mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Kikosi kilichoanza ajana ni wachezaji wa wili tu ndio hawajawahi kuvaa jezi ya azam fc (Mkude na Nondo)
Walioingia sub ni moja tu ndio hana DNA na Azam fc nae ni fei Toto
Wachezaji regularly national team wanaotoka azam ambao Jana hawakucheza
Agrey Morris
Chilunda
Mudathir
Mwantika
Vile vile kuna wanaokuja vizuri
Novatus Dismas
Abdalah kheri.
Je, azam ni bora au makocha wanapenda azam?
Walioingia sub ni moja tu ndio hana DNA na Azam fc nae ni fei Toto
Wachezaji regularly national team wanaotoka azam ambao Jana hawakucheza
Agrey Morris
Chilunda
Mudathir
Mwantika
Vile vile kuna wanaokuja vizuri
Novatus Dismas
Abdalah kheri.
Je, azam ni bora au makocha wanapenda azam?