BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Nimefuatilia sana majibishano ya baadhi ya viongozi tukajua n bifu za kawaida.
Sasa kwa yanayoendelea kila msanii anakana hajapewa hela jamani tunaomba hii hali ikaguliwe na CAG wetu na jambo hili liwekwe wazi ama bungeni ama kwenye vyombo vya habari.
Leo mtaruhusu haya atakuja mwingine atafanya mambo ya hatari.
Kila msanii anaongea na press anakana kupewa hela hizo hela zimeenda kwa nani jamani?
Sasa kwa yanayoendelea kila msanii anakana hajapewa hela jamani tunaomba hii hali ikaguliwe na CAG wetu na jambo hili liwekwe wazi ama bungeni ama kwenye vyombo vya habari.
Leo mtaruhusu haya atakuja mwingine atafanya mambo ya hatari.
Kila msanii anaongea na press anakana kupewa hela hizo hela zimeenda kwa nani jamani?