Hahahaha jibu limepatikana.Kanda Bongo-Man.
Neno hilo lilianza kabla ya hao watu kuanza usanii wao.Nadhani ni wahusika ni Professor J na Jide kwenye weimbo wao wao bongo dar es salam, waakimaanisha ni lazima utumie akili ndio mambo yaende na ukizubaa umeliwa
Bongo zenu zimelala. Mmeaminishwa mwenge unaleta amani..... kwanini hamkuupeleka kwenye vita vya Kagera? Au ile vita ilikuwa ni friend match?Wengine wamekua waki refer Tanzania kama bongo na wengine waki refer Dar ea salaam km bongo, yote kwa yote, ni ipi asili na maana ya neno hili mpaka tukawa na vitu kama Bongo fleva na bongo movie?
Sikujua kama hii ndio maana ya bongoBongo zenu zimelala. Mmeaminishwa mwenge unaleta amani..... kwanini hamkuupeleka kwenye vita vya Kagera? Au ile vita ilikuwa ni friend match?
Wakati now mnaimba vibwagizo vya wacha waisome namba wenzenu Kenya wanapiga hela kwa katanga kutangaza kwamba Serengeti mlima Kilimanjaro na Tanzanite ni vyao.
Mazuzu nyie bongo lala
😅😅😅 Ngoma ikawa draw au sare. Kwa hiyo hakuna aliyepata hasara......Bongo asili yake ni kuishi kwa kutumi akili sana kupambanua changamoto za maisha.
Bongo ni Dar es salaam na sio Tanzania.
Jarida la Bongo longtime kitambo kabla ya seasons na series lina akisi hilo
Wimbo wa bongo dar es salaam pia nenda kausikilize
"Aliyeuza cheni kapewa hela ya bandia na aliyetoa hela nae kauziwa cheni ya bandia"