Uhamiaji hawaoni aibu kutoa passport laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofauti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
 
Hivi Ni sahihi uhamiaji kutoa passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa Ni chanzo kikubwa Cha Mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa passport milioni moja tu kwa mwezi kea Bei ya passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi

Kikwazo kikubwa Cha watu kupata Passport Ni kuwa afisa passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya Nini akitaka kumpa.Hilo mwomba passport atapambana nalo Ofisi ya ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa.Wewe kila mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na Hali Yake mbele kwa mbele.Kumpa passport sio tiketi kuwa atasafiri bado Kuna kigingi.kwenye ubalozi Cha kupata VISA.Wewe mpe mengine mwachie mwenyewe

Passport Ni kitambulisho.tu Cha kawaida Kama Cha NIDA tofaiti iliyopo Ni kuwa Cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport Ni kitambulisho Cha raia Cha kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata Kama hasafiri Ni kitambulisho chake Cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili Cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport Kama kitu kikuubwa !!!!!!
Mbona kutoa laki mbili wamejitahidi sio kwa mashariti ya kupata passport duh.....unaweza kufikiri kama ile passport nikutupeleka binguni.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?

Sent using Jamii Forums mobile app


God save us
 
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
mawazo ya zamani sana uliyonayo. Ni yale walioambiwa watu TV na Fridge ni vyombo vya anasa. Utajuaje kama laki 2 wote ni saafi.
 
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na hizo chache wameweza vipi kuthibiti matukio katika nchi za watu yanayofanywa na wabongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu Rwanda hapo mtoto akizaliwa anapewa vyote akitaka anapewa cheti Cha kuzaliwa na passport huulizwi unakwenda wapi kufanya Nini,Kenya na Uganda hivyo hivyo

Rwanda passport inspatikana ndani ya massaa matatu.macimum toka uwakilishe ombi lako

Haya masharti yaliyopo ndio yanazalisha rushwa ingekuwa mfano sharti Ni kitambulisho Cha taifa au cheti Cha kuzaliwa tu Nani akuombe rushwa kwa sababu ipi wakati umempa hati zote

Haya yaliyopo ndio yanazalisha urasimu na rushwa wewe utakuwa mmoja wa wafaidika unajua yakiondolewa rushwa hutapata
 
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mawazo ya enzi za mwalimu.
 
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Vibabu na vibibi mnaofanya kazi kwa mazoea kuwa toka enzi za Mwalimu tumekuwa tukifanya hivi. Hayo masharti nchi za wenzetu walishabadilisha miaka mingi nyinyi ni hayo hayo toka Tanzania ipate Uhuru .Hamstaafu tu? Mpishe vijana Wenye mawazo mapya?

Passport dunia ya Leo sio cheti Cha safari ni kitambulisho unachotumia kuomba kazi online ukiomba nje Kuna sehemu unatakiwa kujaza passport namba au ukiomba scholarship unatakiwa sehemu ujaze passport namba au ukitaka kufanya mitihani ya kimataifa online unajaza passport namba

Mfano mimi nataka kuomba labda scholarship au kazi online nakuja kukuomba unipe passport ili nitumie kuomba scholarship au kazi online unaniambie nilete barua ya mwaliko na uthibitisho wa safari ninakoenda ili unipe passport hivi kichwani afisa passport wewe una akili au mjinga Fulani? Upo unafanya kazi Kama robot tu si ustaafu upishe Wengine au unasubiri redundancy ikupitie halafu uje kubweka humu kuwa umeonewa wewe ni mchapakazi?
 
Tatizo ni Pale uhamiaji wanapoanza kufanya kazi za ubalozi. Kuuliza maswali yasiyowahusu labda Tatizo ni wale wanaokwenda nchi zisizohitaji visa kama South. Ila wanaokwenda nchi za magharibi hawa kimbembe ubalozini
Hata Kama mtu anaenda Kenya au south bado atatakiwa kujieleza boda upande wa mpaka wa kuingilia Hakuna sababu ya kumuuliza anaenda kufanya Nini iwe Kenya ,south Afrika au.popote hayo watamhoji wenyewe anapoimgia nchini kwao
 
Mkuu nimeenda kubadili yangu sijajua labda ni mhidumu kwenye dirisha langu ama vipi ila naona mabadiliko kiasi chake kwakweli. Nachukua case study ya dirisha langu nililohudumiwa zaidi nimeulizwa wewe ni kabila gani ambalo ni swala la kawaida kwa uhamiaji

Bado nakubaliana na wewe, ppt siyo swala la anasa, zamani basic needs zilikua 3 ila sasa nadhani si 3 tena mojawapo ni ppt. Dunia ya sasa tunahitaji watu watoke walete maarifa mapya na mitaji
Refer pesa zilizotumwa Kenya 2019 na Diaspora
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo yalikuwa yanafanywa China Enzi za Mao, kwenda nje ya nchi ni kama kwenda Mars.

Kwa population ya wachina kila kijiji sio nchi tu duniani inaonyesha wanazipata bila ugumu kama kitambulisho na namba za NEC
 
mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?
Ulichoandika kinaonyesha kichwani kwako uko mweupe.Kule Kuna serikali,Polisi na mahakamani pia utashughulikiwa ukikosea huko huko

Kwa hiyo mumejibebesha jukumu.la Polisi na mahakama ya dunia uwiii mbavu zangui Mimi.Hamuamini nchi zingine kuwa Ziko vizuri kupambana na wahalifu?

Mambo ya kimataifa yanatakiwa kuaminiana Mfano wewe umempa mtu passport anaenda marekani.Wewe hujampa Visa ya kuingia Marekani unaogopa Nini?

Wao ndio waliompa baada ya kujiridhisha wenyewe kuwa Ni mtu Safi.Sasa akiuza bangi kule wewe yanakuhusu Nini wewe hukumpa visa .Hata ukihojiwa unasema Mimi nilitoa passport sio visa
Lakini ukijitia ohhh mimi najua aliniambia anakuja huko na ushahidi fomu hii hapa aliyojaza Ina maana akidakwa na madawa ya kulevya wewe ndio mbeba lawama Kama facilitator kwa kukiri Mwenyewe


Nchi nyingi Wana avoid Hilo kuepuka
Hilo.Wewe toa passport usiulize anaenda nchi gani kufanya Nini sukumia Risk ubalozi unaotoa Visa
 
Kimbele mbele chote hicho kumbe hauna passport!!

Kweli passport ni kitu kikubwa sana!
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifikiri mambo kwenu CCM ni tofauti kumbe wembe ni ule ule?
Vibabu na vibibi mnaofanya kazi kwa mazoea kuwa toka enzi za Mwalimu tumekuwa tukiganya hivi. Hayo masharti nchi za wenzetu walishabadilisha miaka mingi nyinyi.ni hayo hayo toka Tanzania ipate Uhuru .Hamstaafu tu? Mpishe vijana Wenye mawazo mapya?

Passport dunia ya Leo sio cheti Cha safari nin kitambulisho unachotumia kuomba kazi online ukiomba nje Kuna sehemu unatakiwa kujaza passport namba au ukiomba scholarship unatakiwa sehemu ujaze passport namba au ukitaka kufanya mitihani ya kimataifa online unajaza passport namba

Mfano mimi nataka kuomba labda scholarship au kazi online nakuja kukuomba unipe passport ili nitumie kuomba scholarship au kazi online unaniambie nilete barua ya mwaliko na uthibisho wa safari ninakoenda ili unipe passport hivi kichwani afisa passport wewe una akili au mjinga Fulani? Upo unafanya kazi Kama robot tu so ustaafu upishe Wengine au unasubiri redundancy ikupitie halafu uje kubweka humu kuwa umeonewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom