pesa

  1. Laini nyingi sana za M-Pesa na Tigopesa hazitafanya kazi kuanzia leo

    Hii ni hasara, laini nyingi za MPESA na TIGO pesa zilikuwa zinauzwa mtaani kwa sh 100,000 au zaidi ya hiyo, unakuta mtu kanunua laini yenye majina hata hamjui aliye isajili, wengi walifanya biashara hiyo ya MPESA na TIGO PESA kwa laini zisizo zenye majina yao, leo zimefungwa, watapata wapi laini...
  2. Pesa za wale ambao laini zao zitafungwa zitakuwa salama kwa muda wa miezi 3 tuu

    IKIWA leo ni mwisho wa kusajili laini za simu, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kuwa fedha za Watanzania ambao laini zao za simu zitafungwa, zitakuwa salama kwa muda wa miezi mitatu. Baada ya hapo iwapo watashindwa kufungua laini zao za simu, wateja hao watalazimika kwenda kwa...
  3. Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

    Habari kubwa katika kipindi hichi kwa upande wa fedha na uwekezaji ni cryptocurrency au kama inavyofahamika kwa Kiswahili fedha za kidijitali. Aina hii ya fedha imewavutia wengi siyo kwa sababu ya matumizi yake, bali kwa jinsi thamani yake inavyokua kwa kasi na hivyo wengi kuona ni sehemu rahisi...
  4. F

    Laini za simu kufungwa, akaunti za pesa kubaki

    Tunajua laini za simu szisizosajiriwa ikifika 31Desemba Kisha 20Januari 2020, zitafungwa. Tunajua serikali ilipitisha na kuridhia laini za simu kuwa akaunti za pesa pia Tunajua simu ikifungwa akaunti ya pesa haiwezi kutumika, maana unaanza kuwa na laini ndio upate akaunti ya pesa na sio...
  5. CAG tunaomba ukague hizo pesa za wasanii kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii

    Nimefuatilia sana majibishano ya baadhi ya viongozi tukajua n bifu za kawaida. Sasa kwa yanayoendelea kila msanii anakana hajapewa hela jamani tunaomba hii hali ikaguliwe na CAG wetu na jambo hili liwekwe wazi ama bungeni ama kwenye vyombo vya habari. Leo mtaruhusu haya atakuja mwingine...
  6. Isaya Mwita ni kikwazo cha CCM kuchota Pesa ya uchaguzi kwenye Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam, ndio chanzo cha kuwekewa zengwe

    Wakuu hii ndio sababu kubwa ya CCM kutaka kumuondoa Meya wa Jiji la Dar es Salaam , hakuna sababu nyingine yoyote ile. Mwita anatuhumiwa kuzuia matumizi ya zaidi bil 5 ambazo ni mgawo kutoka UDART, Je, ni matumizi gani hayo yaliyotakiwa kufanywa na kwanini yamezuiliwa ? Hakuna mwanaccm...
  7. Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita Meya anyang’anywa gari, ofisi yafungwa. Adai kuwa yeye bado ni Meya halali

    Meya Jiji la Dar es Salaam, nchini Tanzania Isaya Mwita amejikuta njia panda baada ya kunyang’anywa gari alilokuwa akilitumia ambalo linamilikiwa na halmashauri hiyo muda mchache baada ya uamuzi wa mkutano mkuu kutoa uamuzi dhidi ya tuhuma dhidi yake. Mkutano huo umefanyika leo Alhamisi...
  8. Fahamu namna ya kujua kirahisi sehemu yenye mzungunguko wa pesa Tanzania

    Ukitaka kujua wapi Kuna mzunguko mkubwa wa pesa angalia wafanyabiashara wafuatao Kama wapo wengi 1.Wahindi 2.Wachaga 3.Wapemba 4.Waarabu 5.Wakinga Pia Ukiona eneo Lina Baa nyingi mzunguko wa pesa eneo Hilo Ni mkubwa Pia Ukiona eneo Lina makanisa au misikiti yenye majengo mengi makubwa na watu...
  9. Rais Museveni wa Uganda akipigiwa magoti na wazee huku akitoa pesa kwenye bahasha za khaki

    Rais Yoweri Kaguta Museven wa Uganda akiwa ameketi huku wazee wakimpigia magoti na kupewa chochote kwenye bahasha ya kaki. Ikumbukwe kuwa uchaguzi nchini Uganda unatarajiwa kufanyika mwakani February 9, 2021. Kiongozi huyo wa taifa la Uganda ameongoza Uganda kwa takribani ya miaka 34 hadi...
  10. Mwalimu Nyerere: Kuna wanasiasa wanaouza heshima zao kwa sababu ya pesa. Ukiwapa pesa watatukana kweli kweli, wako tayari kusaliti nchi

    Hawa watu huwa wanapewa pesa kwa masharti ya kuongea maneno waliyoandikiwa na wafadhili wao. Hii nimeifananisha na tabia ya jamaa mmoja wa nchi ya Tanzania alikuwa akilipwa na ACACIA kuitukana Serikali. Jamaa waliomtuma kuongea yale maneno walimchagulia hata matusi ya kutukana. Kama ilivyo...
  11. Njoo nikufundishe njia za kumwacha kwa aibu msichana mpenda pesa

    Kwa dunia ya leo iliyojaa technology mabinti wengi hasa wa bara la Afrika wamejaa tamaa. Imefika wakati wamejigeuza kuwa bidhaa. Kila mmoja kajipa level yake ya uchunaji. Tamaa ya nguo za gharama, laptops, simu, viatu, handbags, gari n.k vimesababisha waone K zao ni bidhaa. Mwanaume mwenzangu...
  12. Anafanya majukumu yote ya ndani lakini si pesa ya urembo wangu

    Majukumu yote ya ndani anayafanya hata kunyoa watoto wa kiume nywele J’mosi ni jukumu lake. Ananunua chakula, umeme, ada za shule, nguo za watoto. Kusuka nywele zangu amesema ni jukumu langu na pia kupendeza. Hataki nimuaibishe tukipata mialiko niwe nadhifu. Haulizi mshahara wangu ni kiasi...
  13. Dkt. Mpango: Ingekuwa amri yangu wanaotengeneza pesa bandia ningewakata "korosho zao"

    WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango (pichani) amesema wanaohujumu uchumi kwa kutengeneza noti bandia na kuzisambaza, ingekuwa amri yake angewakata ‘korosho zao’ kwani watu hao ni wabaya na wanahujumu uchumi wa nchi. Waziri Mpango alitoa kauli hiyo juzi jijini hapa, wakati akizungumza...
  14. Huwa mnamalizaje pesa kwenye pombe wakati Mbogo inauzwa Tsh 500 na Faru Tsh 600?

    Mbona pombe ni bei nafuu sana? Mnaosema inamaliza hela, huwa inamalizaje?
  15. Ukimpata mchumba ana miaka 50 anasema umpa muda atafute pesa kuna muoaji hapa?

    Miaka 50 hana pesa ataipata lini? Alifanya nini duniani katika miaka yake 50?
  16. Uganda yapata hasara ya matrilioni ya pesa kibiashara kutokana na mizozo yake na nchi jirani

    Sekta ya biashara nchini Uganda imepata pigo kubwa sana mwaka huu kwa kuandikisha upungufu wa shilingi trilioni 3.4. Hii inatokana na mizozo ya kibiashara na mataifa jirani. Kwa mujibu wa ripoti ya ufanisi wa kibiashara ya mwaka 2018/2019, shughuli za kibiashara kati ya Uganda na mataifa...
  17. Mzee aiba pesa na kuzitoa kama zawadi akisema 'Merry Christmas'

    Bwana mmoja mwenye ndevu nyeupe alifanya uvamizi wa benki siku mbili kabla ya Krismasi na kuzirusha juu kwa furaha na kuwatakia kheri ya siku kuu wapita njia, mashuhuda wameeleza. Polisi wamethibitisha "mwanaume mzee wa kizungu" alivamia benki ya Academy mjini Colorado Springs, Marekani siku ya...
  18. Benki ya Maendeleo Afrika yatoa mabilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa barabara Kenya na Tanzania

    Watu zaidi ya milioni tatu katika nchi za Tanzania na Kenya, watanufaika na Euro milioni 345 kutoka Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) kusaidia ujenzi wa barabara. Barabara zitakazohusika ni za Mombasa-Lunga Lunga/Horohoro na Tanga-Pangani-Bagamoyo katika awamu ya kwanza, ikiwa ni asilimia 78.5...
  19. Kwaninini kila nikimutongoza mwanamke lazima watangulize pesa

    Kwema wanajf nashindwa kuelewa hivi vitu kwa wanawake wa sasa 1. Wengi wanatazama material things kama magari, uchawi wao ni magari yaan ukiwa na nyumba labda uibebe kichwani waone uko na nyumba au kiwanja/shamba. 2. Wengi wanatanguliza pesa sana yaani nimejaribu kwa madada wengi afu hii mi...
  20. Pesa 8 zenye nguvu Afrika

    Nguvu ya pesa hutambulika kwa vitu vingi ikiwemo upatikanaji na uzalishaji wake ( supply and demand ), nguvu za soko ndani ya nchi, mfumko wa bei na soko la ubadilishwaji pesa. Dola ya marekani huchukuliwa kuwa pesa yenye nguvu zaidi duniani hivyo katika upimaji wa pesa nyingine, tunaitumia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…