Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,223
- 6,467
Habari za majukumu wadau wenzangu.
Nimekuwa nikiombwa hela na watu tofautitofauti tangu nikiwa Mdogo kabisa. Nilipokuwa nasoma shule, nikirudi likizo watu huniuliza una buku hapo?
Hadi leo nahangaika na maisha yangu bado mizinga ni mingi. Mfano kuombwa Shililingi 200, 500, 1000, 5000, 10000 na wengine wakizidi hapo watajifanya wanakopa na hawanirudishii.
Kuna watu mtaani na hata ndugu zangu wenye uwezo kuliko mimi lakini siwaoni wakiombwa hela na watu. Nimewahi kuwauliza wakasema hakuna anayethubutu kuwaomba hela.
Hapa Kuna mtu ananisumbua tangu jana anaomba elf tano tu. Mwezi wa pili nilimpa elf 12 bure kabisa. Sasa karudi tena. Hali hii inatokana na nini? Napatwa na wasiwasi.
Nimekuwa nikiombwa hela na watu tofautitofauti tangu nikiwa Mdogo kabisa. Nilipokuwa nasoma shule, nikirudi likizo watu huniuliza una buku hapo?
Hadi leo nahangaika na maisha yangu bado mizinga ni mingi. Mfano kuombwa Shililingi 200, 500, 1000, 5000, 10000 na wengine wakizidi hapo watajifanya wanakopa na hawanirudishii.
Kuna watu mtaani na hata ndugu zangu wenye uwezo kuliko mimi lakini siwaoni wakiombwa hela na watu. Nimewahi kuwauliza wakasema hakuna anayethubutu kuwaomba hela.
Hapa Kuna mtu ananisumbua tangu jana anaomba elf tano tu. Mwezi wa pili nilimpa elf 12 bure kabisa. Sasa karudi tena. Hali hii inatokana na nini? Napatwa na wasiwasi.