nchi

  1. Mystery

    Ni makosa makubwa mno kwa mtawala wa nchi kuwachagulia wananchi wawakilishi wao

    Hivi Leo Taifa letu limeshuhudia maajabu katika vituo vya kupiga kura katika kile kinachoitwa uchaguzi wa Serikali za mitaa, kwa vituo hivyo ambavyo huwa kawaida vinafurika watu, hivi Leo kuwa "vyeupe" kabisa! Vyama vya upinzani 8, vikiongozwa na chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema...
  2. KIBESENI

    Nchi yangu, je Nyerere angekuwapo angenyamaza?

    Sipati jibu ninapowaza juu ya nchi yangu 🇹🇿 Tanzania. Nashindwa cha kufanya, naishia kusema: Je, Nyerere angekuwepo angenyamaza kama hawa Wastaafu walivyonyamaza utadhani hawapo? Mbona huyu mwenye majina mengi anabomoa, nani atakayeijenga tena Tanzania ya Watanganyika na Wanzibari? Nauliza...
  3. K

    Utamaduni wa kulaumiana kila kitu sio mzuri kwa nchi

    Kumekuwepo na utamaduni hasa kwa viongozi wa serikali kulaumu bila kuwa na uhakika na kusingizia wapinzani mfano mzuri ni kwenye hili la ndege kushikwa Canada. Kila mtu anajua sababu lakini bila aibu Waziri wa Mambo ya Nje kwa nyakati tofauti anajaribu kuwasingizia wapinzani wamehusika...
  4. Influenza

    Tanzania kuondolewa orodha ya nchi maskini

    Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo ya Biashara (UNCTAD), limezindua ripoti ya mwaka 2019 kuhusu nchi maskini zaidi duniani. Shirika hilo limebainisha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo katika hali chanya kwa kufanya vizuri, kuweza kuondoka katika orodha ya nchi...
  5. Ulimbo

    Ni ipi nafasi ya viongozi wa dini katika katika mstakabali wa amani ya nchi?

    Nijuavyo mimi, viongozi wa dini wan nafasi kubwa sana katika kusimamia viongozi wa nchi. Zamani wafalme walikuwa hawaendi vitani bila kuuliza ruhusa toka kwa makuani/manabii. Kiongozi wa dini walikuwa na mamlaka ya kukemea wafalme pale walipoenda/tenda kinyume na kusudio la Mungu. Kwa kipindi...
  6. Mystery

    Jeshi la Polisi nchini kutumika na CCM kuwabakiza madarakani ni uvunjifu wa Katiba ya nchi

    Tukiisoma Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, inasema wajibu namba moja wa Jeshi letu nchini kuwa ni kuwalinda raia na mali zao Jeshi hilo halipaswi liwalinde watawala, bali linatakiwa litimize majukumu yake kwa weledi bila kupendelea upande wowote Sasa yanapotokea...
  7. YEHODAYA

    Wanawake wa nchi za Afrika mashariki ambao wanaume watanzania waweza kuwaoa kirahisi na wakajisikia vizuri

    Kwenye nchi za jumuiya ya Africa Mashariki wanawake ambao ni wepesi kuolewa na kuishi vizuri na watanzania ni hawa wafutao Namba moja wanaoongoza ni wanawake wa kinyarwanda wazuri na wana akili nyingi mno wengi wao kuolewa na mtanzania ni rahisi mno na wengi wameolewa na watanzania Namba...
  8. Suley2019

    Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imekanusha kuwa na ukata wa fedha na kwamba nchi zote wanachama, zimeanza kulipa ada za uanachama

    Jumuiya hiyo imesema hakuna nchi yoyote ya Jumuiya hiyo iliyo hatarini kuondolewa uanachama, kwa sababu ya kushindwa kutoa ada za mwaka, isipokuwa upo uwezekano wa kuwekewa vikwazo. Kwa mujibu wa taarifa ya jumuiya hiyo, hadi kufikia Oktoba mwaka huu, Burundi ilikuwa ikidaiwa Dola za Marekani...
  9. Erythrocyte

    Video: Uzinduzi wa kampeni za uchaguzi Serikali za mitaa CCM, nchi yatikisika, watu wakanyagana

    Mwenye macho haambiwi tazama
  10. T

    Tumzo Karugira wa Azam TV ni raia wa nchi gani?

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Leo baada ya Mechi ya CECAFA WOMEN CHALLENGE CUP baina ya Djibouti v.s Uganda, Tumzo alimhoji mfungaji bora wa Uganda. Kumhoji mchezaji baada ya mechi ni suala la kawaida isipokuwa dukuduku langu limetokana na haya yafuatayo: 1. Tumzo alitumia lugha ya...
  11. K

    Rais Magufuli kama unapenda nchi fikiria baada yako

    Magufuli anafanya kazi nzuri kwa ujumla hasa ukusanyaji kodi, miradi ya msingi na kurudisha heshima kwa kupunguza upotevu wa mali za Serikali. Lakini kuna vitu ambavyo haviko vizuri 1. Kwanza hakuna mikakati ya kubirosha mifumo ili iweze kwenda bila kutegemea watu. Hakuna mpangilio mzuri wa...
  12. chiembe

    Ushauri: Serikali iagize waliopita mgambo waanze mazoezi nchi nzima ili wawe tayari kuwapiga watanzania watakaoharibu uchaguzi serikali za mitaa

    Nashauri kwamba watu wote waliopita mgambo nchi nzima wawekwe tayari na siku mbili kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, wafanye mazoezi makali kabisa mitaani kama ishara ya onyo kwa watanzania wanaojiandaa kuvuruga amani. Serikali iinunue makontena ya rungu mpya na kuwagawia watu hawa
  13. G

    Ni wakati muafaka sasa nchi ikaendeshwa kwa majimbo

    Ili kusonga mbele kama Taifa na kuleta maendeleo sawa kwa watu tubuni Majimbo since our Country is large tuingie kwenye mfumo huu. Na iwe hivi: 1. Mwanza, Kagera, Geita yawe BUKOBA STATE 2. Shinyanga, Tabora na Katavi yaitwe TABORA STATE. 3Dodoma, Singida na Morogoro yaitwe DODOMA DC STATE...
  14. Suley2019

    Uganda na Jamhuri ya Demokrasia Kongo zafikia makubaliano ya kuboresha miundombinu baina ya nchi zao ili kurahisisha biashara

    Uganda na Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo zimesaini mkataba wa kufanya maboresho ya miundombinu hasa barabara zinazounganisha nchi hizo mbili katika kipindi cha ndani ya miezi 24 kwa lengo la kukuza biashara na uwekezaji ndani ya nchi hizo mbili. Rais wa Uganda Mh. Yoweri Museven na Rais wa...
  15. Chief Kabikula

    Nini faida ya Marais wastaafu wa Tanzania kwa nchi yetu?

    Tanzania mpaka sasa tuna marais wastaafu watatu ukiacha Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetangulia mbele za haki. Hawa marais wastaafu ni wazoefu na wajuzi sana wa mambo kupitia uzoefu wa kuongoza nchi kwa miaka kumi kila mmoja. Swali huo uzoefu, maarifa na ujuzi wao umesaidia...
  16. J

    Uhamiaji: Wapiga kura waliojiandikisha maeneo ya mipakani mwa nchi kuhakikiwa

    Kamishna wa Uhamiaji amesema wapiga kura wote waliojiandikisha wanaoishi maeneo ya mipakani kuhakikiwa. Uhakiki huo unawahusu wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa 2020. Lengo la uhakiki huo ni kuwabaini wageni waliojipenyeza kinyume cha sheria kwa nia ya kuvuruga...
  17. CalvinKimaro

    Nchi ya wanasiasa na siasa toka juu Taifa hadi Kijijini: CCM mna dhamana

    NCHI YA WANASIASA NA SIASA TOKA JUU TAIFA HADI KIJIJINI: CCM MNA DHAMANA Tanzania imegeuka Taifa la ajabu sana. Ni Taifa pekee siasa inafanywa na kila mtu, kila mahali na kila muda. Hakuna Taifa jingine duniani ambalo karibu kila mtu, kila kitu na kila sehemu kinachofanyika ni siasa. Na hali...
  18. U

    Nashauri tubadili jina la nchi na tuitwe Kilimanjaro, badala ya Tanzania

    Nimesafiri na kuishi nchi mbalimbali duniani, ila nchi yetu si maarufu sana, yaani Zanzibar na Mountain Kilimanjaro ndio watu wanavijua, Tanzania hawaijui. Nahisi makosa yalifanyika katika kulichagua jina la nchi enzi hizo, japo nasikia toka awali huko ilishapendekezwa nchi iitwe Kilimanjaro...
  19. J

    Serikali yanunua ndege ili kuutangaza utalii wa nchi yao

    Ndege mpya ya Uganda Airline inayomilikiwa na Serikali ya Uganda leo imezindua rasmi safari zake za kwenda Mombasa Kenya kwa kile kilichoelezwa kuwa kutangaza na kuimarisha sekta ya utalii. Msemaji wa Uganda amesema sasa ndege za shirika hilo zinamilikiwa na Serikali tofauti na hapo awali...
  20. kibokomchapaji

    Tanzania: Nchi pekee ambayo wapinzani wanathubutu kunajisi Utawala wa Sheria

    Na Mwamba wa Kaskazini Nimefuatilia masuala kadhaa katika siku mbili hizi nikashindwa hata kushangaa. Tanzania mwezi huu inatekeleza kitendo kikubwa sana cha demokrasia ambapo wananchi watachagua viongozi wao wa ngazi za chini kabisa; aina ya demokrasia ambayo hata katika baadhi ya nchi za...
Back
Top Bottom