorney Jason R. Dunn announced that Michael Marte, age 54, of Denver, pleaded guilty today before U.S. District Court Judge William J. Martinez to one count of arson in connection with the...
  20. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa taasisi kutoa gawio, Je Rais aanzishe utaratibu sekta binafsi kuchangia kwa hiari? Atakusanya sana, japo wengine hoi, tutachagia tu

    Wanabodi, Hili ni bandiko la ushauri. Pongezi kwa taasisi kutoa gawio, Je Rais aanzishe utaratibu sekta binafsi Kuchangia kwa hiari? Atakusanya sana, japo wengine hoi, tutachagia tu. Kwanza natoa pongezi kwa taasisi kutoa gawio kwa serikali, ila pia naomba kukiri nimeumia kidogo, baada ya...
Back
Top Bottom