Abuu hanifa
JF-Expert Member
- Aug 17, 2021
- 256
- 274
Kwa utafiti niliofanya kuhusu Taifa kutokuwa na Dini au Taifa kutofata dini yeyote, maneno haya yanapatikana katika katiba iliopo ile ya kiswahili pekee.
Bali sijaona maneno hayo ktk katiba ya kiingereza. Nilitatajia nikute katiba ya kiingereza ikitamka maneno haya;
Bali kauli ya kuwa Taifa letu halina dini, nasikia zaidi kutoka kwa wanasiasa.
Sijui kama yupo mwanabodi anaefahamu kifungu gani cha katiba ya kiingereza inayotamka kuwa taifa letu hakuna dini au Halifungamani na dini yeyote.
Au kuna anaejua kifungu chochote cha sheria chenye kufasiri maana ya neno "Dini" na neno "Ibada"?!?!.
Bali sijaona maneno hayo ktk katiba ya kiingereza. Nilitatajia nikute katiba ya kiingereza ikitamka maneno haya;
- Our state has no official religion
- Our state is irreligion, au
- Our state is neutral toward religion.
Bali kauli ya kuwa Taifa letu halina dini, nasikia zaidi kutoka kwa wanasiasa.
Sijui kama yupo mwanabodi anaefahamu kifungu gani cha katiba ya kiingereza inayotamka kuwa taifa letu hakuna dini au Halifungamani na dini yeyote.
Au kuna anaejua kifungu chochote cha sheria chenye kufasiri maana ya neno "Dini" na neno "Ibada"?!?!.