Anahitajika msichana wa kazi kutoka sehemu yoyote ndani ya Tanzania.
SIFA: umri kati ya miaka 18- 25
Mshahara: 70,000 (elimu ya darasa la saba kushuka chini) au 100,000 (elimu ya o'level)
Eneo la kazi: Tanga mjini
Awe tayari kuhama mkoa ikiwa muajiri atahamia mkoa mwengine.
Malazi na...