sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Nina ndugu yangu alikuwa IFM, cheti kilikuwa na makarai mengi kwasababu yeye chuoni alikuwa mzee wa bata sana, Baada ya kuona ana GPA ya 3.1 hakufurahi kwasababu kazi ya ndoto yake ilikuwa kuwa lecturer, alienda kusoma degree ya pili Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA).
Alikaza sana aliacha michezo yake ya zamani ikawa ni kitabu na yeye mwanzo mwisho. Alikaza akatoka na GPA yake ya 4.2. akaunganisha Masters Mzumbe na huko akapasua fresh, akaanza kusoma CPA huku anatafuta kazi. Mwaka jana alipata ajira mwezi wa tano huku akiwa kabakiza somo moja tu la CPA. CPA yake akaipata mwezi wa 11 mwaka jana.
Yani saizi ana Degree yake safi, Masters safi, CPA yake na ajira yake ya ndoto.
Alikaza sana aliacha michezo yake ya zamani ikawa ni kitabu na yeye mwanzo mwisho. Alikaza akatoka na GPA yake ya 4.2. akaunganisha Masters Mzumbe na huko akapasua fresh, akaanza kusoma CPA huku anatafuta kazi. Mwaka jana alipata ajira mwezi wa tano huku akiwa kabakiza somo moja tu la CPA. CPA yake akaipata mwezi wa 11 mwaka jana.
Yani saizi ana Degree yake safi, Masters safi, CPA yake na ajira yake ya ndoto.