Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,899
Hawa watu huwa wanapewa pesa kwa masharti ya kuongea maneno waliyoandikiwa na wafadhili wao.
Hii nimeifananisha na tabia ya jamaa mmoja wa nchi ya Tanzania alikuwa akilipwa na ACACIA kuitukana Serikali.
Jamaa waliomtuma kuongea yale maneno walimchagulia hata matusi ya kutukana.
Kama ilivyo kawaida mshahara wa dhambi ni mauti jamaa waliokuwa wakimtumia wakamfyatulia mfano wa risasi ili watengeneze taharuki nchini.
Jamaa yule alikuwa akitumwa aitishe serikali kwamba itashitakiwa, jamaa aliingia kichwa kichwa wakamlamba mifano ya risasi.
Jamaa yule alitelekezwa na wadhamini wake.
Hii nimeifananisha na tabia ya jamaa mmoja wa nchi ya Tanzania alikuwa akilipwa na ACACIA kuitukana Serikali.
Jamaa waliomtuma kuongea yale maneno walimchagulia hata matusi ya kutukana.
Kama ilivyo kawaida mshahara wa dhambi ni mauti jamaa waliokuwa wakimtumia wakamfyatulia mfano wa risasi ili watengeneze taharuki nchini.
Jamaa yule alikuwa akitumwa aitishe serikali kwamba itashitakiwa, jamaa aliingia kichwa kichwa wakamlamba mifano ya risasi.
Jamaa yule alitelekezwa na wadhamini wake.