Kuna msemo maarufu ambao unatumika sana na viongozi wetu wa kisiasa kuhusu lengo la taifa letu kuwa taifa la uchumi wa kati.Katika vipimo vya uchumi wa dunia nchi ya uchumi wa kati ni nchi ambayo raia wake wanalo pato la TZS 3,000,000 kwa mwaka hadi TZS 30,000,000 ambayo ni sawa na pato la kati...