neno

Emmanuel Neno is a Pakistani Christian author and translator.

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Kwanini Wachagga wanaongeza herufi mbele ya kila neno?

    Mfano badala ya kutamka baba wao wanasema babaa. Mfano badala ya kutamka mama wanasema mamaa, dadaa au kakaa. Wanataka watengeneza kiswahili chao?
  2. Erythrocyte

    Operesheni Haki, Lindi: Wananchi Nachingwea wasimamisha msafara wa Freeman Mbowe, waomba neno la matumaini

    Mwamba Mbowe pamoja na Umwamba wake leo amegonga mwamba huko Nachingwea baada ya wananchi kulala barabarani wakilazimisha awasalimie. Ikumbukwe kwamba Mwamba Mbowe au Mtemi Isike yuko Kanda ya Kusini kwenye kampeni ya Operesheni Haki yenye lengo la kuhamasisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume...
  3. Mheikungu

    Neno "Mwendazake" na upotoshaji wa kikanuni unaoendelea sasa

    LOGIC: "Wanaomwita Magufuli MWENDAZAKE wanahatarisha amani." 1. Mtu akimuita Mwendazake, ni hali gani inatokea ya kuhatarisha amani? 2. Marehemu akisikia anaitwa Mwendazake anaibuka na kuleta tafrani nchini kiasi cha kuhatarika kwa amani? 3. Au wafuasi wa Mwendazake kama hawa Viongozi wa...
  4. sky soldier

    Aliepotosha wakurya hawana neno la "Nisamehe" na "Naomba" ni muongo tu

    Neno lipo ..."NISAMEHE"...neno hili ninamaana nyingine ambayo ni ..."NIHURUMIE"... Linatamkwa hivi (kama mtu anaomba msamaha au ahurumiwe) "TANYABHERHA" Neno kuomba/kusihi....."KUSASAMA" Sentensi "Naomba unisamehe " "Ndaghosasama tanyabhera" Kwenye upande wa "kuomba" lipo neno pia...
  5. mathsjery

    Nini maana ya neno "Mlipukaji"?

    Au ndo msamiati mpya kwangu, je una maana gani? Au tunajiongezea msamiati mpya katika lugha ya Kiswahili? Ila kweli kuna wazanzibari na wazanzibara.
  6. kokudo

    Wafanyabiashara tusaidie hapa

    Wasalam Nimekua nakumbana na neno hili kwenye manunuzi yangu huko kwenye nchi za Wenzetu (FOB) freight on board or free on board. Please nimejaribu ku Google Sijapata uelewa mzuri naomba mwenye kujua anisaidie kwa utuo. Asanteni Cc CONTROLA
  7. luangalila

    Matumizi ya neno "Lugha ya kitaalam"

    Kumekuwa na kasumba kwa baadhi ya wa Tanzania wa kada mbali mbali pale wanapo elezea jambo sasa inapokuja kuli tafsiri ilo neno au msamiati kutoka English kuja kiswahili, au kiswa kwenda Eng utasikia mtu anasema eti kwa lugha ya kitalaam inaitwa. Mfano: Mtalaam wa lishe labda anaelezea...
  8. Slowly

    Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

    Mambo si mambo huko Instagram, Mega Star wa Bongo fleva , Diamond Platnumz amemwaga Povu zito Kwa FORBES , jarida linalohusika na kutoa takwimu za ukwasi wa watu maarufu duniani , Kwa kutofanya utafti wa kutosha kuhusu Mali zake .... Kufuatia post hiyo mastaa mbali mbali wametia Nebo huku...
  9. The Father of All

    Profesa Mukandala kushindwa kutamka neno Wahafidhina nini tatizo?

    Wanangu hamjamboni? Sijui niuite usomi, ujinga, ukoloni wala sijui. Wakati akisoma utangulizi wa Kitabu cha Mzee Ali Hassan Mwinyi, Profesa Rwekaza Mukandala alishindwa mara mbili kutamka neno wahafidhina. Ingekuwa kashindwa kutamka neno la kimombo ungesikia stori kibao. Je, hii inamaanisha...
  10. Forest Hill

    Historia ya muziki wa kizazi kipya na chimbuko la neno Bongo Fleva

    Disclaimer:imesimuliwa na Martin Izze Chimbuko la muziki wa kizazi kipya tanzania na maana halisi neno Bongo Flava (SEHEMU YA KWANZA) Moja kati ya mambo niyapendayo mno maishani ni muziki.Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa muziki si tu ule wa nje lakini kwa karibu ule wa nyumbani hasa muziki...
  11. Red Giant

    Mbinu ambazo wafanyakazi wanatumia kuibia waajiri wao

    Nchi yetu inasifika kwa kuwa na waajiri wasiowaaminifu. Hili mimi mwenyewe nimejionea. Sasa basi, ili kusaidia kukomesha hili tupeane mbinu ambazo wafanyakazi wanatumia kuibia waajiri wao. Weka kazi yoyote, uhasibu, ualimu, mabaa medi, fundi ujenzi, udereva nk. Wizi sio lazima pesa, weka wezi...
  12. Cathy Diwani

    Ndugu zangu, nipeni neno la faraja

    Ndugu zangu, nimekuwa kwenye stress za muda mrefu kiasi cha kupata panick attacks mara kwa. Nimekuwa mtu wa kunywa antidepressants sasa. Naombeni mnipe neno la faraja angalau nione kuwa dunia bado ina watu wema.
  13. M

    Neno Jipya Sokoni 'Kusahafu'

    Mama mh. SSH ameshatupatia neno jipya kusahafu (kusaafu?) ng’ombe. Kazi Ina endelea na darasa humo humo!
  14. Analogia Malenga

    Ratiba ya Bunge, Rais atakapohutubia Aprili 22, 2021

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BUNGE LA TANZANIA NA. MUDA SHUGHULI MHUSIKA 1. 3:00 – 5:00 Asubuhi Kikao cha Bunge Spika/Katibu wa Bunge 2. 5:00 – 8:00 Mchana Shughuli za Kiutawala Ukumbini Katibu wa Bunge/Chief of Protocol 3. 8:00 – 9:00 Alasiri Waheshimiwa Wabunge na...
  15. funaku

    Ijue maana ya neno "Demka". Ni Kiswahili kutoka Zanzibar chenye asili ya lugha ya Kikae

    Hongera Mh Rais Samia Suluhu kwa kutuongezea msamiati kwenye lugha yetu. Katika kongamano na viongozi wa dini Rais Samia ametumia neno la kiswahili ambalo ni adimu kulisikia mitaani ingawa ni neno la kiswahili kutoka asili ya kusini mwa Zanzibar. demka Taz. demnga. demnga V cheza ngoma kwa...
  16. Erythrocyte

    Neno "HAPA KAZI TU" Layeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

    Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO? Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
  17. L

    Harmonize usitumie tena hili neno

    Nawasalimu kwa jina La JMT, Harmonize kiswahili ni lugha tajiri sana hususani kwa watu wenye mahusiano ya kunanihii, mmeshaelewa kila wimbo Harmonize lazima kumuita mpenzi wake baby, kila nyimbo baby baby baby.. Inabore sana. Hii inaua ubunifu wako mbona mpenzi lina majina mengi kama...
  18. Erythrocyte

    Bavicha wafika Gereza la Ruanda kumsalimia Mdude Nyagali , yeye awapa neno

    Nguzo kuu ya Chadema kwa miaka yote ya uhai wa chama hiki ni umoja wao , hawa watu kwa kushirikiana kwenye mambo yao ni wa kupigiwa mfano . Leo Viongozi wa Bavicha Wakiwemo Pambalu na mfungwa mstaafu Mwaipaya wamefika kwenye gereza la Ruanda huko Mbeya na kuonana na Mfungwa wa kisiasa Mdude...
  19. N'yadikwa

    Ijue tafsiri ya neno mnyonge

    Mnyonge / mɲɔngɛ / nomino Wanyonge (plural) Ngeli za nomino: a-, wa- MAANA YA NENO: 1. mtu dhaifu; mtu asiyekuwa na nguvu Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni (ms) Synonyms: mnyela...
  20. S

    Tuangalie maana ya neno Dikteta

    Dikteta (kutoka Lat. dictator yaani mwenye kutoa amri kama imla) ni neno la kumtaja mtawala asiyebanwa na sheria na kutumia nguvu ya dola kuendeleza utawala wake na kutokubali upinzani dhidi yake. Pale ambako mtu au kundi la watu hutawala kwa mbinu huu hali ya kisiasa huitwa udikteta. Mfalme...
Back
Top Bottom