Halafu mtu analalamika kuwa JPM anapendelea wabunge wa mikoa ya bara katika kuunda Baraza la Mawaziri. Tunapoingia uchumi wa kati ndugu zangu changueni wabunge wasomi.
Hawa ndio wenye sifa ya kumsaidia mhe. JPM. Achaneni kumchagua mtu kwa vigezo vya pesa, mnasikia ndugu zangu hasa wa mikoa ya pwani. Najua mikoa yenu ina baadhi ya watu walioenda shule msiangalie pesa hizo pesa zitatatua matatizo yako ya leo na utaendelea kuwa katika matatizo miaka mitano yote.
Achanane kuchagua wabunge kwa vigezo vya pesa. Pesa utakula leo kesho njaa kama kawa. Magufuli ili ku-balance siasa analazimika kuwachagua wabunge wenu weupe kichwani kwa kukosa wenye sifa.
Achaneni na wafanyabiashara pesa pingeni kura wanyimeni.
Hawa ndio wenye sifa ya kumsaidia mhe. JPM. Achaneni kumchagua mtu kwa vigezo vya pesa, mnasikia ndugu zangu hasa wa mikoa ya pwani. Najua mikoa yenu ina baadhi ya watu walioenda shule msiangalie pesa hizo pesa zitatatua matatizo yako ya leo na utaendelea kuwa katika matatizo miaka mitano yote.
Achanane kuchagua wabunge kwa vigezo vya pesa. Pesa utakula leo kesho njaa kama kawa. Magufuli ili ku-balance siasa analazimika kuwachagua wabunge wenu weupe kichwani kwa kukosa wenye sifa.
Achaneni na wafanyabiashara pesa pingeni kura wanyimeni.