Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Kwa dunia ya leo iliyojaa technology mabinti wengi hasa wa bara la Afrika wamejaa tamaa.
Imefika wakati wamejigeuza kuwa bidhaa. Kila mmoja kajipa level yake ya uchunaji. Tamaa ya nguo za gharama, laptops, simu, viatu, handbags, gari n.k vimesababisha waone K zao ni bidhaa.
Mwanaume mwenzangu sasa ikiwa kwa bahati mbaya umeingia kwenye mahusiano na binti mpenda pesa hapo inakupasa kukimbia haraka ili unusuru future yako. Mpe pesa kidogo then kuwa busy, usijishughulishe naye. Akiku-text zile sms za lawama mjibu hivi:
1. Kwani unanidai?
Tulifanya sex nikakulipa pesa, endapo kuna siku nilikutafuna bure niambie tujue nalipa vipi hilo deni.
2. Mimi sioni umuhimu wa kuwa na wewe kwasababu sijawahi pata chochote kwako zaidi ya K ambayo hata kichaa anayo. Au unaweza kuniambia kitu ulichokifanya kwangu kuonyesha tupo pamoja?.
Usimuonee haya demu mpenda pesa zako, utakuja kufa maskini au na UKIMWI. They always don't care about your soul, wanachotazama ni note zako tu.
Kuna wanaume wengine mimi nawachapaga makofi. Anajisifu demu ananipenda, ukimuuliza kakufanyia nini huyo demu atakuambia ananiambia kila wakati Joni nakupenda sana n.k n.k. Hata socks hajawahi kumnunulia.
Imefika wakati wamejigeuza kuwa bidhaa. Kila mmoja kajipa level yake ya uchunaji. Tamaa ya nguo za gharama, laptops, simu, viatu, handbags, gari n.k vimesababisha waone K zao ni bidhaa.
Mwanaume mwenzangu sasa ikiwa kwa bahati mbaya umeingia kwenye mahusiano na binti mpenda pesa hapo inakupasa kukimbia haraka ili unusuru future yako. Mpe pesa kidogo then kuwa busy, usijishughulishe naye. Akiku-text zile sms za lawama mjibu hivi:
1. Kwani unanidai?
Tulifanya sex nikakulipa pesa, endapo kuna siku nilikutafuna bure niambie tujue nalipa vipi hilo deni.
2. Mimi sioni umuhimu wa kuwa na wewe kwasababu sijawahi pata chochote kwako zaidi ya K ambayo hata kichaa anayo. Au unaweza kuniambia kitu ulichokifanya kwangu kuonyesha tupo pamoja?.
Usimuonee haya demu mpenda pesa zako, utakuja kufa maskini au na UKIMWI. They always don't care about your soul, wanachotazama ni note zako tu.
Kuna wanaume wengine mimi nawachapaga makofi. Anajisifu demu ananipenda, ukimuuliza kakufanyia nini huyo demu atakuambia ananiambia kila wakati Joni nakupenda sana n.k n.k. Hata socks hajawahi kumnunulia.