Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,267
Kwa mujibu wa Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), limeeleza kwamba neno demu lina maana ya nguo ya zamani inayofungwa na wanawake kichwani, kiunoni wakati wa kufanya kazi ngumu.