Maana sasa ajira hamna (statistically ajira zipo chache mno), wanaenda kusomea nini cha ziada? mm naona elimu ya form 4 inatosha kabisa kuishi kitaa, mtu akishajua hesabu ya kujumlisha, kutoa, kugawanya, kuzidisha, kusoma na kuandika kiswahili na kingereza, bookeeping inatosha vizuri tu, + kama profesionals wanahitajika, mtu akimudu practicals za kuwa mwanasheria/daktari/rubani etc inatosha sana, kuliko kupoteza miaka mitatu chuo ya kukariri theories za watu wengine.
Mtu akitaka kusoma theories za wengine asome kwa kupenda yeye na sio kwa kulazimishwa, kwa kuambiwa kuwa akifanya hivyo ataongeza chances zake za kuajiriwa wakati ajira hamna.
Huu mfumo wa kusoma na kulipia ada kuanzia shule ya msingi hadi chuo nadhani upo ili kuwafaidisha watu wachache.
Wale mtakaokuja ku-comment kunipa pole kwa ninayopitia mnakaribishwa.
Mtu akitaka kusoma theories za wengine asome kwa kupenda yeye na sio kwa kulazimishwa, kwa kuambiwa kuwa akifanya hivyo ataongeza chances zake za kuajiriwa wakati ajira hamna.
Huu mfumo wa kusoma na kulipia ada kuanzia shule ya msingi hadi chuo nadhani upo ili kuwafaidisha watu wachache.
Wale mtakaokuja ku-comment kunipa pole kwa ninayopitia mnakaribishwa.