Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,313
- 24,171
Fact 1: Cement imeadimika
Fact 2: Uhitaji wa cement uko juu, hii ni kutokana na kazi nyingi za maendeleo.
Fact 3: Kuna matatizo ya uzalishaji, tunasikia kiwanda cha Dangote hakizalishi.
Kwa scenario hiyo hapo juu, haihitaji PhD kutambua kuwa kwa principles za Demand and supply, bei ni lazima ipandishwe kwa nguvu ya soko.
Hivyo PM. Majaliwa, hata kwa nguvu ya dola hawezi kuizima bei ikiwa supply ya cement bado iko chini.
Ni common sense.
Miaka ya 80s alikuwepo mzee mmoja Meneja mkuu wa Sigara, Brown Nwilulupi.
Sigara ziliadimika hadi watu wakawa wanauziwa mche mmoja na baadaye 'mvuto' mmoja wa sigara.
Kiwanda cha Sigara kilikuwa katika uzalishaji mdogo kutokana na kukosa malighafi.
Huyu mzee Ngwilulupi akaomba na kupewa fungu na Hazina, akanunua malighafi na kutengeneza sigara nyingi mno.
Ninachomkumbuka yule mzee, alitangaza wiki nzima, alitangaza kuwa matapeli waliohodhi sigara wauze haraka maana alisema " I will flood the market".
Kweli kuna wahindi waliohodhi makasha na makasha ya sigara ya mamilioni walipata hasara, maana sigara aina zote ziliingia mitaani, tena kwa wingi sana..
Flooding the market: supply ya kukidhi demand.
PM Majaliwa kama ulikuwa kazini miaka hiyo ya 80s, rejea hili somo.
Fact 2: Uhitaji wa cement uko juu, hii ni kutokana na kazi nyingi za maendeleo.
Fact 3: Kuna matatizo ya uzalishaji, tunasikia kiwanda cha Dangote hakizalishi.
Kwa scenario hiyo hapo juu, haihitaji PhD kutambua kuwa kwa principles za Demand and supply, bei ni lazima ipandishwe kwa nguvu ya soko.
Hivyo PM. Majaliwa, hata kwa nguvu ya dola hawezi kuizima bei ikiwa supply ya cement bado iko chini.
Ni common sense.
Miaka ya 80s alikuwepo mzee mmoja Meneja mkuu wa Sigara, Brown Nwilulupi.
Sigara ziliadimika hadi watu wakawa wanauziwa mche mmoja na baadaye 'mvuto' mmoja wa sigara.
Kiwanda cha Sigara kilikuwa katika uzalishaji mdogo kutokana na kukosa malighafi.
Huyu mzee Ngwilulupi akaomba na kupewa fungu na Hazina, akanunua malighafi na kutengeneza sigara nyingi mno.
Ninachomkumbuka yule mzee, alitangaza wiki nzima, alitangaza kuwa matapeli waliohodhi sigara wauze haraka maana alisema " I will flood the market".
Kweli kuna wahindi waliohodhi makasha na makasha ya sigara ya mamilioni walipata hasara, maana sigara aina zote ziliingia mitaani, tena kwa wingi sana..
Flooding the market: supply ya kukidhi demand.
PM Majaliwa kama ulikuwa kazini miaka hiyo ya 80s, rejea hili somo.