The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,449
- 17,148
Socialite wa mitandaoni kutoka Nigeria, mfanyabishara hewa Hushpuppi aliekamatwa mwezi uliopita mjii Dubai amehamishiwa Marekani na kusomewa mashtaka ya utakatishaji pesa na uhalifu wa kimtandao.
Atuhumiwa kutaka kutapeli club moja ya EPL wamtumie Pound 100M sawa na Dollar 124M au Bilioni 280 za kitanzania.
Habari za Chini chini zinasema hii club ni Arsenal, Hushpuppi alitaka kuipiga Arsenal aitoe barabarani ikose hela ya kusajili kwa miaka 5 ishuke daraja😂.
Yeye na genge lake la utapeli la kimataifa wamehusika katika wizi wa mabilioni ya pesa kwa njia ya mtandao.
Mwaka 2018 club ya Italia Lazio ililalamika kuibiwa pesa ya uhamisho kwa Vrjis, basi mwizi alikua Hushpuppi.