Jana nilimsindikiza shostisto wangu kwa nabii. Kilichompeleka yeye ni shida na changamoto za mahusiano yake. Mume mlevi, mume Malaya Kama mbwa, mume bahili, hajali ndoa Wala familia. Hajali ndugu zake Wala wa mkewe. Mume mgumu Kama ndevu za gaidi wa Mkuranga.
Rafiki yangu huyu aliniomba...
Tuko vitani, msingi na uimara wa familia ya asili unashambuliwa kutoka kila upande. Angalia uharibifu uliopo: watu wachache leo wanaoa. Na wale wanao-oa, ndoa zinavunjika, watoto wadogo kabisa wa hata mwaka mmoja wanapekwa shule za bweni. Majukumu kwenye familia yamebadilika, kazi za baba sasa...
Nakumbusha tu kwa wakati tuliopo, Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi ndiye aliyeteua wafuatao:
1. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi
2. Mkurugenzi wa uchaguzi
3. IGP
4. Jaji mkuu
5. Mkuu wa Majeshi
6. Wajumbe wa Bunge la Katiba
7. Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU
8. Kiongozi wa Shughuli za Serikali...
Ni majimbo yafuatayo:
1. Kawe
2. Mikumi
3. Iringa mjini
4. Mbeya mjini
5. Tunduma
6. Hai
7. Karatu
8. Bunda
9. Tarime mjini
10. Tarime vijijini
11. Arusha mjini
Natamani kuona nguvu ya wapinzani katika maeneo haya "kiuhalali" kabisa kwa sababu majisifu yao yamezidi sasa.
Maendeleo...
Wazoefu wa mapenzi tunaona kabisa Vanessa Mdee bado yupo na ile michezo ya sekondari pale ambapo tulivyowapiga chini madem zetu walikuwa wanaanza michezo ile ya kujaribu kupata attention zetu kwa kutumia nguvu kubwa sana kujichoresha mbele ya wapenzi wao wapya.
Na kwa kutumia instagram mbinu...
Katika muendelezo wa hali inayoonyesha kuwasikitisha sana wananchi juu ya uonevu na unyanyaswaji wa dhahiri anaofanyiwa mheshimiwa Lissu nchini. Baada ya Ndugu Lissu kuzuiliwa kuendelea na safari yake ya mlandizi kinyume cha haki yake ya kikatiba, Askofu Mwamakula amekwenda eneo la tukio hapo...
Mungu wa Israeli amesikia kilio cha Watanzania cha miaka mingi.
Mungu wa Israel ameona mateso ya watu wake na sasa ameshuka mwenyewe kuja kutukomboa.
Mungu kampiga upofu wa fikra na ufahamu adui. Nguvu na manlaka yao siyo kitu tena. Havina msaada kwao. Haviwezi kuwaokoa na anguko kuu la...
Magufuli kauliza katenda dhambi gani asipewe tena miaka 5. kwanza dhambi kubwa sana ni RAMBIRAMBI za tetemeko, kivuko kwa wahusika ziligeuzwa kuwa mali ya serikali na ikafanya kazi ya serikali huku mfuko wa maafa upo na bajeti yake ilipitishwa.
Sasa majibu yake haya hapa:
1. Hajatoa ajira...
Naomba kufahamishwa kati ya dola na chama Nani Ni more professional? Na je Nani Yuko juu ya mwrnzake? Kwa maoni yangu kwanini dola Mara nyingi anaendeshwa na chama? Kwanini chama kinatawala dola wakati dola ina kanuni sheria taratibu na professionalism?
Mchungaji Daudi Mashimo ambaye ni mlezi wa msanii Amber Rutty na mumewe Said Aboubakar amewaomba watanzania kutoa msaada wa kuwachangia Amber Rutty na mumewe huyo ambao kwa sasa wapo katika gereza la Segerea wakitumikia kifungo cha miaka mitano au faini ya Milioni 6.
EastAfricaTV
Mbona pale...
Dola moja ya marekani ni sawa na shilling 2326 za Tanzania
Dola moja ya marekani ni sawa na Yeni 11 za japan
Dola moja ya marekani ni sawa na dinar 0.33 za Kuwait
Hela yenye nguvu kuliko zote duniani ni dinar ya Kuwait.Tunaambiwa nchi tajiri kuliko zote duniani ni Luxembourg kanchi kadogo sana...
TANZANIA NI NCHI YA 109 KWA UBORA WA KIJESHI DUNIANI
Jarida la kimataifa la 'Firepower' ambalo linalinganisha uwezo wa vikosi vya majeshi duniani kila mwaka, limetoa orodha ya mataifa 138 pamoja nguvu walizo nazo
Ripoti hiyo imeangalia idadi ya silaha, jeshi na rasilimali fedha ambazo nchi...
Kwa uchungu na masikitiko makuu CCM imezipokea taarifa za mauaji ya mwenyekiti wa Uvccm vyuo vikuu mkoa wa Iringa komredi Mlelwa.
Polepole amelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi haraka na kuchukua hatua stahiki za kisheria.
Rip Mlelwa
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu wa mkoa wa Njombe...
vyombo vya habari hapa Tz havinà nguvu kabisa ,sasa hivi mitandao ya kijamii ndo kila kitu.
Mgombea anayekubarika mitandaoni basi ndo anayependwa huu ndo ukweli.
Watu radio na Magazeti awayasikilizi sana, labda wazee wamakamo tu tuweni wakweli tu.
Hii hoja ya Rais wa mitandao , basi tuseme...
Upendo ni asili ya mtu mweusi, hata wakoloni walipofika Afrika walishangaa kuona upendo mkubwa katika jamii yetu. Mjane wa kaka alitafutiwa mume katika ukoo ule wa mune wake ili watoto walelewe kwenye ukoo na wasipate shida. Mgonjwa aliyeshindwa kulima familia yake ilikula bila wasiwasi...
Rais Magufuli alianza kutekeleza azma yake hiyo kwa kutangaza hadharani kule Singida, katika sherehe za kuadhimisha kuzaliwa kwa chama chake cha CCM, hapo Februari 5, mwaka 2016, kuwa ndani ya utawala wake, atahakikisha vyama vya upinzani vinakufa ifikapo mwaka huu wa 2020!
Utekelezaji wa azma...
Kiswahili hakijaenea leo wala jana kuingia Bara na sehemu nyingi za Afrika kwa ukubwa kiswahili kilienea karne ya 20 (Wakati wa wakoloni hasa waingereza na wengineo).
> Shughuli za kiuchumi hasa biashara ilisaidia pakubwa lugha ya Kiswahili kupiga hatua katika karne hiyo ya 20. Nami Nafikiri...
Kwa ukumbusho tu:
Tuanze kwa kukiri kwamba zilizoungana zilikuwa ni nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar.
Tukiri pia kuwa wakati zinaungana tulikuwa na vyama tawala viwili, TANU na Afro-Shirazi Party (ASP)
Pia tukumbushane kwamba wakati zinaungana 1964 bado tulikuwa katika mfumo wa vyama vingi...
Nimesikiliza kwa makini sana hotuba za Tundu Lissu akiwa Zanzibar, yaani unaona kabisa madini aliyokuwa anamwaga Tundu Lissu, laiti kama ile platform angekuwa yupo bega kwa bega ana mnadi Maalim Seif kama mgombea wa CHADEMA Zanzibar, mambo yangekuwa tofauti sana.
Sio kwamba napuuza nguvu ya ACT...
Katika historia ya dunia huwa daima kunakuwa migungano kati ya watawala na watawaliwa.Kwa kawaida watawala huwa wanakuwa tayari na JESHI lenye zana kali ila watawaliwa wengi huwa hawana uwezo wa kuwa na silaha wala kuzitumia.Inapofikia hatua kwamba watawaliwa wanataka kuchukua hatua dhidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.