Acha basiView attachment 1685439
Mjini ukiwa na pesa wewe ni babe.
NO. Uliona wapi pesa ikanunua Upendo, Busara na Hekima ?Hakika pesa ni kila kitu
Maneno ya kimasikini hayo kujifarijiNO. Uliona wapi pesa ikanunua Upendo, Busara na Hekima ?
Dunia hii ukiwa na pesa kila mtu anakuona wewe ndio una busara, hekima, na hata upendo, watakusifia kweli.. ili uwasaidie. Kwa hio, yeah, pesa inanunua vyote hivyo sababu mwenye $$ ndio anaonekana ana hekima na busara zaidi ya wengine.NO. Uliona wapi pesa ikanunua Upendo, Busara na Hekima ?
Kuna Kaka yangu anaivuruga familia na kuisambaratisha familia yetu ila kwa sababu ana pesa huwa anaonekana kama Mungu mtu.Huwa anaonekana kuwa ana busara nyingi,upendo na hekima.Dunia hii ukiwa na pesa kila mtu anakuona ww ndio una busara, hekima, na hata upendo, watakusifia kweli.. ili uwasaidie. Kwa hio, yeah, pesa inanunua vyote hivyo sababu mwenye $$ ndio anaonekana ana hekima na busara zaidi ya wengine.
Money can buy kila kitu including happiness.NO. Uliona wapi pesa ikanunua Upendo, Busara na Hekima ?
Kuna mmoja nilikutana nae, mtu wa mazoezi sana. Aliponiambia amegonga 80 sikuamini. Amevaa jeans ens trainers.
Mh, hi ni photoshop maana naona sidiria, ya nini tena . Pili haiwezekeni uhalisia ukapiga picha kama hii na kuiweka mitandaoni! All in all tafuta pesa ndio ujumbe maridhawaView attachment 1685439
Mjini ukiwa na pesa wewe ni babe.
Ukiwa huna Pesa unakua una amini hivyo ila ukija kuipata unatambua kua kumbe haukua sahihi.Money can buy kila kitu including hapiness.
Matatizo ambayo pesa haiwezi kutatua hata ukiwa huna pesa pia hauwezi kutatua.
Yani kupenda hakuzeeki lakini. Imagine yule mzee wa 80 anachukua dogo dogo kwenda guest. Ila umri huo afadhali kuoa kabisa hio hio dogo dogo unakaa nayo tu muda wote anakufariji. Sio tena kukimbizana guest. Mambo ya Mengi (RIP) na JackieKuna mmoja nilikutana nae, mtu wa mazoezi sana. Aliponiambia amegonga 80 sikuamini. Amevaa jeans ens trainers.
Nakubaliana Nawe asilimia Zote Mkuu.Money can buy kila kitu including happiness.
Matatizo ambayo pesa haiwezi kutatua hata ukiwa huna pesa pia hauwezi kutatua.