nchi

  1. Erythrocyte

    Walipoitwa watendaji wa Kata wa nchi nzima Ikulu , Humphrey Polepole alihudhuria kama nani?

    Ni vema maswali madogo kama haya yakajibiwa ili kuitenganisha ikulu na uchafu wowote
  2. Mwl.RCT

    Mkutano nchi za Afrika na NORDIC: Rais Magufuli awakaribisha wawekezaji kuwekeza nchini, kwa sababu kuna amani na ukuaji mzuri wa uchumi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameshiriki Ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa Nchi za Afrika na NORDIC unaofanyika akatika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere JNICC Jijini Dar es salaam. ===== HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWA UFUPI...
  3. Miss Zomboko

    Nchi 18 zimeathiriwa na mabadiliko ya Tabia Nchi Afrika

    Zaidi ya watu milioni 52 katika nchi 18 barani Afrika wanakabiliwa na baa kubwa la njaa, sababu ikiwa hali mbaya ya hewa, umasikini na migogoro kwa mujibu wa Oxfam. Baadhi ya maeneo yana ukame kwa kipindi cha miaka minne huku nchi nyingine, ukame umefuatiwa na mafuriko makubwa kutokana na...
  4. technically

    Wazalendo wote wa nchi hii njooni uku tujibiwe haya maswali na Serikali ya Rais Magufuli

    Rais Magufuli nilikusema kuhusu miradi inayoeendelea chato kupitia uzi huu Miradi inayoendelea chato inahitaji mjadala wa kitaifa ila sikujibiwa kilichofuata ni mimi kutukanwa na wafuasi wako kwamba ni siasa. Mh Rais tuachane na hayo je miradi yako mikubwa inayotekelezwa kwa nini haina...
  5. B

    Tuachane na maisha ya majina ya NCHI wakati Siasa za Job Creation

    #tag HUJUI KUPLAN 🚜🚜🚜🚜🚒 #tag Gari inagurudumu 4 kwenye maisha ya kuplan 1. Matumizi Bora ya ardhi (maeneo maalumu ya Kilimo, UVUVI, Mifugo maana IPO siku tutatafuta maekali ya kupima matikiti Dar ES SALAMA na siyo pwani lazima tubomoe majumba huko) 2. Matumizi Bora ya Watu (watu waliopo Kwa...
  6. S

    Ifikie mahali tuelewe na kukubali kuwa Rais wa Tanzania ana uhuru wa kuvunja Katiba ya nchi kwa makusudi, na hakuna utaratibu wa kuzuia hilo kwa sasa

    Maneno mengi sana yanasemwa nchini kuwa mara nyingi Rais Magufuli anavunja katiba ya Jamhuri ya Tanzania kwa makusudi. Nakiri kuwa hata mimi kuna wakati nilishazungumzia hilo. Baadae nilijiuliza ikiwa mimi ningekuwa ndio Magufuli, nikijua ninaweza kuvunja katiba kimakusudi na hakuna utaratibu...
  7. Superbug

    Italia Ni nchi ya majitu uingereza ni vijitu

    Kama unawafahamu wazungu basi utaweza kuwatofautisha kwa muonekano waitalia Ni majitu makubwa yenye nywele nyeusi na Ni white redish waitalia wengi wana nywele nyeusi ila waingereza Ni vijitu vidogo ila vyenye akili wajerumani warefu wakubwa wasweden Ni weupe pyeeee na wanorwy pia wanafanana na...
  8. J

    Mbowe ni mwanasiasa aliyekomaa huwezi kumsikia anaisema vibaya Serikali ya nchi yake hovyo hovyo!

    Katika hili swala la ukomavu wa kisiasa kiukweli Mbowe namsifu, hutamsikia akiisema vibaya serikali kwa utaratibu wa hovyo hovyo. Kuna wakati huwa najiuliza kama yule Boss wa ACT wazalendo angekuwa ndio KUB sijui hali ingekuwaje? Maana huwa anaongea lolote, popote tena bila utaratibu...
  9. ubongokid

    Nini Tafsiri sahihi ya Uchumi wa Kati?Je, nini faida ya kuwa nchi ya uchumi wa kati?

    Kuna msemo maarufu ambao unatumika sana na viongozi wetu wa kisiasa kuhusu lengo la taifa letu kuwa taifa la uchumi wa kati.Katika vipimo vya uchumi wa dunia nchi ya uchumi wa kati ni nchi ambayo raia wake wanalo pato la TZS 3,000,000 kwa mwaka hadi TZS 30,000,000 ambayo ni sawa na pato la kati...
  10. Nazi Nakaranga

    Faru 9 weusi waingizwa nchini kutoka Afrika Kusini ikiwa ni jitihada ya kurejesha jamii hiyo iliyo hatarini kutoweka

    Faru 9 weusi wameingizwa #Tanzania kutoka Afrika Kusini ikiwa ni jitihada za kurejesha jamii hiyo ya faru iliyopo hatarini kutoweka, kutokana na ujangili uliofanyika kipindi cha nyuma. Shirika la CITES, linalohusika na wanyama waliopo hatarini kutoweka linakadiria hadi 2015 kulikuwa na faru wa...
  11. Erythrocyte

    Kwa uchafu unaoendelea nchi nzima ni vema Waziri wa Tamisemi akajiuzulu au atimuliwe

    Huu ujinga unaotendwa na watendaji wa vijiji na kata nchi nzima wa kuhakikisha fomu za wagombea wa upinzani hazipokelewi kwa udi na uvumba, haujawahi kuwepo kwa kiwango kama hiki tangu nipate akili, sijawahi kuona serikali ya ccm isiyojiamini kama hii tangu nchi hii iachwe na wakoloni, ni aibu...
  12. The Assassin

    China yazindua 5G technology nchi nzima. Mitandao yote ya simu kutoa 5G kuanzia Ijumaa

    Serikali ya China imetangaza kuanzia Ijumaa ya kesho tarehe 2 Nov, mitandao yote ya simu China itaanza kutoa huduma ya 5G na kufikia mwisho wa mwaka huu inategemewa sehemu kubwa ya miji ya China itakuwa na huduma ya mtandao wa 5G. Hii ndio itakuwa huduma kubwa zaidi ya mtandao wa 5G duniani...
  13. pantheraleo

    DC wa Tunduru Julius Mtatiro, asimamia upigaji viboko kwa watoto Watoro Issa na Farid

    Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Ndg. Julius Mtatiro ameendeleza kampeni ya kiwilaya ya kupambana na utoro sugu, nidhamu za wanafunzi na mimba za utotoni wilayani Tunduru, na leo amewaelekeza walimu kuwaadhibu watoro sugu mbele ya wazazi wao na amezionya pande zote zinazohusika na uzembe huo. Katika...
  14. YEHODAYA

    Zanzibar yaanza kutoa vitambulisho vipya vya ukazi kwa wananchi wake

    Serikali ya Zanzibar imeanza kutoa vitambulisho vipya vya ukazi kwa wananchi wa Zanzibar ==== Uzinduzi wa Vitambulisho vipya vya Kieletroniki (SMART CARDS) vya Mzanzibar mkaazi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipokea Kitambulisho kipya cha...
  15. Bullshit

    Mambo kumi unatakiwa kujua kuhusu nchi ya Congo

    THE AFRICAN VISION October 28, 2019 Teknolojia ya ulimwengu inategemea congo kwa sababu ina 80% ya coltan ya ulimwengu (madini ambayo husaidia kuendeleza teknolojia ya ulimwengu. Congo ni nchi ya pili kubwa barani Aafrika.ifani na saizi ya Ulaya ya Magharibi. Congo ndio nchi yenye misitu...
  16. ChoiceVariable

    Ni nchi zipi ungependa uishi tofauti na Tanzania?

    Habari wakuu Mada hapo juu yahusika..Binafsi ukiacha Tanzania nchi zifuatazo napenda kuishi mazima 1.Canada, Naipenda tuu kwa kuwa huwa sisikii matukio yoyote ya ubaguzi kuuana vurugu za kisiasa nk.Kiufupi napenda sana Canada hata uchumi uko stable 2.Australia Hii nayo ina sifa kama za Canada...
  17. Miss Zomboko

    Wazimbabwe waandamana kupinga vikwazo vya Marekani na EU kwa nchi hiyo

    Maelfu ya wananchi wa Zimbabwe jana waliandamana kumuunga mkono Rais Emmerson Mnangagwa kupinga vikwazo vilivyowekwa na Marekani pamoja na Umoja wa Ulaya dhidi ya nchi hiyo. Marekani na Ulaya imewawekea vikwazo maafisa wengi waandamizi wa Zimbabwe pamoja na Rais Mnangagwa kwa madai ya kukiuka...
  18. Kanungila Karim

    Chozi la nchi yangu Tanzania

    Tanzania ni Jamhuri, na ni muungano wa nchi 2, yaani Tanganyika na Zanzibar,kabla ya mwaka 1884, hapakuwa na historia ya nchi iliyoitwa Tanzania, isipokuwa zilikuwa ni tawala cha kichifu, kitemi kutegemeana na makabila ya maeneo mbali mbali yalipopatikana katika eneo ambalo hapo baadae liliitwa...
  19. J

    IGP Sirro awaonya watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020

    Inspekta Jenerali wa polisi Simon Sirro ametoa onyo kali kwa wote watakaojaribu kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020. Kamanda Sirro amesema jeshi lake limejipanga sawasawa kukabiliana na sintofahamu yoyote endapo itajitokeza. IGP Sirro ameyasema hayo jijini Mwanza...
  20. britanicca

    Pale Gerezani Mukamira Rwanda wapo kila raia kutoka nchi zote A.Mashariki, hasa wakosoaji wakuu wa utawala na utalazimishwa kukiri kosa au kuuawa

    Pale Gerezani walinambia kwamba bora ukili kosa ama unauwawa hapa hapa, anasimulia mtekwaji "Nakumbuka ilikuwa usiku wa manane wakaja watu nisiowajua wakaingia Nyumbani kwangu, wakakagua simu yangu na mawasiliano nayofanya kwa kila mtu , bahati mbaya Sana walikuta nawasiliana na wanaharakati...
Back
Top Bottom